Jana nilifanya mazungumzo na Yesu Kristo na kumwomba ufafanuzi kuhusu amri zake kuu mbili za upendo. Na hapa nakuletea mazungumzo hayo kwa ufupi

Hakikisha umetoa fungu la 10 mkuu.
 
Huyo alikuwa anawasilisha somo kwa njia ya uigizaji na wengi mmevutiwa kusoma kutokana na mbinu aliyoitumia kwenye uwasilishaji wake na yuko kanisani sasa hivi.
 
Umesoma wapi ? Mnadanganywa sana na kina mwamposa
2 Kor 3:13-16 SUV
[13] nasi si kama Musa alivyotia utaji juu ya uso wake, ili kwamba Waisraeli wasitazame sana mwisho wa ile iliyokuwa ikibatilika; [14] ila fikira zao zilitiwa uzito. Kwa maana hata leo hivi, wakati lisomwapo Agano la Kale, utaji uo huo wakaa; yaani, haikufunuliwa kwamba huondolewa katika Kristo; [15] ila hata leo, torati ya Musa isomwapo, utaji huikalia mioyo yao. [16] Lakini wakati wo wote watakapomgeukia Bwana, ule utaji huondolewa.

Nisitoe maelezo yoyote bali nikuwekee tafsiri ya kiswahili rahisi huwenda luna kitu utaelewa...

2 Wakorintho 3:13-17 TKU
[13] Hatuko kama Musa, ambaye alifunika uso wake ili watu wa Israeli wasiendelee kuona kuwa utaratibu wa zamani wa kumtumikia Mungu ulikuwa unaelekea mwisho. [14] Lakini mioyo yao ilikuwa imefungwa. Na hata leo, watu wale wanapolisoma agano la kale, fahamu zao zinakuwa zimefunikwa. Ni kwa kupitia Yesu Kristo tu agano la kale linaondolewa. [15] Ndiyo, hata leo, wanaposoma sheria ya Musa, fahamu zao zimefunikwa. [16] Lakini, kama maandiko yanavyosema juu ya Musa, “Kila anapomgeukia Bwana, ufahamu wake unafunuliwa.” [17] Katika maandiko hayo Bwana ni Roho, na palipo na Roho wa Bwana, pana uhuru.
 
Tatizo lenu nyie jamaa ,mnatumia vibaya sana Maandiko ya Paulo ,ndio maana Leo matapeli wanaojiita mitume na manabii wamekuwa wengi sana

Katika 2 Petro 3:15-16, Petro anaonya wazi kuhusu upotoshaji wa nyaraka za Paulo, akisema kuwa kuna mambo magumu kueleweka ambayo watu wasio na elimu hupotosha kwa uvunjifu wao wenyewe.

Hii inadhihirisha kuwa nyaraka za Paulo hazipaswi kufasiriwa kirahisi bila muktadha wa maandiko yote ya Biblia. Kwa msingi huu, hoja ya kwamba sheria au amri za Mungu hazina kazi si sahihi na inatokana na upotoshaji wa maandiko.

Katika 2 Wakorintho 3:13-16, Paulo hakukataa sheria za Musa, bali alieleza jinsi torati ya Agano la Kale ilivyokuwa mwongozo wa muda kuelekea wokovu kupitia Kristo. Aya ya 13 inasema kuwa Musa alifunika uso wake ili Waisraeli wasione mwisho wa utukufu wa sheria, lakini hii haimaanishi kwamba sheria haikuwa na maana. Badala yake, sheria ilikusudiwa kuwa daraja la kuelekea neema ya Kristo, kama inavyothibitishwa katika Wagalatia 3:24, ambayo inasema kwamba torati ilikuwa mwalimu wetu wa kutuleta kwa Kristo ili tupate haki kwa imani.

Aya ya 14 inazungumzia fikira za Waisraeli zilizotiwa uzito, zikimaanisha kwamba walishindwa kuelewa maana ya kweli ya sheria kwa sababu walikuwa na mioyo migumu. Hata leo, watu wengi wanaposoma sheria, wanashindwa kuona uzuri wake kwa sababu hawajamgeukia Kristo. Lakini, aya ya 16 inasema kuwa wakati wowote wanapomgeukia Bwana, pazia linaondolewa. Hii inaonyesha kuwa Kristo hakufuta sheria bali alitimiza sheria na kuzifanya kuwa na maana kamilifu kwa wale waliomwamini. Hivyo, kudai kwamba sheria za Mungu hazina kazi ni kupinga wazi mafundisho ya Biblia, hasa maneno ya Yesu katika Mathayo 5:17, aliposema, "Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza."

Kwa msingi huu, hoja inayodai kwamba sheria za Mungu hazina kazi inapuuza ukweli wa Biblia kuwa sheria ni takatifu, ya haki, na ya uzima (Warumi 7:12).

Sheria si njia ya wokovu, lakini inatufundisha juu ya dhambi na hitaji letu la neema kupitia Kristo. Kupinga sheria ni sawa na kupinga mpango wa Mungu wa wokovu na maisha matakatifu.

Naomba unijibu maswali yafuatayo

1. Ikiwa sheria ya Mungu haina kazi, kwa nini Yesu alisema kuwa hakufuta torati bali alikuja kuitimiliza (Mathayo 5:17)?


2. Kama sheria ilikuwa batili, kwa nini Paulo alisema kuwa torati ni takatifu na amri zake ni za haki na za uzima (Warumi 7:12)?


3. Je, ni kwa njia gani tunapaswa kufahamu dhambi kama si kupitia sheria, kama Paulo alivyosema katika Warumi 3:20, kwamba kwa sheria hutoka ujuzi wa dhambi?

UKINIJIBU HAYO MASWALI NITASHUKURU SANA ,UKIYAKIMBIA SAWA
 
Naangalia juu naomwona yesu namwambia nipe tano nie gwara we ndo mchizi wangu. Hapo naona ulipiga kitu cha arusha kwanza ndo ukapiga story na bwana jesus
 
Katika 2 Wakorintho 3:13-16, Paulo hakukataa sheria za Musa, bali alieleza jinsi torati ya Agano la Kale ilivyokuwa mwongozo wa muda kuelekea wokovu kupitia Kristo.
Katu yangu na wewe nani anashindwa kwa kutafsiri vizuri... Unasoma bible nusunusu kwa kulenga yale unayoona yanakufaa.

Wewe ni moja ya watu uliyesikia na kujua ukweli lakini hutaki kuamini kwa sababu kila ukitaka kuamini pazia linakalia moyo wako.
Umesema Torati ya Musa ilikuwa mwongozo wa Muda kuelekea wokovu, sasa tumepata wokovu tunahaja gani tena ya kukumbatia kile kilichokuwa cha muda?

Hebu soma hapa kwa kiswahili rahisi kabisa...

Wagalatia 3:23-25 TKU
[23] Kabla ya aliye mwaminifu kuja, sheria ilituweka sisi kama wafungwa. Hatukuwa huru hadi imani hii inayokuja ilipofunuliwa kwetu. [24] Nina maana kuwa sheria ilikuwa ni mlezi aliyetusimamia tu hadi Kristo alipokuja. Baada ya kuja kwake, tungefanyika kuwa wenye haki mbele za Mungu kwa njia ya imani. [25] Sasa kwa sababu imani hii imekuja, hatuhitaji tena kusimamiwa na kulelewa na sheria.

Soma hapa aya ya 25 kwa kiswahili ulichozoea...

Gal 3:25 SUV
[25] Lakini, iwapo imani imekuja, hatupo tena chini ya kiongozi.

Kwa kuwa Kristo amekuja, hatuhitaji Tena Torati kama msimamizi wetu bali hata sasa tupo kwa Kristo hatuhitaji kiongozi mwingine isipokuwa Kristo.

Na ukiendelea kushikiria sheria unabaki Mfungwa mpaka pale itakapofuniliwa Torati huondoka palipo na kristo.

Narejea kujibu maswali yako
 
Amri mbili;
1. Ya kwanza,mpende Mungu kwa uwezo wako wote,,
Halafu kwa upendo huo unaompenda Mungu,na wewe jipende hivyo hivyo.
Yaani usitoe hela zako zote sadaka Kanisani halafu useme Mungu amekutuma.
2. Halafu mpende ndugu yako kama unavyojipenda wewe.
Again,usisahau maslahi yako eti kwa ajili unataka kuonyesha upendo kwa ndugu au jirani.
Love your neighbhour as yourself.

YOU CONTINUE TO PRACTICE ALL THE WAYS TO BREAK THE LAWS OF GOD AND CREATION FOR YOU HAVE FORGOTTEN WHAT THEY ARE. I SHALL REMIND YOU OF A FEW OF THEM HERE:

COMMANDMENTS OF GOD YOU SHALL HAVE NO OTHER GODS THAN THE GOD CREATOR AND ABIDE WITHIN THE LAWS OF THE CREATION WHICH ENCOMPASSES ALL.

YOU SHALL NOT MAKE FOR YOURSELVES IDOLS AND FALSE IMAGES TO WORSHIP AS GODS FOR THEREIN YOU GIVE POWER INTO THE HANDS OF EVIL, FOR WITHIN YOUR HEARTPLACE MUST DWELL A DOUBT OF THE FULNESS OF CREATOR IF YOU EMPOWER OTHER THAN GOD AND THE GOD FRAGMENT WITHIN SELF.

The repercussions of breaking this law are usually most heinous indeed and once Pproduced; i.e., the lands depleted, the addictions of the mother to the babe, the disease unto the children, etc., you can see that the “sin” or error, of the parent is visited most surely upon the child and the grandchildren and so on.

YOU SHALL LOVE THY LORD GOD WITH ALL THY HEART, SOUL AND BEING. (YOU SHALL LOVE GOD AS THINESELF!)

Most of you hate and despise yourselves beyond comprehension. If you live according to the Laws there is balance and these things of negative destruction do not come into beingness.

YOU SHALL NOT USE THE NAME OF GOD IRREVERENTLY, NOR USE OF IT TO SWEAR TO A FALSEHOOD.

If you do this thing, then you have proven that your own word is without merit and further, you are calling into play great power which also gives unto evil the gift of your strength.

REMEMBER THE SABBATH TO KEEP IT HOLY.

This is possibly the most truly misunderstood of all directives and has been most incorrectly applied according to man. YE SHALL ALLOW OF TIME TO COMMUNE IN TRUTH WITH GOD IN HIS TEMPLE WHICH IS WITHIN SELF . YOU SHALL REFRESH OF YOUR MINDS THE TRUTH OF THE DIRECTIVES AND ABIDE IN TRUTH AND HONOR. IT REPRESENTS YOUR TIME OF DEVOTION AND COMMUNION TO GOD AND THE CREATION THAT YOU NOT STRAY INTO THE TRAP OF EVIL. IT MOST CERTAINLY DOES NOT MEAN THAT YOU GO FORTH INTO A MAN-MADE TEMPLE TO HEAR ANOTHER MAN'S INTERPRETATION OF GOD. YOU GO FORTH INTO THE VERY PLACES WHERE EVIL HAS SET UP THE IDOLS FOR YOU TO WORSHIP. OH LITTLE ONES OF THE LIE, MERCY BE UNTO YOU FOR YOU HAVE SLEPT TOO LONG.


HONOR YOUR FATHER AND YOUR MOTHER THAT YOUR LIFE SHALL BE LONG IN THE LAND GIVEN UNTO YOUR CARE.

So be it. Give appreciation, honor, care and respect unto those earth humans who gave you passageway into human format--BUT HONOR THY FATHER, CREATOR, AND MOTHER, THE CREATION, OF WHOM YOU ARE SOLELY COMPRISED. THROUGH YOUR DISHONOR THEREOF YOU HAVE SLAIN YOURSELVES.

YOU SHALL NOT MURDER THY FELLOW HU-MAN.

There is naught to misunderstand in this edict. Murder is the willful taking of another's life through intent, assisted suicide or suicide, or any such act, with knowledge and intent. That, brothers, includes WAR!

YOU MUST NOT COMMIT ADULTERY

. Now here is one you have written and rewritten to suit of yourselves. You have given of your own definitions to words to suit the lust and desires of the human physical form. “ADULTERY” is any sexual copulation of any form, outside the state of contractual marriage and that act within a marriage EXCEPT between A HUSBAND AND WIFE to procreate offspring to form family segments. WHAT HAVE YE ONES DONE WITH THIS COMMANDMENT?

Oh, I see, you don't like that? So you have brought overpopulation, disease, murder through abortion, child abuse and all manner of gross evil against yourselves and your peoples. You, as a planet, cannot survive the burden of that which you have brought forth through the re-writing of that Law to please your human physical lust. So be it. Whether or not you like of it, it is a most reasonable Law indeed .

YOU MUST NOT STEAL.

That, too, is most simple to understand--you take nothing that is another's, whether it be tangible or idea; especially his ideas, for they are most privately his possession. You must always give honor and appreciation for the use of another's ideas even if he has departed your dimension. Dear ones, even the heinous ideas--for thy evil brother should be given his due credit if his ideas have precipitated evil. Ye shall cease in the practice of giving credit to the Lord thy God for the corruption and heinous acts of evil.

YOU MUST NOT LIE.

Well, this too has been written and re-written and totally misunderstood. A “lie” is not some smattering of words from the lips. The LIE is the practice and projection of evil in any form. You, for instance, have become people of the lie and subjects of the Prince of Lies. This one would require all the rest of this document to fully discuss.

YOU MUST NOT COVET OR ENVY THAT WHICH BELONGS TO THY NEIGHBOR.

You must be pleased over that which is another's if it be worthy and ye shall try to earn in honor and integrity that which may be equal. You shall not take that which is your friend's or your neighbor's nor shall you desire to take his property for your own and leave him without that which is his.

COMMANDMENTS OF SATANIC PRACTICE

SATANIC COMMANDMENTS AND RULES ONLY AMOUNT TO “DEGREE” OF ONE LAW--BREAK ALL LAWS OF GOD CREATOR AND THE CREATION--

IN SUBSTANCE, ACT, AND COMPLETELY IN LITERAL COMPLETION!

LET THAT SEEP INTO YOUR CONSCIOUSNESS FOR A MOMENT

IT DOES NOT ULTIMATELY MEAN TO MURDER AN INSECT OR AN ANIMAL--IT MEANS EXACTLY WHAT IT SAYS--MURDER A HUMAN BEING. KILL IT AND DEFILE IT IN ANY MANNER POSSIBLE BEFORE OR AFTER DEATH OF THE VICTIM BODY, FOR THE INTENT IS TO DEFILE THE SOUL WHICH IS THE FRAGMENT OF ETERNAL LIFE.

IT FURTHER MEANS THAT IT IS NOT ENOUGH IF “SEVERAL” KILL A HUMAN ENTITY--IT MEANS THAT EACH SATAN FOLLOWER MUST KILL TO FULFILL HIS INDIVIDUAL COMMANDMENT REQUIREMENTS.

SINCE ADULTS ARE NOT SO EASILY TRAPPED AND UTILIZED, THE CHILDREN--YOUR CHILDREN--ARE TAKEN FOR THESE DEATH RITUALS. MOTIVES, THE POLICE WILL SEEK--THEY WILL MOST OFTEN FIND NONE. FURTHER, IN YOUR CURRENT TIME, THE VERY ACT OF MURDER WILL BE HIDDEN BEHIND THE FACADE OF THEFT, DRUGS, AND ALL MANNER OF FALSE DISGUISES. THE MORE ATROCIOUS THE METHOD AND CIRCUMSTANCE, THE HIGHER THE RANK OF THE LEADER OF THE INDIVIDUAL COVENS.

WHEN THE GOING GETS ROUGH AND THE BOOM COMES DOWN, THE DEVIL WILL DESERT HIS OWN ONCE THEY CAN NO LONGER BE USEFUL AS TOOLS. HE WILL PROMISE YOU POWER, GREATNESS, WEALTH AND ON AND ON WILL HE PROMISE YOU “THINGS”. THEN, AS ABRUPTLY, WHEN YOUR USEFULNESS IS SERVED, YOU WILL BE THROWN TO THE WINDS TO REAP OF THE PAIN ALONE AND BE DESTROYED.

THE ONSET WILL BE SUBTLE, JUST A LITTLE LIE, JUST A LITTLE GREED, JUST A LITTLE TAKING, JUST A BIT OF ADULTERY, JUST ONE HIT OF A DRUG TO TEST IT (note that drugs are now addicting from first trial! That is no accident!), JUST A LITTLE BIT OF VIOLENCE AND LAWBREAKING TO GET A “HIGH”, JUST A LITTLE BIT OF A RIPOFF OF YOUR COMPANY OR NEIGHBOR IN SECRET. THEN, A LITTLE MORE AND A LITTLE MORE AND FINALLY YOU ARE SWALLOWED ALIVE

GOD MAY BE MOST MYSTERIOUS IN HIS WONDERS TO PERFORM. BUT, DEAR ONES, EVIL IS NOT EVEN CONCERNED ENOUGH TO BE MYSTERIOUS! PLAY UNTO MAN'‟S FEARS AND BLINDNESS AND YOU CAN CONTROL HIM UNTO HUMAN DEATH.
 
Acha maneno mengi,Rudi ujibu maswali ,halafu ulichoeleza hapa ,ni wazi wewe ni wale Petro aliowasemanayapotosha maandiko ya Paulo

Torati ya Musa haikuwa mwongozo wa muda kuelekea wokovu bali ni sehemu ya mpango wa Mungu wa milele kwa mwanadamu. Katika Mathayo 5:17, Yesu alisema wazi kuwa hakukuja kuitangua Torati bali kuitimiliza. Hii ina maana kwamba Torati bado ina umuhimu wake katika kuelewa haki ya Mungu na njia zake. Kristo hakuondoa sheria, bali alitimiza maana yake kamili kwa kutufunulia jinsi inavyotumika ndani ya neema na imani. Ikiwa Torati ni ya muda tu, kwa nini Mungu aliihusisha na maagizo ya milele kama Sabato na amri za maadili? Je, Kristo kuja kunafuta hizo sheria za msingi?

Kudai kwamba hatuhitaji tena Torati kwa sababu Kristo amekuja ni kupotosha maandiko. Torati si adui wa wokovu, bali ni kielelezo cha tabia ya Mungu na viwango vyake vya haki. Warumi 3:31 inasema, "Je! Basi, tunaibatilisha sheria kwa imani? Hasha! Kinyume chake tunaithibitisha sheria." Hii inaonyesha kwamba imani kwa Kristo haiondoi umuhimu wa sheria, bali inaimarisha nafasi yake katika maisha ya waumini. Katika Wagalatia 3:24-25, Paulo anasema sheria ilitulea kama mlezi, lakini je, kulelewa hakumaanishi kuwa tunapaswa kuheshimu msingi wa kile tulichofundishwa? Kwa nini uamini kuwa mlezi huyo hakufundisha thamani ya kudumu?

Pia, kushikilia kwamba kushika Torati ni kubaki mfungwa kiroho ni kufasiri vibaya maandiko. Sheria ilitolewa kwa upendo ili kutufundisha kuhusu dhambi na kutupeleka kwa Kristo (Wagalatia 3:24). Kristo hakutufanya huru kutoka kwa wajibu wa kumtii Mungu bali kutoka katika adhabu ya dhambi. Wakati tunapokea neema, tunaitimiza Torati kupitia maisha yaliyoongozwa na Roho Mtakatifu (Warumi 8:4). Kama kuendelea kushikilia Torati ni kubaki "mfungwa kiroho," unafafanua vipi Warumi 7:12 inayosema "Kwa hiyo sheria ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema"? Je, hili si pingamizi kwa tafsiri yako?

Kwa hivyo, hoja kwamba Torati imeondolewa kabisa si sahihi. Wokovu unapatikana kwa imani kwa Kristo, lakini Torati bado inatuonyesha mapenzi ya Mungu na kutusaidia kuishi maisha matakatifu. Kuitupilia mbali ni kupoteza kipengele muhimu cha Neno la Mungu.
 
Huyo alikuwa anawasilisha somo kwa njia ya uigizaji na wengi mmevutiwa kusoma kutokana na mbinu aliyoitumia kwenye uwasilishaji wake na yuko kanisani sasa hivi.
Mbinu ya uwasilishaji somo ilikuwa excellent.
Lengo la somo limefanikiwa 100%
Ila mbwembwe kidogo zilitaka kuzidi. Next time apunguze mbwembwe ili kuokoa muda na kutokuwachosha wasomaji.
 
1. Ikiwa sheria ya Mungu haina kazi, kwa nini Yesu alisema kuwa hakufuta torati bali alikuja kuitimiliza (Mathayo 5:17)?
Wewe unahisi Sheria ina kazi gani?

Yesu anawataja waliomtangulia kuwa ni WEZI, mwizi huja ila kuiba na kuua.
Waliomtangulia hasa unafikri ni akina nani? MUSA/TORATI ndio aliyemtangulia KRISTO na wote lengo lao ni moja ni kumwokoa mwanadamu.

Lakini Yesu anasema waliotangulia ni WEZI bali yeye pekee ndio Mwokozi.

Yn 10:7-10 SUV
[7] Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo. [8] Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi; lakini kondoo hawakuwasikia. [9] Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho. [10] Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.

Hivyo ukiniuliza kazi kubwa ya Sheria mimi nakujibu kazi yake ni KUUA/KUCHINJA/KUANGAMIZA.

Paulo ni moja ya wale waliolewa neno hili anakiri hapa namna Amri ilivyomuua hapo kabla ya kujua ukweli...

Rum 7:9-10 SUV
[9] Nami nalikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa. [10] Nikaona ile amri iletayo uzima ya kuwa kwangu mimi ilileta mauti.


Mtu yeyote anayetoa huduma ya Amri Kumi mtu huyo anatoa huduma ya mauti.
2 Kor 3:7 SUV
[7] Basi, ikiwa huduma ya mauti, iliyoandikwa na kuchorwa katika mawe...(Nafikri unajua ni kitu gani kiliandikwa kwenye mawe)

Kwanini Yesu alisema hakuja kutangua bali kutimiliza sheria
Kutimiliza ni sawa na kukamilisha.

Lengo la Torati ilikuwa ni kuwapa watu uzima na kubarikiwa(mith 3:1-6, Kumb 28:1-14, 30:19).

Lakini sheria haikuweza kuwapa watu uzima bali kila Kifo ndio kilizidi kuongezeka, kuvunja sheria moja tu adhabu yake ilikuwa ni kuuawa ama kutengwa.


Baada ya Torati kufeli Kristo ndiye aliyeamua kukamilisha Lengo la Sheria la kuleta Uzima. Kwahiyo alivyosema hakuja Kuifuta bali alikuja kukamilisha Lengo la Sheria. Na baada ya hapo hatuna haja tena ya Kushika Torati ili tupate Uzima bali ni kazi Yetu ni kuamini aliyekamilisha kazi ya Sheria.

Naendelea swali la pili.
 
Katika 2 Wakorintho 3:13-16, Paulo hakukataa sheria za Musa, bali alieleza jinsi torati ya Agano la Kale ilivyokuwa mwongozo wa muda kuelekea wokovu kupitia Kristo.

Torati ya Musa haikuwa mwongozo wa muda kuelekea wokovu bali ni sehemu ya mpango wa Mungu wa milele kwa mwanadamu.
Inaonekana hakuna unachoamini kwa sabubu hueleweki unatetea kipi. Jipange ueleweke kwanza ndio Tuzungumze.
 
Ikiwa Torati ni ya muda tu, kwa nini Mungu aliihusisha na maagizo ya milele kama Sabato na amri za maadili? Je, Kristo kuja kunafuta hizo sheria za msingi?
Kwa uelewa wako inaonesha huijui Sabato ni nini?

Pia hata sheria huijui vizuri.

  1. Sheria inakataza usiwashe moto siku ya sabato
  2. Sheria inakataza kulima mazao mawili kwenye shamba moja.
  3. Sheria inakutaka utoe asilimia kumi ya mapato yako.
  4. Sheria inazuia kuvaa nguo zenye material tofauti(yaani usivae suruali ya Pamba na shati la nylon)
  5. Sheria inakuhitaji usiache mchawi aishi, sheria inakutaka umuue yule atakayevunja sabato.
Je Kwenye hayo nimekosea? Kama sijakosea unahisi inawezekana hayo yote kuyashika? Hebu angalia watu kama Iran, Afghanistan wanaojaribu angalau nukta kushika sheria uone ulivyotofauti nao.
 
Mwambie afungue account ya Jf akikutembelea tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…