Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Huyu jamaa zamani alikuwa serious mtu kazi. Mnapeana kazi kila mtu anamaliza kwa wakati mnafanya majumuisho mnasonga mbele.
Hapa katikati amebadilika sana.mnaweza peana majukumu nyie mkamaliza yeye mkakuta anasua sua na kuwakwamisha sometimes. Ukimpigia anasema yupo busy sana mara sijui nini.
Sasa mara kadhaa huwa nalazimika kumfuata kwake sababu mi sijaoa ye kaoa. So ananiambia niende tukasaidiane amalize kazi. Ni jamaa yupo vizuri tu kwenye IT.
Jana nikaenda, tumefanya kazi imefika jioni. Anasema tusitishe kwanza. Nikamuuliza why ?tufanye kazi tumalize mi niwahi home. Akanisihi sana. Mwishowe ndo akaniambia anataka kuangalia tamthiliya hizi zinaoneshwa zimetafsiriwa kwa kiswahili.
Nlishtuka sana. Nlidhani anatania. Nikakuta kweli anataka tusogee sebuleni tukae tuangalie.maana muda huo wote tulikaa meza ya dinning.
Kwa kweli ilibidi nimuage mi huwa siwezi kukaa kuangalia mambo ya kijinga. Jamaa amechange kumbe ni tamthiliya hizi za kibwege. Na ukiangalia jamaa hata uongeaji wake umebadilika sana. Amekuwa kama bwabwa.
Anaangalia sana hizo tamthiliya kwenye decoder ya kampuni flani pendwa nchini. Hovyo sana. Amekuwa jinga jinga tu hivi. Amekaa na mkewe na house girl wanafurahi na kukumbushana last week ilikuaje.
Nimeumia sana ndo maan jamaa hata kazi siku hizi hazifanyi kwa wakati. Amekuwa bwege kabisa. Kama haitoshi anazungumza kuwa anatafuta tena CDs za sijui Mkonjani....? Nikamuuliza ni nani anasema "we hujawahi mwona? Ukipanda mabasi ya mikoani wanaweka sana filamu zake"
Nlikumbuka basi moja nlipanda la Tanga nikawaambia wabadilishe hiyo film ya kitoto na mle ndani tumepanda watu wazima. Dereva alipata shida kunielewa.
Kizazi hiki hata ushoga unazidi kwa sababu ya mambo ya kijinga kama haya. Watu wanakuwa mafala sana. Jamaa amekuwa fala na bwege kweli kweli. Jinga kabisa. Analaza na kazi sababu akili yake isha rojoka mpaka mwisho.
Hapa katikati amebadilika sana.mnaweza peana majukumu nyie mkamaliza yeye mkakuta anasua sua na kuwakwamisha sometimes. Ukimpigia anasema yupo busy sana mara sijui nini.
Sasa mara kadhaa huwa nalazimika kumfuata kwake sababu mi sijaoa ye kaoa. So ananiambia niende tukasaidiane amalize kazi. Ni jamaa yupo vizuri tu kwenye IT.
Jana nikaenda, tumefanya kazi imefika jioni. Anasema tusitishe kwanza. Nikamuuliza why ?tufanye kazi tumalize mi niwahi home. Akanisihi sana. Mwishowe ndo akaniambia anataka kuangalia tamthiliya hizi zinaoneshwa zimetafsiriwa kwa kiswahili.
Nlishtuka sana. Nlidhani anatania. Nikakuta kweli anataka tusogee sebuleni tukae tuangalie.maana muda huo wote tulikaa meza ya dinning.
Kwa kweli ilibidi nimuage mi huwa siwezi kukaa kuangalia mambo ya kijinga. Jamaa amechange kumbe ni tamthiliya hizi za kibwege. Na ukiangalia jamaa hata uongeaji wake umebadilika sana. Amekuwa kama bwabwa.
Anaangalia sana hizo tamthiliya kwenye decoder ya kampuni flani pendwa nchini. Hovyo sana. Amekuwa jinga jinga tu hivi. Amekaa na mkewe na house girl wanafurahi na kukumbushana last week ilikuaje.
Nimeumia sana ndo maan jamaa hata kazi siku hizi hazifanyi kwa wakati. Amekuwa bwege kabisa. Kama haitoshi anazungumza kuwa anatafuta tena CDs za sijui Mkonjani....? Nikamuuliza ni nani anasema "we hujawahi mwona? Ukipanda mabasi ya mikoani wanaweka sana filamu zake"
Nlikumbuka basi moja nlipanda la Tanga nikawaambia wabadilishe hiyo film ya kitoto na mle ndani tumepanda watu wazima. Dereva alipata shida kunielewa.
Kizazi hiki hata ushoga unazidi kwa sababu ya mambo ya kijinga kama haya. Watu wanakuwa mafala sana. Jamaa amekuwa fala na bwege kweli kweli. Jinga kabisa. Analaza na kazi sababu akili yake isha rojoka mpaka mwisho.