atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Kwahiyo ww jamaa ndio umeamua kuwa mchepuko wa kudumu wa Unforgettable ?[emoji23][emoji23][emoji23]wapo wengi humu aisee Unforgettable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ww jamaa ndio umeamua kuwa mchepuko wa kudumu wa Unforgettable ?[emoji23][emoji23][emoji23]wapo wengi humu aisee Unforgettable
Hayo ndo mambo mnayo danganywa naweka kichwa tu mwisho wa siku yoteee ajigawaje na tamthilia isha mgawa.Mshauri tu aweze kufanya kazi kwa wakati ajue anajigawa vipi ila mambo ya kuangalia tamthilia nadhani ni suala lake binafsi.
Kabla ya kusoma uzi huwa nashuka fasta kwa comments mbili tatu za mwanzo..Kwahiyo ukaona utaje ushoga? Km lengo lilikua kusemea ushoga ungesema bila kuhusisha tamthilia hizo.
Maana ni vitu tófauti kabisaaa.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mpenzi wangu haangalii kabisa hizi vitu na hata kama angekua anaangalia ni mapenzi yake siwez mkataza.Hayo ndo mambo mnayo danganywa naweka kichwa tu mwisho wa siku yoteee ajigawaje na tamthilia isha mgawa.
Jitahidi man wako asipendelee kama ana angalia sawa ila asipendelee zitamlegeza
Unadhani mabwabwa hayajaoa?We Jamaa sio bure...Malalamiko na kichwa cha uzi ni viwili tofauti.
Pia hukupendezwa mwamba anavyo enjoy na penzi la shemeji yako.
Kama kweli ni bwabwa sidhan angekuwa na mkewe.
Kifupi haya ni makasiriko
Narudia tena, one man down aiseeOne man down
Anapenda tamthiliya za kitoto... Hazimkuzi akili. Anakuwa bwege sanaStaili ya uandishi wako kumhusu jamaa inachekesha sn.
Nilipoona kichwa cha habari nilidhani yupo taabani hatua za mwisho kwa ugonjwa usio na matibabu,Kumbe amekuwa mpenda series.
Jamaako kaamua kutokuwa serious na maisha plus too na sasa tumeletewa TRAT na TRAB, mwache tu ayafurahie maisha.
Umeona eeeh.... Yale matamthiliya ya kipumbavu yanafubaza akili...jamaa amekuwa bwege.....bwege mtozeniNina bro mmoja tulikuwa tunakae nae ni mkubwa kwangu ana miaka 39 au 40 sasa huyu jamaa kipindi cha nyuma ana miaka ile ya kujipambania alikuwa ni mtu wa tamthilia sana 😥😥😥zile sijui la relevancha ,sijui maria Clara na the long wait zote anafuatilia na pale enzi zile sisi ikiisha mielekeza jumamosi hao tunaingia zetu kulala.
Naona huo umri ana watoto wakubwa wawili wako darasa la nne mwingine la kwanza ila jamaa anakaa kwao mpaka kesho yaani kapumbaaa yeye kuwa mbele mbele kweny shughuli kama harusi, sijui sendoff na kazi kachagua zile za urojo urojo kujifanya mtu wa mapambo ila anakaa kwao sema mzee ana pesa kidogo halafu ye ndo wa kwanza mdgo wake around 35 ana nyumba mbili ana mke na watoto Tena mkoani ila huyo kapumbaaa tangu kijana.
Kuna kipind wenzie walizamia akaambiwa akadai "je nilienda kufa' yaani muoga ila anapendwa na mother yake ni mzee yupo hai mpaka leo.
Heeeh.... Hatari na nusu.Una tatizo kidogo kwa masiha yako...
Umesema kweli....Hayo ndo mambo mnayo danganywa naweka kichwa tu mwisho wa siku yoteee ajigawaje na tamthilia isha mgawa.
Jitahidi man wako asipendelee kama ana angalia sawa ila asipendelee zitamlegeza
Sababu una akili upo smart. Hizo wanaangalia wadada wa kiswahili wa mtaaani hopelessmh noma me ni mdada lkn siwezagi kuangalia izo mambo