Hahahaa sasa unatafuta nuni humu?Umeanzisha uzi wa kipumbavu ili ufurahia wapumbavu wakikusapoti !? ...hata unacho ugua hukijui wewe !
Huko maofisini wanapata how much? Hahaha ndo maana nasema ni kwa sababu watu wanatumia fake ID la sivyo watu wangeumbuana sana humu.Mkuu hayo mahesabu ni ya kufikirika tu
Kichumi zaidi apo iyo faida gawanya kwa 2 utapata 180,000 kwaiyo miezi 6
Kweli kijana aliyekamilika anamiguu miwili, anaakili timamu anafanya kazi 30 days per month alafu anasave 180,000
Sio mbaya lakini kuna kazi nyingi nzuri zaidi anazoweza fanya akapata zaidi ukizingatia ni kijana aliyesoma IT
Ndio maana watanzania wengi tunakua masikini kwa kufikiri kufanya vitu vyepesi huku tuliota ndoto za kua mabillionea
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesome post yangu au umetoka kibaruani na kurukia ku coment?Tunampongeza huku tukijiuliza pia elimu ya chuo kikuu ya IT imemsaidiaje. Je kwenye uchomaji huo kuna ICT based innovations alizoapply ? Je kwanini asidevelop hata app ya kusaidia watu kupata location ya mahindi yake, akaitangaza kwenye fb, insta na jf ili watu wote wa Arusha wapate mahindi kwake ?? Nampa pole...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuambie vizito unavyo fanya wewe. Na Ueleze na Jina kamili. make hapo ulipo umeajiriwa.Mkuu hayo mahesabu ni ya kufikirika tu
Kichumi zaidi apo iyo faida gawanya kwa 2 utapata 180,000 kwaiyo miezi 6
Kweli kijana aliyekamilika anamiguu miwili, anaakili timamu anafanya kazi 30 days per month alafu anasave 180,000
Sio mbaya lakini kuna kazi nyingi nzuri zaidi anazoweza fanya akapata zaidi ukizingatia ni kijana aliyesoma IT
Ndio maana watanzania wengi tunakua masikini kwa kufikiri kufanya vitu vyepesi huku tuliota ndoto za kua mabillionea
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo sisiter anatifauti gani na jamaa? Dhat is why nikasema ningesema jamaa kapiga IT na kwa sasa ana Bucha ya kuuza nyama nazani watu wasingeshangaa.Kuna sista alisoma sheria akawa anauza hoteli ya vyakula, ni yake! huo uzi ulikuwepo humu!!!
Kwa mtazamo wangu naamini kabisa mtu wa IT mpaka anamaliza mara nyingi wanakua na Lapotops, nadhani pamoja na kuchoma mahindi ni vyema akajifikirisha zaidi, anaweza anza tengeneza hata websites na softwares hata kwa bei ya chini, tatizo litakua kubwa kama alisoma IT bila kuwa na passion!!
Mpe pongezi zake mkuu!!
Mkuu mimi sijahajiriwa.Huko maofisini wanapata how much? Hahaha ndo maana nasema ni kwa sababu watu wanatumia fake ID la sivyo watu wangeumbuana sana humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo jamaa elimu haijamsaidia,fani ya IT haihitaji mtaji-mtaji ni maarifa aliyonayo kichwaniAnachoma mahindi ana kijiwe chake safi tu na jiko lake zuri tu.
Shida zetu hizi elimu za vyuoni tunajiona ni next levo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona elimu ya kujihajiri hujaijua bado.Tuambie vizito unavyo fanya wewe. Na Ueleze na Jina kamili. make hapo ulipo umeajiriwa.
Kama umeajiriwa huna nguvu kumkosoa jamaa.
Kama unejiajiri unaweza kumkosoa jamaa.
But unafanya kazi kwa mwanaume mwenzako hupaswi kumkosoa kamwe.
Make tukipima yeye ni mjanja na amajaribu.
Wewe ni muiga na una aibu fullu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera zake nyingi... Vijana inabidi tubadili mtazamo, maisha yamebadilika sanaKwakweli Jana nilijawa na furaha tele baada ya hapa Arusha kukutana na Graduate alie somea mambo ys IT anachoma mahindi.
Niliongea naye kwa kifupi sana ingawa nime mpromise kumtafuta tuongee zaidi.
Jamaa kaamua kuweka vyeti pembeni ni baada ya kutuma application nyingi bila mafanikio.
Kaamua kuondoa uoga na aibu na kwa sasa anapata mafanikio na nina amini hata Mungu yuko upande wake. Mungu huwa hayuko upande wa watu wenye aibu na waoga. Jamaa anakusanya mtaji hivyo kwa alicho somea si kwamba kaacha bali kuchoma mahindi ni kukusanya mtaji wa yeye kufanya mambo makubwa zaidi.
AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI MKUU WA KUTO FANIKIWA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ni kazi ili mradi mkono uende kinywaniAnachoma mahindi ana kijiwe chake safi tu na jiko lake zuri tu.
Shida zetu hizi elimu za vyuoni tunajiona ni next levo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni fani ipi inahitaji mtaji? Hebu tuanze na wewe hapa tueleze umesomea nini na unafanya nini.huyo jamaa elimu haijamsaidia,fani ya IT haihitaji mtaji-mtaji ni maarifa aliyonayo kichwani
Hahaha vijana wanasubikia mtaji waanzishe biashara za Juuza Used Car hizo ndo biashara wanazo jua Duniani hapa.Hongera zake nyingi... Vijana inabidi tubadili mtazamo, maisha yamebadilika sana
Mkuu mimi kwa kweli Si waelewi Watu. Ujue shida sio jamaa kasoka IT tatizo ni kuuza mahindi.Good idea na hii biashara inalipa sana. I wish angekua Mby City tubadilishane mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi kwa kweli Si waelewi Watu. Ujue shida sio jamaa kasoka IT tatizo ni kuuza mahindi.Good idea na hii biashara inalipa sana. I wish angekua Mby City tubadilishane mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umesoma IT kweli au unajua nini kuhusu IThuyo jamaa elimu haijamsaidia,fani ya IT haihitaji mtaji-mtaji ni maarifa aliyonayo kichwani
Hebu mwambie mkuuMkuu umesoma IT kweli au unajua nini kuhusu IT
Hawa jamaa wa IT kitu kikubwa ni mtaji kama huna mtaji wa kueleweka mjomba hio IT inahitaji FUNDING kubwa sana
Vifaa gani vya kielectronik visivyo vya gharama au part ipi ya IT anaweza kujiajiri mwenyewe asihitaji gharama za kuanzia sio biashara ile kuandika proposal unapewa mtaji hawa jamaa wanaofanya development ya systems au kutengeneza application i issue sana kukubalika hasa product zao sababu ya security issues kama hujui hawa watu wana struggle vipi hahahahha usiwasemee
IT sio kuwa na laptop afu una click izo buttons ila kuna vifaa muhimu ili waweze kujiajiri wenyewe
Ndugu, ni Principles zipi za kiuchumi ume apply ili kupata hizo hesabu zako? Je, ni kazi zipi hizo nyingine anaweza kufanya na akapata pesa.?Mkuu hayo mahesabu ni ya kufikirika tu
Kichumi zaidi apo iyo faida gawanya kwa 2 utapata 180,000 kwaiyo miezi 6
Kweli kijana aliyekamilika anamiguu miwili, anaakili timamu anafanya kazi 30 days per month alafu anasave 180,000
Sio mbaya lakini kuna kazi nyingi nzuri zaidi anazoweza fanya akapata zaidi ukizingatia ni kijana aliyesoma IT
Ndio maana watanzania wengi tunakua masikini kwa kufikiri kufanya vitu vyepesi huku tuliota ndoto za kua mabillionea
Sent using Jamii Forums mobile app