Jana nilifanya mazungumzo na Yesu Kristo na kumwomba ufafanuzi kuhusu amri zake kuu mbili za upendo. Na hapa nakuletea mazungumzo hayo kwa ufupi

Jana nilifanya mazungumzo na Yesu Kristo na kumwomba ufafanuzi kuhusu amri zake kuu mbili za upendo. Na hapa nakuletea mazungumzo hayo kwa ufupi

Wakuu, kwa kuwa katika muda huu, sisi wenye mamlaka ya kusimamia na kuandaa wataalamu wa baadae (walimu) tupo likizo. Ninaitumia likizo hii kwa kwenda shambani ili kuzalisha chakula.

Wakuu, jana nilibahatika kukutana na Yesu ana kwa ana, nilikuwa natoka shambani narudi nyumbani majira ya mchana kwa ajili ya kupata la mwidebe (kula).

Ghafla, mbele yangu kwa juu nikashangaa wingu safi jeupe linashuka kwa kasi katika ueleko nilipo, punde si muda, likanifikia, lahaula kumbe ulikuwa ni usafiri uliomsafirisha Yesu kutoka mbinguni kuja kuonana na mimi.

Alinikuta njiani. Wakuu, kwa kuwa kuna mambo mengi huwa yananitatiza kila ninaposoma Biblia hasa vitabu vinavyoelezea utumishi wa Yesu Kristo akiwa hapa duniani, ilibidi niruke fasta sana na fursa adhimu kama ile kwa kuongea na kumuomba ufafanuzi kwa yale yanitatizayo.

Mazungumzo baina yangu na Yesu Kristo yalikuwa kama ifuatavyo.

Mimi: Shikamoo Bwana mkubwa Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.
Yesu: Marhaba mdogo wangu na rafiki yangu Barnabas Mashamba.
Mimi: Hee, unalijua hadi jina langu bila kukuambia.
Yesu: Siyo jina tu, najua hadi idadi ya nywele zako kichwani. By the way, kama wewe umefahamu jina langu pasipo kukutajia, kitu gani kinafanya mimi nisilijue jina lako?
Mimi: Eniwei hivi Yesu Kristo, kwanini ulianzisha amri mpya? Si baba yako kupitia Musa alikuwa ametupatia amri kumi tena akiwa ameziandika kwa kidole chake mwenyewe kwenye mbao mbili za mawe?
Yesu: Amri gani mpya ambayo nilileta?
Mimi: Siku ulipoulizwa swali kuhusu amri ipi ni kuu katika torati na manabii, si ulileta amri mpya wewe.

Mazungumzo yangu na Yesu kristo yalitokana na yale niliyosoma katika kitabu kile cha Mathayo sura ya 22

Mathayo 22:35-40
[35]Mmoja wao, mwana-sheria, akamwuliza, akimjaribu;
Then one of them, which was a lawyer, asked him a question, tempting him, and saying,

[36]Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?
Master, which is the great commandment in the law?

[37]Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
Jesus said unto him, Thou shalt love the Lord thy God with all thy heart, and with all thy soul, and with all thy mind.

[38]Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
This is the first and great commandment.

[39]Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
And the second is like unto it, Thou shalt love thy neighbour as thyself.

[40]Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.
On these two commandments hang all the law and the prophets.


Yesu: Umesema swali lilihusu amri ipi kuu katika torati na manabii, right?
Mimi: exactly.
Yesu: Wakati natoa jibu, nilisema naleta amri mpya, au nilitoa jibu moja kwa moja kwa swali nililoulizwa kuhusu amri kuu katika torati na manabii?
Mimi: Sijui
Yesu: Hujui kwa kuwa hupendi kusoma.

Mimi: Sasa hapo Yesu naona unanitukana bila kujua elimu yangu, hivi kwanza wewe Yesu ulisoma ukahitimu hata darasa la kwanza?
Yesu: Hapana, sikubahatika kusoma elimu rasmi ya darasani ila nilijua kusoma na kuandika.
Mimi: Umesema kweli maana hata ulifuata msemo wa ndege wafananao huruka pamoja.
Yesu: Kwa nini unasema hivyo.
Mimi: Si ulichagua mitume ambao hawakusoma kama wewe ulivyokuwa kilaza wa elimu ya darasani yenye kumpatia mtu cheti, cheki umenukuliwa hadi kwenye mistari watu wakikuponda kuwa hukusoma, si unaona mwanao wa ukweli kabisa Yohana alitunukulia hilo kwenye Yohana 7:15, na wanafunzi wako waliokuwa wanawaza uvuvi tu wakati watoto wenzao wanakwenda shule nao wakinukuliwa kwenye Matendo 4:13, hivyo tabulalasa aliwachagua matabulalasa wenzake.

Yesu: Turudi kwenye swali lako maana naona unaanza kukwesheni elimu yangu na hapohapo unahitaji ufafanuzi wangu.
Mimi: Nisamehe master, hebu nipe nondo za kiufafanuzi sasa.

Yesu: Swali lililoulizwa lilihusu amri kuu katika torati na manabii, ndiyo au siyo?
Mimi: Ndiyo.
Yesu: Na mimi nilikuwa nimeshafundisha kuwa sikuja kutengua torati na manabii, bali kuzitimiliza, ndiyo au siyo?
Mimi: Ndiyo, tena hiyo nimeisoma kwenye Mathayo 5:17.
Yesu: Ewaaaa, uko sawa. Sasa kama nilishasema sikuja kutangua torati, kwa nini unanisakizia kuwa nilileta amri mpya?
Mimi: Kwa hiyo unamaanisha zile amri zako mbili, ya kumpenda Mungu na kuwapenda wanadamu hazikuwa mpya?
Yesu: Ewaaaa, hebu tusogee hapo kwenye mti tukae kivulini nikupe ujuzi.

Mimi na Yesu tukatembea kukiendea kivuli cha mti kilichokuwa karibu na tukaketi na mazungumzo yetu yakaendelea.

Yesu: Umenieleza umesoma, ulishawahi kusoma hisabati hata kiwango cha kujumlisha na kutoa?
Mimi: Siyo hesabu za kujumlisha na kutoa tu, hadi ma intergration, differentiation, mpaka ma-topology na abstract Algebra, ulishawahi kuzisoma?
Yesu: Nimekuuliza swali na wewe unajibu na kuniuliza swali, unanileta utanzania.

Yesu: Una Biblia hapo?
Mimi: Hapana nina jembe na panga tu.
Yesu: Ukifika nyumbani soma kitabu cha Warumi 13 : 8 , 9, lakini hapa nanukuu toka kichwani kwa ajili yako.

Warumi 13:8-9
[8]Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria.
Owe no man any thing, but to love one another: for he that loveth another hath fulfilled the law.

[9]Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
For this, Thou shalt not commit adultery, Thou shalt not kill, Thou shalt not steal, Thou shalt not bear false witness, Thou shalt not covet; and if there be any other commandment, it is briefly comprehended in this saying, namely, Thou shalt love thy neighbour as thyself.


Yesu: Kwenye hiyo aya hasa ya 9, tukifuata hesabu za kujumlisha mwandishi ambaye ni mtume wangu msomi kabisa ambaye hadi aliambiwa na mfalme Agripa kuwa kusoma kwake kwingi kumemgeuza akili (Matendo 26 : 24), mtume Paulo alileta ikwesheni ya kiarithimetikisi kama ifuatavyo.

Usizini + Usiue + Usiibe + Usitami + Amri nyingine yoyote = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Yesu: Sasa, zamu yako kujibu maswali yangu.
Mimi: Yalete, yalete.

Swali la 1
Yesu: Ukizini na mke au mme wa mtu, atakayeumia kihisia na kiakili ni Mungu au mke au mme wa aliyezini.
Mimi: Mke au mme ndiye ataumia kiimoshono, kihisia na huenda hata kiakili. Wengine hufikia hatua ya kuua waliozini na baada ya hapo hujimaliza pia.

Swali la 2
Yesu: Unakubaliana nami kuwa kwenye amri kumi, kuanzia amri ya tano mpaka ya kumi, amri hizo zote zinahusu mapendano ya binadamu na binadamu?
Mimi: Kwani amri hizo ya tano hadi ya kumi zinasemaje?
Yesu: Ndiyo hizo alizonukuu mtume Paulo, sema yeye hakuanza na amri ya tano, kwa faida yako amri zenyewe tuzijumlishe kwenye ikwesheni ya kiarithimetikisi kama ifuatavyo.

Amri ya tano + Amri ya sita + Amri ya saba + Amri ya nane + Amri ya tisa + Amri ya kumi = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Ambazo ini samare.

Waheshimu baba na mama yako + Usiue + Usizini + Usiibe + Usishuhudie uongo + Usitamani mali ya jirani yako = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Yesu: Ukimweshimu mzazi wako, umempenda jirani yako, binadamu mwenzako mwenye cheo cha uzazi.

Yesu: Usipozini, utakuwa umempenda binadamu mwenzako anayemiliki mme au mke ambaye ungezini naye. Kwa kutozini unakuwa umeepusha mambo ya misongo na matatizo ya kiakili yawakumbayo walioziniwa.

Yesu: Usipoiba, umempenda mwenye mali ambayo ungeiiba. Fikiria mtu ameteseka miaka ya kutosha akitafuta mali, wewe kwa siku moja tu unataka uimiliki mali yake.

Yesu: Ni hivyo hivyo kwa zile amri nne za mwanzo, zenyewe zinahusu kumpenda Mungu kama nafsi yako.

Yesu: Kwenye hesabu zetu, tuki-recall from above

Amri ya kwanza + Amri ya pili + Amri ya tatu + Amri ya nne = Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, kwa roho yako na kwa akili zako zote.

Yesu: Amri ya kwanza inakataza kuwa na miungu mingine. Kitendo cha kutafuta mungu mwingine na kumuacha Mungu muumbaji, umemwacha Mungu, umependa miungu.

Yesu: Amri ya pili inakataza kuchonga sanamu na kuliweka mahali pa Mungu.

Yesu: Amri ya tatu inakataza kutaja jina la Mungu pasipo sababu za msingi.

Yesu: Ya nne inakumbusha utunzaji wa sabato ambayo Mungu anasema ni mali yake na mimi Yesu Kristo niliwafundisha hata wanafunzi wangu kuwa mimi ndiye Bwana wa Sabato.

Hivyo kwa ikwesheni ya kiarithimetikisi

Usiwe na miungu mingine + Usijifanyie sanamu ya kuchonga + Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako + Ikumbuke siku ya sabato uitakase = Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako na kwa akili zako zote.

Mimi: Nisipozishika, kuna madhara yoyote nitapata.

Yesu: Chukulia mfano huu. Si unayafahamu yale maspika yaitwayo poromondo.
Mimi: Nayafahamu, si yale mara nyingi wanayatumia machinga kutangazia bidhaa zao mfano "Nanunua mabetri mabovu, ya gari, ya sola pamoja na ya pikipikiiiiiiiiii".
Yesu: Ewaaaa, hayohayo. Ukilichukua ukapita mfano karibu na kituo cha Polisi huku unamtukana Mungu kwa sauti inayosaidiwa na kusikika sehemu kubwa na hilo poromondo, Polisi watakukamata?
Mimi: Nadhani watanichukulia kama mwehu flani aliyetoroka matibabu.
Yesu: Vipi kwenye hicho hicho kituo ukapita unamtukana Rais wa nchi?
Mimi: Mhhh, nadhani Tanzania bara jeki, makofi, virungu, na kufunguliwa kesi ya kumtukana Rais vitanihusu.
Yesu: Ewaaa, ila hapo umechemka sehemu moja, ni Tanganyika jeki na siyo ulivyosema wewe.
Mimi: Ni kwa vile tu mfupa hauna ulimi.

Yesu: Kwa nini aliyetukana Mungu aachwe na aliyetukana Rais aadabishwe?
Mimi: Mungu anahitaji kupruviwa uwepo wake, sasa kwa mfano polisi anikamate namtukana Mungu, akifika mahakamani akaulizwa huyo Mungu niliyemtukana anakaa wapi, si atabaki anatoa macho kama kenge anayejifungua.
Yesu: Ewaaa, lakini kwa kuwa Rais ni binadamu anayeonekana, ndiyo maana utashughulikiwa papendikulale.

Yesu: Hapo nchini kwenu, mtu akiiba atafanywaje?
Mimi: Akiwa mwenye bahati, atakingiwa kifua na wakubwa, akiwa na bahati ya wastani atashitakiwa mahakamani, akiwa hana bahati akakutana na wenye hasira kali, atapigwa mawe, atavishwa tairi, mafuta yataletwa na kumwagwa kwenye tairi, moto utawashwa, na habari yake itaishia hapo.

Yesu: Mtu akizini.
Mimi: Mwenye bahati (asiyekamatwa au hata kuhisiwa au akiwa na mme au mke zumbukuku) atapeta tu, mwenye bahati ya wastani ataendewa kwa mafundi na kupewa mimba hata kama ni mwanamme, asiye na bahati (hasa mwanamme) atageuzwa malindalesi, dushe kukatwa na kubanikwa kama mshikaki na watu kulila mbele yake.

Yesu: Hivyo, ukimtukana Mungu, au hata ukitoa kufuru lolote kwa kusema mambo kama vile Mungu hayupo, chonga sanamu liabudu, na vitu vyote kinyume cha zile amri kumi, no wani wili kea, hakuna kesi utafunguliwa mahakamani kwamba umemtukana Mungu, du yu no whai.
Mimi: Sijui
Yesu: Ni kwa sababu, hizo amri zinamhusu Mungu mwenyewe, hivyo hakuna binadamu mwenye mamlaka ya kumuwajibisha mwenzake kisa amemtukana Mungu, hashiki sabato, kajifanyia sanamu n.k, hizo mtoa adhabu ni Mungu. Hivyo amri nne zenye summary ya "mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote... " mtoa adhabu ni Mungu mwenyewe.

Yesu: Lakini ni tofauti na amri zile za upendano wa kibinadamu, zinawahusu binadamu ambao wanaonana, hakuna haja ya kutafuta prufu ya kuthibitisha kama mme au mke wa mtu anaegizisti, hivyo ukimkosea binadamu mwenzako lazima utawajibishwa, utawajibishwa kwa kupelekwa mahakamani au hata kuuliwa papo kwa papo.

Yesu: Kwa ufupi, amri nne za kumhusu Mungu, adhabu za kuzikiuka zitatolewa na Mungu mwenyewe, amri sita zinazohusu mapendano ya wanadamu adhabu ya kwanza mnamalizana ama kibabe au mahakamani hapa hapa duniani na baadaye Mungu pia atatoa adhabu yake.

Mimi: Kwa sentensi yenye maneno yasiyozidi matano, unanishaurije, yaani nipe code ya kuziishi hizo amri maana nimeona kuna pande mbili, kumkosea Mungu au binadamu, bora kwa Mungu kwenyewe hakuna adhabu ya papo kwa papo mpaka wakati ulioamriwa, ila binadamu nimeona wanatoa adhabu za papo kwa papo tena zingine za kikatili sana mpaka najiuliza hao ni binadamu?

Yesu: Shika amri hutaona neno baya.

Mimi: Kama kawaida yako kunukuu toka kwenye maandiko, maana hapo naona umenukuu toka kitabu cha Muhubiri 8:5.

Yesu: Ulikuwa wakati mzuri baina yetu kwa siku ya leo, nitakutembelea tena wiki ijayo, siku, muda na mahali hapa hapa kama ilivyokuwa leo, wahi nyumbani usije kuta chakula kimepoa.
Mimi: Karibu sana Yesu Kristo nyumbani kwangu.
Yesu: Asante sana.

Baada ya mazungumzo hayo, Yesu alipanda chombo chake cha usafiri (wingu), na kwa spidi ya mwanga akatoweka machoni pangu.

Wakuu, kwa kuwa Bwana Yesu Kristo ameniahidi kunitembelea tena wiki ijayo, nitawaletea kitakachojiri kwenye mazungumzo kati yetu hapa hapa JamiiForums saa mbili kamili asubuhi siku ya jumamosi.​
Kibena Tea Co. Ltd
 
Wakuu, kwa kuwa katika muda huu, sisi wenye mamlaka ya kusimamia na kuandaa wataalamu wa baadae (walimu) tupo likizo. Ninaitumia likizo hii kwa kwenda shambani ili kuzalisha chakula.

Wakuu, jana nilibahatika kukutana na Yesu ana kwa ana, nilikuwa natoka shambani narudi nyumbani majira ya mchana kwa ajili ya kupata la mwidebe (kula).

Ghafla, mbele yangu kwa juu nikashangaa wingu safi jeupe linashuka kwa kasi katika ueleko nilipo, punde si muda, likanifikia, lahaula kumbe ulikuwa ni usafiri uliomsafirisha Yesu kutoka mbinguni kuja kuonana na mimi.

Alinikuta njiani. Wakuu, kwa kuwa kuna mambo mengi huwa yananitatiza kila ninaposoma Biblia hasa vitabu vinavyoelezea utumishi wa Yesu Kristo akiwa hapa duniani, ilibidi niruke fasta sana na fursa adhimu kama ile kwa kuongea na kumuomba ufafanuzi kwa yale yanitatizayo.

Mazungumzo baina yangu na Yesu Kristo yalikuwa kama ifuatavyo.

Mimi: Shikamoo Bwana mkubwa Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.
Yesu: Marhaba mdogo wangu na rafiki yangu Barnabas Mashamba.
Mimi: Hee, unalijua hadi jina langu bila kukuambia.
Yesu: Siyo jina tu, najua hadi idadi ya nywele zako kichwani. By the way, kama wewe umefahamu jina langu pasipo kukutajia, kitu gani kinafanya mimi nisilijue jina lako?
Mimi: Eniwei hivi Yesu Kristo, kwanini ulianzisha amri mpya? Si baba yako kupitia Musa alikuwa ametupatia amri kumi tena akiwa ameziandika kwa kidole chake mwenyewe kwenye mbao mbili za mawe?
Yesu: Amri gani mpya ambayo nilileta?
Mimi: Siku ulipoulizwa swali kuhusu amri ipi ni kuu katika torati na manabii, si ulileta amri mpya wewe.

Mazungumzo yangu na Yesu kristo yalitokana na yale niliyosoma katika kitabu kile cha Mathayo sura ya 22

Mathayo 22:35-40
[35]Mmoja wao, mwana-sheria, akamwuliza, akimjaribu;
Then one of them, which was a lawyer, asked him a question, tempting him, and saying,

[36]Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?
Master, which is the great commandment in the law?

[37]Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
Jesus said unto him, Thou shalt love the Lord thy God with all thy heart, and with all thy soul, and with all thy mind.

[38]Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
This is the first and great commandment.

[39]Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
And the second is like unto it, Thou shalt love thy neighbour as thyself.

[40]Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.
On these two commandments hang all the law and the prophets.


Yesu: Umesema swali lilihusu amri ipi kuu katika torati na manabii, right?
Mimi: exactly.
Yesu: Wakati natoa jibu, nilisema naleta amri mpya, au nilitoa jibu moja kwa moja kwa swali nililoulizwa kuhusu amri kuu katika torati na manabii?
Mimi: Sijui
Yesu: Hujui kwa kuwa hupendi kusoma.

Mimi: Sasa hapo Yesu naona unanitukana bila kujua elimu yangu, hivi kwanza wewe Yesu ulisoma ukahitimu hata darasa la kwanza?
Yesu: Hapana, sikubahatika kusoma elimu rasmi ya darasani ila nilijua kusoma na kuandika.
Mimi: Umesema kweli maana hata ulifuata msemo wa ndege wafananao huruka pamoja.
Yesu: Kwa nini unasema hivyo.
Mimi: Si ulichagua mitume ambao hawakusoma kama wewe ulivyokuwa kilaza wa elimu ya darasani yenye kumpatia mtu cheti, cheki umenukuliwa hadi kwenye mistari watu wakikuponda kuwa hukusoma, si unaona mwanao wa ukweli kabisa Yohana alitunukulia hilo kwenye Yohana 7:15, na wanafunzi wako waliokuwa wanawaza uvuvi tu wakati watoto wenzao wanakwenda shule nao wakinukuliwa kwenye Matendo 4:13, hivyo tabulalasa aliwachagua matabulalasa wenzake.

Yesu: Turudi kwenye swali lako maana naona unaanza kukwesheni elimu yangu na hapohapo unahitaji ufafanuzi wangu.
Mimi: Nisamehe master, hebu nipe nondo za kiufafanuzi sasa.

Yesu: Swali lililoulizwa lilihusu amri kuu katika torati na manabii, ndiyo au siyo?
Mimi: Ndiyo.
Yesu: Na mimi nilikuwa nimeshafundisha kuwa sikuja kutengua torati na manabii, bali kuzitimiliza, ndiyo au siyo?
Mimi: Ndiyo, tena hiyo nimeisoma kwenye Mathayo 5:17.
Yesu: Ewaaaa, uko sawa. Sasa kama nilishasema sikuja kutangua torati, kwa nini unanisakizia kuwa nilileta amri mpya?
Mimi: Kwa hiyo unamaanisha zile amri zako mbili, ya kumpenda Mungu na kuwapenda wanadamu hazikuwa mpya?
Yesu: Ewaaaa, hebu tusogee hapo kwenye mti tukae kivulini nikupe ujuzi.

Mimi na Yesu tukatembea kukiendea kivuli cha mti kilichokuwa karibu na tukaketi na mazungumzo yetu yakaendelea.

Yesu: Umenieleza umesoma, ulishawahi kusoma hisabati hata kiwango cha kujumlisha na kutoa?
Mimi: Siyo hesabu za kujumlisha na kutoa tu, hadi ma intergration, differentiation, mpaka ma-topology na abstract Algebra, ulishawahi kuzisoma?
Yesu: Nimekuuliza swali na wewe unajibu na kuniuliza swali, unanileta utanzania.

Yesu: Una Biblia hapo?
Mimi: Hapana nina jembe na panga tu.
Yesu: Ukifika nyumbani soma kitabu cha Warumi 13 : 8 , 9, lakini hapa nanukuu toka kichwani kwa ajili yako.

Warumi 13:8-9
[8]Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria.
Owe no man any thing, but to love one another: for he that loveth another hath fulfilled the law.

[9]Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
For this, Thou shalt not commit adultery, Thou shalt not kill, Thou shalt not steal, Thou shalt not bear false witness, Thou shalt not covet; and if there be any other commandment, it is briefly comprehended in this saying, namely, Thou shalt love thy neighbour as thyself.


Yesu: Kwenye hiyo aya hasa ya 9, tukifuata hesabu za kujumlisha mwandishi ambaye ni mtume wangu msomi kabisa ambaye hadi aliambiwa na mfalme Agripa kuwa kusoma kwake kwingi kumemgeuza akili (Matendo 26 : 24), mtume Paulo alileta ikwesheni ya kiarithimetikisi kama ifuatavyo.

Usizini + Usiue + Usiibe + Usitami + Amri nyingine yoyote = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Yesu: Sasa, zamu yako kujibu maswali yangu.
Mimi: Yalete, yalete.

Swali la 1
Yesu: Ukizini na mke au mme wa mtu, atakayeumia kihisia na kiakili ni Mungu au mke au mme wa aliyezini.
Mimi: Mke au mme ndiye ataumia kiimoshono, kihisia na huenda hata kiakili. Wengine hufikia hatua ya kuua waliozini na baada ya hapo hujimaliza pia.

Swali la 2
Yesu: Unakubaliana nami kuwa kwenye amri kumi, kuanzia amri ya tano mpaka ya kumi, amri hizo zote zinahusu mapendano ya binadamu na binadamu?
Mimi: Kwani amri hizo ya tano hadi ya kumi zinasemaje?
Yesu: Ndiyo hizo alizonukuu mtume Paulo, sema yeye hakuanza na amri ya tano, kwa faida yako amri zenyewe tuzijumlishe kwenye ikwesheni ya kiarithimetikisi kama ifuatavyo.

Amri ya tano + Amri ya sita + Amri ya saba + Amri ya nane + Amri ya tisa + Amri ya kumi = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Ambazo ini samare.

Waheshimu baba na mama yako + Usiue + Usizini + Usiibe + Usishuhudie uongo + Usitamani mali ya jirani yako = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Yesu: Ukimweshimu mzazi wako, umempenda jirani yako, binadamu mwenzako mwenye cheo cha uzazi.

Yesu: Usipozini, utakuwa umempenda binadamu mwenzako anayemiliki mme au mke ambaye ungezini naye. Kwa kutozini unakuwa umeepusha mambo ya misongo na matatizo ya kiakili yawakumbayo walioziniwa.

Yesu: Usipoiba, umempenda mwenye mali ambayo ungeiiba. Fikiria mtu ameteseka miaka ya kutosha akitafuta mali, wewe kwa siku moja tu unataka uimiliki mali yake.

Yesu: Ni hivyo hivyo kwa zile amri nne za mwanzo, zenyewe zinahusu kumpenda Mungu kama nafsi yako.

Yesu: Kwenye hesabu zetu, tuki-recall from above

Amri ya kwanza + Amri ya pili + Amri ya tatu + Amri ya nne = Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, kwa roho yako na kwa akili zako zote.

Yesu: Amri ya kwanza inakataza kuwa na miungu mingine. Kitendo cha kutafuta mungu mwingine na kumuacha Mungu muumbaji, umemwacha Mungu, umependa miungu.

Yesu: Amri ya pili inakataza kuchonga sanamu na kuliweka mahali pa Mungu.

Yesu: Amri ya tatu inakataza kutaja jina la Mungu pasipo sababu za msingi.

Yesu: Ya nne inakumbusha utunzaji wa sabato ambayo Mungu anasema ni mali yake na mimi Yesu Kristo niliwafundisha hata wanafunzi wangu kuwa mimi ndiye Bwana wa Sabato.

Hivyo kwa ikwesheni ya kiarithimetikisi

Usiwe na miungu mingine + Usijifanyie sanamu ya kuchonga + Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako + Ikumbuke siku ya sabato uitakase = Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako na kwa akili zako zote.

Mimi: Nisipozishika, kuna madhara yoyote nitapata.

Yesu: Chukulia mfano huu. Si unayafahamu yale maspika yaitwayo poromondo.
Mimi: Nayafahamu, si yale mara nyingi wanayatumia machinga kutangazia bidhaa zao mfano "Nanunua mabetri mabovu, ya gari, ya sola pamoja na ya pikipikiiiiiiiiii".
Yesu: Ewaaaa, hayohayo. Ukilichukua ukapita mfano karibu na kituo cha Polisi huku unamtukana Mungu kwa sauti inayosaidiwa na kusikika sehemu kubwa na hilo poromondo, Polisi watakukamata?
Mimi: Nadhani watanichukulia kama mwehu flani aliyetoroka matibabu.
Yesu: Vipi kwenye hicho hicho kituo ukapita unamtukana Rais wa nchi?
Mimi: Mhhh, nadhani Tanzania bara jeki, makofi, virungu, na kufunguliwa kesi ya kumtukana Rais vitanihusu.
Yesu: Ewaaa, ila hapo umechemka sehemu moja, ni Tanganyika jeki na siyo ulivyosema wewe.
Mimi: Ni kwa vile tu mfupa hauna ulimi.

Yesu: Kwa nini aliyetukana Mungu aachwe na aliyetukana Rais aadabishwe?
Mimi: Mungu anahitaji kupruviwa uwepo wake, sasa kwa mfano polisi anikamate namtukana Mungu, akifika mahakamani akaulizwa huyo Mungu niliyemtukana anakaa wapi, si atabaki anatoa macho kama kenge anayejifungua.
Yesu: Ewaaa, lakini kwa kuwa Rais ni binadamu anayeonekana, ndiyo maana utashughulikiwa papendikulale.

Yesu: Hapo nchini kwenu, mtu akiiba atafanywaje?
Mimi: Akiwa mwenye bahati, atakingiwa kifua na wakubwa, akiwa na bahati ya wastani atashitakiwa mahakamani, akiwa hana bahati akakutana na wenye hasira kali, atapigwa mawe, atavishwa tairi, mafuta yataletwa na kumwagwa kwenye tairi, moto utawashwa, na habari yake itaishia hapo.

Yesu: Mtu akizini.
Mimi: Mwenye bahati (asiyekamatwa au hata kuhisiwa au akiwa na mme au mke zumbukuku) atapeta tu, mwenye bahati ya wastani ataendewa kwa mafundi na kupewa mimba hata kama ni mwanamme, asiye na bahati (hasa mwanamme) atageuzwa malindalesi, dushe kukatwa na kubanikwa kama mshikaki na watu kulila mbele yake.

Yesu: Hivyo, ukimtukana Mungu, au hata ukitoa kufuru lolote kwa kusema mambo kama vile Mungu hayupo, chonga sanamu liabudu, na vitu vyote kinyume cha zile amri kumi, no wani wili kea, hakuna kesi utafunguliwa mahakamani kwamba umemtukana Mungu, du yu no whai.
Mimi: Sijui
Yesu: Ni kwa sababu, hizo amri zinamhusu Mungu mwenyewe, hivyo hakuna binadamu mwenye mamlaka ya kumuwajibisha mwenzake kisa amemtukana Mungu, hashiki sabato, kajifanyia sanamu n.k, hizo mtoa adhabu ni Mungu. Hivyo amri nne zenye summary ya "mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote... " mtoa adhabu ni Mungu mwenyewe.

Yesu: Lakini ni tofauti na amri zile za upendano wa kibinadamu, zinawahusu binadamu ambao wanaonana, hakuna haja ya kutafuta prufu ya kuthibitisha kama mme au mke wa mtu anaegizisti, hivyo ukimkosea binadamu mwenzako lazima utawajibishwa, utawajibishwa kwa kupelekwa mahakamani au hata kuuliwa papo kwa papo.

Yesu: Kwa ufupi, amri nne za kumhusu Mungu, adhabu za kuzikiuka zitatolewa na Mungu mwenyewe, amri sita zinazohusu mapendano ya wanadamu adhabu ya kwanza mnamalizana ama kibabe au mahakamani hapa hapa duniani na baadaye Mungu pia atatoa adhabu yake.

Mimi: Kwa sentensi yenye maneno yasiyozidi matano, unanishaurije, yaani nipe code ya kuziishi hizo amri maana nimeona kuna pande mbili, kumkosea Mungu au binadamu, bora kwa Mungu kwenyewe hakuna adhabu ya papo kwa papo mpaka wakati ulioamriwa, ila binadamu nimeona wanatoa adhabu za papo kwa papo tena zingine za kikatili sana mpaka najiuliza hao ni binadamu?

Yesu: Shika amri hutaona neno baya.

Mimi: Kama kawaida yako kunukuu toka kwenye maandiko, maana hapo naona umenukuu toka kitabu cha Muhubiri 8:5.

Yesu: Ulikuwa wakati mzuri baina yetu kwa siku ya leo, nitakutembelea tena wiki ijayo, siku, muda na mahali hapa hapa kama ilivyokuwa leo, wahi nyumbani usije kuta chakula kimepoa.
Mimi: Karibu sana Yesu Kristo nyumbani kwangu.
Yesu: Asante sana.

Baada ya mazungumzo hayo, Yesu alipanda chombo chake cha usafiri (wingu), na kwa spidi ya mwanga akatoweka machoni pangu.

Wakuu, kwa kuwa Bwana Yesu Kristo ameniahidi kunitembelea tena wiki ijayo, nitawaletea kitakachojiri kwenye mazungumzo kati yetu hapa hapa JamiiForums saa mbili kamili asubuhi siku ya jumamosi.​
Wakristo washakuwa migodi ya pesa,acha wapigwe mpaka akili ziwakae sawa, maana wakizinduliwa wanakimbilia kuhamisha hoja kwamba kobazi hawajaenda shule,alaaa!! Sasa nyie mmeenda shule mnapigwa na matapeli kila siku wanaojiita manabii
 
Wakuu, kwa kuwa katika muda huu, sisi wenye mamlaka ya kusimamia na kuandaa wataalamu wa baadae (walimu) tupo likizo. Ninaitumia likizo hii kwa kwenda shambani ili kuzalisha chakula.

Wakuu, jana nilibahatika kukutana na Yesu ana kwa ana, nilikuwa natoka shambani narudi nyumbani majira ya mchana kwa ajili ya kupata la mwidebe (kula).

Ghafla, mbele yangu kwa juu nikashangaa wingu safi jeupe linashuka kwa kasi katika ueleko nilipo, punde si muda, likanifikia, lahaula kumbe ulikuwa ni usafiri uliomsafirisha Yesu kutoka mbinguni kuja kuonana na mimi.

Alinikuta njiani. Wakuu, kwa kuwa kuna mambo mengi huwa yananitatiza kila ninaposoma Biblia hasa vitabu vinavyoelezea utumishi wa Yesu Kristo akiwa hapa duniani, ilibidi niruke fasta sana na fursa adhimu kama ile kwa kuongea na kumuomba ufafanuzi kwa yale yanitatizayo.

Mazungumzo baina yangu na Yesu Kristo yalikuwa kama ifuatavyo.

Mimi: Shikamoo Bwana mkubwa Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.
Yesu: Marhaba mdogo wangu na rafiki yangu Barnabas Mashamba.
Mimi: Hee, unalijua hadi jina langu bila kukuambia.
Yesu: Siyo jina tu, najua hadi idadi ya nywele zako kichwani. By the way, kama wewe umefahamu jina langu pasipo kukutajia, kitu gani kinafanya mimi nisilijue jina lako?
Mimi: Eniwei hivi Yesu Kristo, kwanini ulianzisha amri mpya? Si baba yako kupitia Musa alikuwa ametupatia amri kumi tena akiwa ameziandika kwa kidole chake mwenyewe kwenye mbao mbili za mawe?
Yesu: Amri gani mpya ambayo nilileta?
Mimi: Siku ulipoulizwa swali kuhusu amri ipi ni kuu katika torati na manabii, si ulileta amri mpya wewe.

Mazungumzo yangu na Yesu kristo yalitokana na yale niliyosoma katika kitabu kile cha Mathayo sura ya 22

Mathayo 22:35-40
[35]Mmoja wao, mwana-sheria, akamwuliza, akimjaribu;
Then one of them, which was a lawyer, asked him a question, tempting him, and saying,

[36]Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?
Master, which is the great commandment in the law?

[37]Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
Jesus said unto him, Thou shalt love the Lord thy God with all thy heart, and with all thy soul, and with all thy mind.

[38]Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
This is the first and great commandment.

[39]Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
And the second is like unto it, Thou shalt love thy neighbour as thyself.

[40]Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.
On these two commandments hang all the law and the prophets.


Yesu: Umesema swali lilihusu amri ipi kuu katika torati na manabii, right?
Mimi: exactly.
Yesu: Wakati natoa jibu, nilisema naleta amri mpya, au nilitoa jibu moja kwa moja kwa swali nililoulizwa kuhusu amri kuu katika torati na manabii?
Mimi: Sijui
Yesu: Hujui kwa kuwa hupendi kusoma.

Mimi: Sasa hapo Yesu naona unanitukana bila kujua elimu yangu, hivi kwanza wewe Yesu ulisoma ukahitimu hata darasa la kwanza?
Yesu: Hapana, sikubahatika kusoma elimu rasmi ya darasani ila nilijua kusoma na kuandika.
Mimi: Umesema kweli maana hata ulifuata msemo wa ndege wafananao huruka pamoja.
Yesu: Kwa nini unasema hivyo.
Mimi: Si ulichagua mitume ambao hawakusoma kama wewe ulivyokuwa kilaza wa elimu ya darasani yenye kumpatia mtu cheti, cheki umenukuliwa hadi kwenye mistari watu wakikuponda kuwa hukusoma, si unaona mwanao wa ukweli kabisa Yohana alitunukulia hilo kwenye Yohana 7:15, na wanafunzi wako waliokuwa wanawaza uvuvi tu wakati watoto wenzao wanakwenda shule nao wakinukuliwa kwenye Matendo 4:13, hivyo tabulalasa aliwachagua matabulalasa wenzake.

Yesu: Turudi kwenye swali lako maana naona unaanza kukwesheni elimu yangu na hapohapo unahitaji ufafanuzi wangu.
Mimi: Nisamehe master, hebu nipe nondo za kiufafanuzi sasa.

Yesu: Swali lililoulizwa lilihusu amri kuu katika torati na manabii, ndiyo au siyo?
Mimi: Ndiyo.
Yesu: Na mimi nilikuwa nimeshafundisha kuwa sikuja kutengua torati na manabii, bali kuzitimiliza, ndiyo au siyo?
Mimi: Ndiyo, tena hiyo nimeisoma kwenye Mathayo 5:17.
Yesu: Ewaaaa, uko sawa. Sasa kama nilishasema sikuja kutangua torati, kwa nini unanisakizia kuwa nilileta amri mpya?
Mimi: Kwa hiyo unamaanisha zile amri zako mbili, ya kumpenda Mungu na kuwapenda wanadamu hazikuwa mpya?
Yesu: Ewaaaa, hebu tusogee hapo kwenye mti tukae kivulini nikupe ujuzi.

Mimi na Yesu tukatembea kukiendea kivuli cha mti kilichokuwa karibu na tukaketi na mazungumzo yetu yakaendelea.

Yesu: Umenieleza umesoma, ulishawahi kusoma hisabati hata kiwango cha kujumlisha na kutoa?
Mimi: Siyo hesabu za kujumlisha na kutoa tu, hadi ma intergration, differentiation, mpaka ma-topology na abstract Algebra, ulishawahi kuzisoma?
Yesu: Nimekuuliza swali na wewe unajibu na kuniuliza swali, unanileta utanzania.

Yesu: Una Biblia hapo?
Mimi: Hapana nina jembe na panga tu.
Yesu: Ukifika nyumbani soma kitabu cha Warumi 13 : 8 , 9, lakini hapa nanukuu toka kichwani kwa ajili yako.

Warumi 13:8-9
[8]Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria.
Owe no man any thing, but to love one another: for he that loveth another hath fulfilled the law.

[9]Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
For this, Thou shalt not commit adultery, Thou shalt not kill, Thou shalt not steal, Thou shalt not bear false witness, Thou shalt not covet; and if there be any other commandment, it is briefly comprehended in this saying, namely, Thou shalt love thy neighbour as thyself.


Yesu: Kwenye hiyo aya hasa ya 9, tukifuata hesabu za kujumlisha mwandishi ambaye ni mtume wangu msomi kabisa ambaye hadi aliambiwa na mfalme Agripa kuwa kusoma kwake kwingi kumemgeuza akili (Matendo 26 : 24), mtume Paulo alileta ikwesheni ya kiarithimetikisi kama ifuatavyo.

Usizini + Usiue + Usiibe + Usitami + Amri nyingine yoyote = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Yesu: Sasa, zamu yako kujibu maswali yangu.
Mimi: Yalete, yalete.

Swali la 1
Yesu: Ukizini na mke au mme wa mtu, atakayeumia kihisia na kiakili ni Mungu au mke au mme wa aliyezini.
Mimi: Mke au mme ndiye ataumia kiimoshono, kihisia na huenda hata kiakili. Wengine hufikia hatua ya kuua waliozini na baada ya hapo hujimaliza pia.

Swali la 2
Yesu: Unakubaliana nami kuwa kwenye amri kumi, kuanzia amri ya tano mpaka ya kumi, amri hizo zote zinahusu mapendano ya binadamu na binadamu?
Mimi: Kwani amri hizo ya tano hadi ya kumi zinasemaje?
Yesu: Ndiyo hizo alizonukuu mtume Paulo, sema yeye hakuanza na amri ya tano, kwa faida yako amri zenyewe tuzijumlishe kwenye ikwesheni ya kiarithimetikisi kama ifuatavyo.

Amri ya tano + Amri ya sita + Amri ya saba + Amri ya nane + Amri ya tisa + Amri ya kumi = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Ambazo ini samare.

Waheshimu baba na mama yako + Usiue + Usizini + Usiibe + Usishuhudie uongo + Usitamani mali ya jirani yako = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Yesu: Ukimweshimu mzazi wako, umempenda jirani yako, binadamu mwenzako mwenye cheo cha uzazi.

Yesu: Usipozini, utakuwa umempenda binadamu mwenzako anayemiliki mme au mke ambaye ungezini naye. Kwa kutozini unakuwa umeepusha mambo ya misongo na matatizo ya kiakili yawakumbayo walioziniwa.

Yesu: Usipoiba, umempenda mwenye mali ambayo ungeiiba. Fikiria mtu ameteseka miaka ya kutosha akitafuta mali, wewe kwa siku moja tu unataka uimiliki mali yake.

Yesu: Ni hivyo hivyo kwa zile amri nne za mwanzo, zenyewe zinahusu kumpenda Mungu kama nafsi yako.

Yesu: Kwenye hesabu zetu, tuki-recall from above

Amri ya kwanza + Amri ya pili + Amri ya tatu + Amri ya nne = Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, kwa roho yako na kwa akili zako zote.

Yesu: Amri ya kwanza inakataza kuwa na miungu mingine. Kitendo cha kutafuta mungu mwingine na kumuacha Mungu muumbaji, umemwacha Mungu, umependa miungu.

Yesu: Amri ya pili inakataza kuchonga sanamu na kuliweka mahali pa Mungu.

Yesu: Amri ya tatu inakataza kutaja jina la Mungu pasipo sababu za msingi.

Yesu: Ya nne inakumbusha utunzaji wa sabato ambayo Mungu anasema ni mali yake na mimi Yesu Kristo niliwafundisha hata wanafunzi wangu kuwa mimi ndiye Bwana wa Sabato.

Hivyo kwa ikwesheni ya kiarithimetikisi

Usiwe na miungu mingine + Usijifanyie sanamu ya kuchonga + Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako + Ikumbuke siku ya sabato uitakase = Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako na kwa akili zako zote.

Mimi: Nisipozishika, kuna madhara yoyote nitapata.

Yesu: Chukulia mfano huu. Si unayafahamu yale maspika yaitwayo poromondo.
Mimi: Nayafahamu, si yale mara nyingi wanayatumia machinga kutangazia bidhaa zao mfano "Nanunua mabetri mabovu, ya gari, ya sola pamoja na ya pikipikiiiiiiiiii".
Yesu: Ewaaaa, hayohayo. Ukilichukua ukapita mfano karibu na kituo cha Polisi huku unamtukana Mungu kwa sauti inayosaidiwa na kusikika sehemu kubwa na hilo poromondo, Polisi watakukamata?
Mimi: Nadhani watanichukulia kama mwehu flani aliyetoroka matibabu.
Yesu: Vipi kwenye hicho hicho kituo ukapita unamtukana Rais wa nchi?
Mimi: Mhhh, nadhani Tanzania bara jeki, makofi, virungu, na kufunguliwa kesi ya kumtukana Rais vitanihusu.
Yesu: Ewaaa, ila hapo umechemka sehemu moja, ni Tanganyika jeki na siyo ulivyosema wewe.
Mimi: Ni kwa vile tu mfupa hauna ulimi.

Yesu: Kwa nini aliyetukana Mungu aachwe na aliyetukana Rais aadabishwe?
Mimi: Mungu anahitaji kupruviwa uwepo wake, sasa kwa mfano polisi anikamate namtukana Mungu, akifika mahakamani akaulizwa huyo Mungu niliyemtukana anakaa wapi, si atabaki anatoa macho kama kenge anayejifungua.
Yesu: Ewaaa, lakini kwa kuwa Rais ni binadamu anayeonekana, ndiyo maana utashughulikiwa papendikulale.

Yesu: Hapo nchini kwenu, mtu akiiba atafanywaje?
Mimi: Akiwa mwenye bahati, atakingiwa kifua na wakubwa, akiwa na bahati ya wastani atashitakiwa mahakamani, akiwa hana bahati akakutana na wenye hasira kali, atapigwa mawe, atavishwa tairi, mafuta yataletwa na kumwagwa kwenye tairi, moto utawashwa, na habari yake itaishia hapo.

Yesu: Mtu akizini.
Mimi: Mwenye bahati (asiyekamatwa au hata kuhisiwa au akiwa na mme au mke zumbukuku) atapeta tu, mwenye bahati ya wastani ataendewa kwa mafundi na kupewa mimba hata kama ni mwanamme, asiye na bahati (hasa mwanamme) atageuzwa malindalesi, dushe kukatwa na kubanikwa kama mshikaki na watu kulila mbele yake.

Yesu: Hivyo, ukimtukana Mungu, au hata ukitoa kufuru lolote kwa kusema mambo kama vile Mungu hayupo, chonga sanamu liabudu, na vitu vyote kinyume cha zile amri kumi, no wani wili kea, hakuna kesi utafunguliwa mahakamani kwamba umemtukana Mungu, du yu no whai.
Mimi: Sijui
Yesu: Ni kwa sababu, hizo amri zinamhusu Mungu mwenyewe, hivyo hakuna binadamu mwenye mamlaka ya kumuwajibisha mwenzake kisa amemtukana Mungu, hashiki sabato, kajifanyia sanamu n.k, hizo mtoa adhabu ni Mungu. Hivyo amri nne zenye summary ya "mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote... " mtoa adhabu ni Mungu mwenyewe.

Yesu: Lakini ni tofauti na amri zile za upendano wa kibinadamu, zinawahusu binadamu ambao wanaonana, hakuna haja ya kutafuta prufu ya kuthibitisha kama mme au mke wa mtu anaegizisti, hivyo ukimkosea binadamu mwenzako lazima utawajibishwa, utawajibishwa kwa kupelekwa mahakamani au hata kuuliwa papo kwa papo.

Yesu: Kwa ufupi, amri nne za kumhusu Mungu, adhabu za kuzikiuka zitatolewa na Mungu mwenyewe, amri sita zinazohusu mapendano ya wanadamu adhabu ya kwanza mnamalizana ama kibabe au mahakamani hapa hapa duniani na baadaye Mungu pia atatoa adhabu yake.

Mimi: Kwa sentensi yenye maneno yasiyozidi matano, unanishaurije, yaani nipe code ya kuziishi hizo amri maana nimeona kuna pande mbili, kumkosea Mungu au binadamu, bora kwa Mungu kwenyewe hakuna adhabu ya papo kwa papo mpaka wakati ulioamriwa, ila binadamu nimeona wanatoa adhabu za papo kwa papo tena zingine za kikatili sana mpaka najiuliza hao ni binadamu?

Yesu: Shika amri hutaona neno baya.

Mimi: Kama kawaida yako kunukuu toka kwenye maandiko, maana hapo naona umenukuu toka kitabu cha Muhubiri 8:5.

Yesu: Ulikuwa wakati mzuri baina yetu kwa siku ya leo, nitakutembelea tena wiki ijayo, siku, muda na mahali hapa hapa kama ilivyokuwa leo, wahi nyumbani usije kuta chakula kimepoa.
Mimi: Karibu sana Yesu Kristo nyumbani kwangu.
Yesu: Asante sana.

Baada ya mazungumzo hayo, Yesu alipanda chombo chake cha usafiri (wingu), na kwa spidi ya mwanga akatoweka machoni pangu.

Wakuu, kwa kuwa Bwana Yesu Kristo ameniahidi kunitembelea tena wiki ijayo, nitawaletea kitakachojiri kwenye mazungumzo kati yetu hapa hapa JamiiForums saa mbili kamili asubuhi siku ya jumamosi.​
Sijasoma yote maana ni ndefu inahitaji muda... All in all ulikumbuka kuchukua namba yake ya simu unisaidie?
Next time akija tena muulize ni lini mwisho wa huu utawala wa ccm?
 
unafafanua vipi Warumi 7:12 inayosema "Kwa hiyo sheria ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema"? Je, hili si pingamizi kwa tafsiri yako?
Kwanza usichukue aya nusunusu kwa sababu hutopata maana kamili ya kile kilichokuwa kinazungumzwa...

Kumbuka kuwa Mungu alipoumba mti wa ujuzi wa MEMA na MABAYA mwisho wake akasema yote aliyoyafanya ni Mema/mazuri nayakupendeza.

Kwahiyo hata sheria ni Chanzo chake ni Mungu hivyo ni Njema naya Kupendeza. Ni Njema lakini njia yake ni kuelekea MAUTI.

Ungemalizia hii aya huwenda ungeelewa jambo...

Rum 7:13 SUV
[13] Basi je! Ile iliyo njema ilikuwa mauti kwangu mimi? Hasha! Bali dhambi, ili ionekane kuwa ni dhambi hasa, ilifanya mauti ndani yangu kwa njia ya ile njema, kusudi kwa ile amri dhambi izidi kuwa mbaya mno.


Nimeamua kukusogezea na kimombo kidogo:

Romans 7:13 AMP
[13] Did that which is good [the Law], then become death to me? Certainly not!
But sin, in order that it might be revealed as sin, was producing death in me by [using] this good thing [as a weapon], so that through the commandment sin would become exceedingly sinful.


Kwa njia ya ile Njema na ya haki(Sheria), Dhambi inakuwa Mbaya mno mpaka kupelekea mauti.

Hii Series iko namna hii mkuu...

SHERIA ➡️ DHAMBI ➡️ MAUTI.

Vyovyote itakavyokuwa Ukianza na Sheria utamaliza na Mauti, kama ambovyo paulo amekiri ni jinsi gani sheria ilimdanganya kisha ikamuua.
 
3. Je, ni kwa njia gani tunapaswa kufahamu dhambi kama si kupitia sheria, kama Paulo alivyosema katika Warumi 3:20, kwamba kwa sheria hutoka ujuzi wa dhambi?
Kwanini unataka kufahamu dhambi? Kwanini unataka ujue Dhambi?

Hili swali niliwahi kukuuliza lakini hukunijibu.

Nakujibu kwa namna ambayo Yesu aliwajibu mafarisayo. Ukifunguka ukaelewa itakuwa vyema usipoelewa jipe muda.

Yn 9:39-41 SUV
[39] Yesu akasema, Mimi nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu, ili wao wasioona waone, nao wanaoona wawe vipofu. [40] Baadhi ya Mafarisayo waliokuwapo pamoja naye wakasikia hayo, wakamwambia, Je! Sisi nasi tu vipofu? [41] Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.

Huwenda Kimombo ukaelewa vizuri zaidi...

John 9:39-41 AMPC
[39] Then Jesus said, I came into this world for judgment [as a Separator, in order that there may be separation between those who believe on Me and those who reject Me], to make the sightless see and to make those who see become blind. [40] Some Pharisees who were near, hearing this remark, said to Him, Are we also blind? [41] Jesus said to them, If you were blind, you would have no sin; but because you now claim to have sight, your sin remains. [If you were blind, you would not be guilty of sin; but because you insist, We do see clearly, you are unable to escape your guilt.]

Ingekuwa upo kwenye kipindi kile bila shaka ungekuwa upo kwa wale walokuwa wanaona,

Na kama bado unataka uendelee kuona hata Leo Endelea Yesu bado yupo atakufanya kipofu Then Your SIN remains and you're unable to escape your GUILTY.
 
Wakuu, kwa kuwa katika muda huu, sisi wenye mamlaka ya kusimamia na kuandaa wataalamu wa baadae (walimu) tupo likizo. Ninaitumia likizo hii kwa kwenda shambani ili kuzalisha chakula.

Wakuu, jana nilibahatika kukutana na Yesu ana kwa ana, nilikuwa natoka shambani narudi nyumbani majira ya mchana kwa ajili ya kupata la mwidebe (kula).

Ghafla, mbele yangu kwa juu nikashangaa wingu safi jeupe linashuka kwa kasi katika ueleko nilipo, punde si muda, likanifikia, lahaula kumbe ulikuwa ni usafiri uliomsafirisha Yesu kutoka mbinguni kuja kuonana na mimi.

Alinikuta njiani. Wakuu, kwa kuwa kuna mambo mengi huwa yananitatiza kila ninaposoma Biblia hasa vitabu vinavyoelezea utumishi wa Yesu Kristo akiwa hapa duniani, ilibidi niruke fasta sana na fursa adhimu kama ile kwa kuongea na kumuomba ufafanuzi kwa yale yanitatizayo.

Mazungumzo baina yangu na Yesu Kristo yalikuwa kama ifuatavyo.

Mimi: Shikamoo Bwana mkubwa Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.
Yesu: Marhaba mdogo wangu na rafiki yangu Barnabas Mashamba.
Mimi: Hee, unalijua hadi jina langu bila kukuambia.
Yesu: Siyo jina tu, najua hadi idadi ya nywele zako kichwani. By the way, kama wewe umefahamu jina langu pasipo kukutajia, kitu gani kinafanya mimi nisilijue jina lako?
Mimi: Eniwei hivi Yesu Kristo, kwanini ulianzisha amri mpya? Si baba yako kupitia Musa alikuwa ametupatia amri kumi tena akiwa ameziandika kwa kidole chake mwenyewe kwenye mbao mbili za mawe?
Yesu: Amri gani mpya ambayo nilileta?
Mimi: Siku ulipoulizwa swali kuhusu amri ipi ni kuu katika torati na manabii, si ulileta amri mpya wewe.

Mazungumzo yangu na Yesu kristo yalitokana na yale niliyosoma katika kitabu kile cha Mathayo sura ya 22

Mathayo 22:35-40
[35]Mmoja wao, mwana-sheria, akamwuliza, akimjaribu;
Then one of them, which was a lawyer, asked him a question, tempting him, and saying,

[36]Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?
Master, which is the great commandment in the law?

[37]Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
Jesus said unto him, Thou shalt love the Lord thy God with all thy heart, and with all thy soul, and with all thy mind.

[38]Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
This is the first and great commandment.

[39]Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
And the second is like unto it, Thou shalt love thy neighbour as thyself.

[40]Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.
On these two commandments hang all the law and the prophets.


Yesu: Umesema swali lilihusu amri ipi kuu katika torati na manabii, right?
Mimi: exactly.
Yesu: Wakati natoa jibu, nilisema naleta amri mpya, au nilitoa jibu moja kwa moja kwa swali nililoulizwa kuhusu amri kuu katika torati na manabii?
Mimi: Sijui
Yesu: Hujui kwa kuwa hupendi kusoma.

Mimi: Sasa hapo Yesu naona unanitukana bila kujua elimu yangu, hivi kwanza wewe Yesu ulisoma ukahitimu hata darasa la kwanza?
Yesu: Hapana, sikubahatika kusoma elimu rasmi ya darasani ila nilijua kusoma na kuandika.
Mimi: Umesema kweli maana hata ulifuata msemo wa ndege wafananao huruka pamoja.
Yesu: Kwa nini unasema hivyo.
Mimi: Si ulichagua mitume ambao hawakusoma kama wewe ulivyokuwa kilaza wa elimu ya darasani yenye kumpatia mtu cheti, cheki umenukuliwa hadi kwenye mistari watu wakikuponda kuwa hukusoma, si unaona mwanao wa ukweli kabisa Yohana alitunukulia hilo kwenye Yohana 7:15, na wanafunzi wako waliokuwa wanawaza uvuvi tu wakati watoto wenzao wanakwenda shule nao wakinukuliwa kwenye Matendo 4:13, hivyo tabulalasa aliwachagua matabulalasa wenzake.

Yesu: Turudi kwenye swali lako maana naona unaanza kukwesheni elimu yangu na hapohapo unahitaji ufafanuzi wangu.
Mimi: Nisamehe master, hebu nipe nondo za kiufafanuzi sasa.

Yesu: Swali lililoulizwa lilihusu amri kuu katika torati na manabii, ndiyo au siyo?
Mimi: Ndiyo.
Yesu: Na mimi nilikuwa nimeshafundisha kuwa sikuja kutengua torati na manabii, bali kuzitimiliza, ndiyo au siyo?
Mimi: Ndiyo, tena hiyo nimeisoma kwenye Mathayo 5:17.
Yesu: Ewaaaa, uko sawa. Sasa kama nilishasema sikuja kutangua torati, kwa nini unanisakizia kuwa nilileta amri mpya?
Mimi: Kwa hiyo unamaanisha zile amri zako mbili, ya kumpenda Mungu na kuwapenda wanadamu hazikuwa mpya?
Yesu: Ewaaaa, hebu tusogee hapo kwenye mti tukae kivulini nikupe ujuzi.

Mimi na Yesu tukatembea kukiendea kivuli cha mti kilichokuwa karibu na tukaketi na mazungumzo yetu yakaendelea.

Yesu: Umenieleza umesoma, ulishawahi kusoma hisabati hata kiwango cha kujumlisha na kutoa?
Mimi: Siyo hesabu za kujumlisha na kutoa tu, hadi ma intergration, differentiation, mpaka ma-topology na abstract Algebra, ulishawahi kuzisoma?
Yesu: Nimekuuliza swali na wewe unajibu na kuniuliza swali, unanileta utanzania.

Yesu: Una Biblia hapo?
Mimi: Hapana nina jembe na panga tu.
Yesu: Ukifika nyumbani soma kitabu cha Warumi 13 : 8 , 9, lakini hapa nanukuu toka kichwani kwa ajili yako.

Warumi 13:8-9
[8]Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria.
Owe no man any thing, but to love one another: for he that loveth another hath fulfilled the law.

[9]Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
For this, Thou shalt not commit adultery, Thou shalt not kill, Thou shalt not steal, Thou shalt not bear false witness, Thou shalt not covet; and if there be any other commandment, it is briefly comprehended in this saying, namely, Thou shalt love thy neighbour as thyself.


Yesu: Kwenye hiyo aya hasa ya 9, tukifuata hesabu za kujumlisha mwandishi ambaye ni mtume wangu msomi kabisa ambaye hadi aliambiwa na mfalme Agripa kuwa kusoma kwake kwingi kumemgeuza akili (Matendo 26 : 24), mtume Paulo alileta ikwesheni ya kiarithimetikisi kama ifuatavyo.

Usizini + Usiue + Usiibe + Usitami + Amri nyingine yoyote = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Yesu: Sasa, zamu yako kujibu maswali yangu.
Mimi: Yalete, yalete.

Swali la 1
Yesu: Ukizini na mke au mme wa mtu, atakayeumia kihisia na kiakili ni Mungu au mke au mme wa aliyezini.
Mimi: Mke au mme ndiye ataumia kiimoshono, kihisia na huenda hata kiakili. Wengine hufikia hatua ya kuua waliozini na baada ya hapo hujimaliza pia.

Swali la 2
Yesu: Unakubaliana nami kuwa kwenye amri kumi, kuanzia amri ya tano mpaka ya kumi, amri hizo zote zinahusu mapendano ya binadamu na binadamu?
Mimi: Kwani amri hizo ya tano hadi ya kumi zinasemaje?
Yesu: Ndiyo hizo alizonukuu mtume Paulo, sema yeye hakuanza na amri ya tano, kwa faida yako amri zenyewe tuzijumlishe kwenye ikwesheni ya kiarithimetikisi kama ifuatavyo.

Amri ya tano + Amri ya sita + Amri ya saba + Amri ya nane + Amri ya tisa + Amri ya kumi = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Ambazo ini samare.

Waheshimu baba na mama yako + Usiue + Usizini + Usiibe + Usishuhudie uongo + Usitamani mali ya jirani yako = Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Yesu: Ukimweshimu mzazi wako, umempenda jirani yako, binadamu mwenzako mwenye cheo cha uzazi.

Yesu: Usipozini, utakuwa umempenda binadamu mwenzako anayemiliki mme au mke ambaye ungezini naye. Kwa kutozini unakuwa umeepusha mambo ya misongo na matatizo ya kiakili yawakumbayo walioziniwa.

Yesu: Usipoiba, umempenda mwenye mali ambayo ungeiiba. Fikiria mtu ameteseka miaka ya kutosha akitafuta mali, wewe kwa siku moja tu unataka uimiliki mali yake.

Yesu: Ni hivyo hivyo kwa zile amri nne za mwanzo, zenyewe zinahusu kumpenda Mungu kama nafsi yako.

Yesu: Kwenye hesabu zetu, tuki-recall from above

Amri ya kwanza + Amri ya pili + Amri ya tatu + Amri ya nne = Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, kwa roho yako na kwa akili zako zote.

Yesu: Amri ya kwanza inakataza kuwa na miungu mingine. Kitendo cha kutafuta mungu mwingine na kumuacha Mungu muumbaji, umemwacha Mungu, umependa miungu.

Yesu: Amri ya pili inakataza kuchonga sanamu na kuliweka mahali pa Mungu.

Yesu: Amri ya tatu inakataza kutaja jina la Mungu pasipo sababu za msingi.

Yesu: Ya nne inakumbusha utunzaji wa sabato ambayo Mungu anasema ni mali yake na mimi Yesu Kristo niliwafundisha hata wanafunzi wangu kuwa mimi ndiye Bwana wa Sabato.

Hivyo kwa ikwesheni ya kiarithimetikisi

Usiwe na miungu mingine + Usijifanyie sanamu ya kuchonga + Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako + Ikumbuke siku ya sabato uitakase = Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako na kwa akili zako zote.

Mimi: Nisipozishika, kuna madhara yoyote nitapata.

Yesu: Chukulia mfano huu. Si unayafahamu yale maspika yaitwayo poromondo.
Mimi: Nayafahamu, si yale mara nyingi wanayatumia machinga kutangazia bidhaa zao mfano "Nanunua mabetri mabovu, ya gari, ya sola pamoja na ya pikipikiiiiiiiiii".
Yesu: Ewaaaa, hayohayo. Ukilichukua ukapita mfano karibu na kituo cha Polisi huku unamtukana Mungu kwa sauti inayosaidiwa na kusikika sehemu kubwa na hilo poromondo, Polisi watakukamata?
Mimi: Nadhani watanichukulia kama mwehu flani aliyetoroka matibabu.
Yesu: Vipi kwenye hicho hicho kituo ukapita unamtukana Rais wa nchi?
Mimi: Mhhh, nadhani Tanzania bara jeki, makofi, virungu, na kufunguliwa kesi ya kumtukana Rais vitanihusu.
Yesu: Ewaaa, ila hapo umechemka sehemu moja, ni Tanganyika jeki na siyo ulivyosema wewe.
Mimi: Ni kwa vile tu mfupa hauna ulimi.

Yesu: Kwa nini aliyetukana Mungu aachwe na aliyetukana Rais aadabishwe?
Mimi: Mungu anahitaji kupruviwa uwepo wake, sasa kwa mfano polisi anikamate namtukana Mungu, akifika mahakamani akaulizwa huyo Mungu niliyemtukana anakaa wapi, si atabaki anatoa macho kama kenge anayejifungua.
Yesu: Ewaaa, lakini kwa kuwa Rais ni binadamu anayeonekana, ndiyo maana utashughulikiwa papendikulale.

Yesu: Hapo nchini kwenu, mtu akiiba atafanywaje?
Mimi: Akiwa mwenye bahati, atakingiwa kifua na wakubwa, akiwa na bahati ya wastani atashitakiwa mahakamani, akiwa hana bahati akakutana na wenye hasira kali, atapigwa mawe, atavishwa tairi, mafuta yataletwa na kumwagwa kwenye tairi, moto utawashwa, na habari yake itaishia hapo.

Yesu: Mtu akizini.
Mimi: Mwenye bahati (asiyekamatwa au hata kuhisiwa au akiwa na mme au mke zumbukuku) atapeta tu, mwenye bahati ya wastani ataendewa kwa mafundi na kupewa mimba hata kama ni mwanamme, asiye na bahati (hasa mwanamme) atageuzwa malindalesi, dushe kukatwa na kubanikwa kama mshikaki na watu kulila mbele yake.

Yesu: Hivyo, ukimtukana Mungu, au hata ukitoa kufuru lolote kwa kusema mambo kama vile Mungu hayupo, chonga sanamu liabudu, na vitu vyote kinyume cha zile amri kumi, no wani wili kea, hakuna kesi utafunguliwa mahakamani kwamba umemtukana Mungu, du yu no whai.
Mimi: Sijui
Yesu: Ni kwa sababu, hizo amri zinamhusu Mungu mwenyewe, hivyo hakuna binadamu mwenye mamlaka ya kumuwajibisha mwenzake kisa amemtukana Mungu, hashiki sabato, kajifanyia sanamu n.k, hizo mtoa adhabu ni Mungu. Hivyo amri nne zenye summary ya "mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote... " mtoa adhabu ni Mungu mwenyewe.

Yesu: Lakini ni tofauti na amri zile za upendano wa kibinadamu, zinawahusu binadamu ambao wanaonana, hakuna haja ya kutafuta prufu ya kuthibitisha kama mme au mke wa mtu anaegizisti, hivyo ukimkosea binadamu mwenzako lazima utawajibishwa, utawajibishwa kwa kupelekwa mahakamani au hata kuuliwa papo kwa papo.

Yesu: Kwa ufupi, amri nne za kumhusu Mungu, adhabu za kuzikiuka zitatolewa na Mungu mwenyewe, amri sita zinazohusu mapendano ya wanadamu adhabu ya kwanza mnamalizana ama kibabe au mahakamani hapa hapa duniani na baadaye Mungu pia atatoa adhabu yake.

Mimi: Kwa sentensi yenye maneno yasiyozidi matano, unanishaurije, yaani nipe code ya kuziishi hizo amri maana nimeona kuna pande mbili, kumkosea Mungu au binadamu, bora kwa Mungu kwenyewe hakuna adhabu ya papo kwa papo mpaka wakati ulioamriwa, ila binadamu nimeona wanatoa adhabu za papo kwa papo tena zingine za kikatili sana mpaka najiuliza hao ni binadamu?

Yesu: Shika amri hutaona neno baya.

Mimi: Kama kawaida yako kunukuu toka kwenye maandiko, maana hapo naona umenukuu toka kitabu cha Muhubiri 8:5.

Yesu: Ulikuwa wakati mzuri baina yetu kwa siku ya leo, nitakutembelea tena wiki ijayo, siku, muda na mahali hapa hapa kama ilivyokuwa leo, wahi nyumbani usije kuta chakula kimepoa.
Mimi: Karibu sana Yesu Kristo nyumbani kwangu.
Yesu: Asante sana.

Baada ya mazungumzo hayo, Yesu alipanda chombo chake cha usafiri (wingu), na kwa spidi ya mwanga akatoweka machoni pangu.

Wakuu, kwa kuwa Bwana Yesu Kristo ameniahidi kunitembelea tena wiki ijayo, nitawaletea kitakachojiri kwenye mazungumzo kati yetu hapa hapa JamiiForums saa mbili kamili asubuhi siku ya jumamosi.​
Huyo Yesu uliyekutana naye alikuwa anaonekana kama mzungu mwenye midevu au?
 
Wewe unahisi Sheria ina kazi gani?

Yesu anawataja waliomtangulia kuwa ni WEZI, mwizi huja ila kuiba na kuua.
Waliomtangulia hasa unafikri ni akina nani? MUSA/TORATI ndio aliyemtangulia KRISTO na wote lengo lao ni moja ni kumwokoa mwanadamu.

Lakini Yesu anasema waliotangulia ni WEZI bali yeye pekee ndio Mwokozi.

Yn 10:7-10 SUV
[7] Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo. [8] Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi; lakini kondoo hawakuwasikia. [9] Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho. [10] Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.

Hivyo ukiniuliza kazi kubwa ya Sheria mimi nakujibu kazi yake ni KUUA/KUCHINJA/KUANGAMIZA.

Paulo ni moja ya wale waliolewa neno hili anakiri hapa namna Amri ilivyomuua hapo kabla ya kujua ukweli...

Rum 7:9-10 SUV
[9] Nami nalikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa. [10] Nikaona ile amri iletayo uzima ya kuwa kwangu mimi ilileta mauti.


Mtu yeyote anayetoa huduma ya Amri Kumi mtu huyo anatoa huduma ya mauti.
2 Kor 3:7 SUV
[7] Basi, ikiwa huduma ya mauti, iliyoandikwa na kuchorwa katika mawe...(Nafikri unajua ni kitu gani kiliandikwa kwenye mawe)

Kwanini Yesu alisema hakuja kutangua bali kutimiliza sheria
Kutimiliza ni sawa na kukamilisha.

Lengo la Torati ilikuwa ni kuwapa watu uzima na kubarikiwa(mith 3:1-6, Kumb 28:1-14, 30:19).

Lakini sheria haikuweza kuwapa watu uzima bali kila Kifo ndio kilizidi kuongezeka, kuvunja sheria moja tu adhabu yake ilikuwa ni kuuawa ama kutengwa.


Baada ya Torati kufeli Kristo ndiye aliyeamua kukamilisha Lengo la Sheria la kuleta Uzima. Kwahiyo alivyosema hakuja Kuifuta bali alikuja kukamilisha Lengo la Sheria. Na baada ya hapo hatuna haja tena ya Kushika Torati ili tupate Uzima bali ni kazi Yetu ni kuamini aliyekamilisha kazi ya Sheria.

Naendelea swali la pili.
Unapotosha maandiko Tena

Sheria siyo chombo cha kuua au kuangamiza, bali ni kipimo cha haki na utakatifu wa Mungu. Warumi 7:12 inasema wazi kuwa, "Kwa hiyo torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, nayo ni ya haki, tena ni njema." Hii inathibitisha kuwa lengo la Sheria halikuwa kuleta mauti, bali kuonesha viwango vya haki ya Mungu na kuwasaidia wanadamu kutambua dhambi. Kwa hivyo, kusema kwamba kazi kubwa ya Sheria ni kuua si sahihi, kwani kazi yake ni kuelekeza watu kwa Mungu na kuwaongoza katika maisha ya haki.

Katika Yohana 10:8, Yesu aliposema, "Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi," alikuwa akimaanisha viongozi wa kidini waliokuwa wakiongoza vibaya watu wa Mungu. Yesu hakuwahi kumtaja Musa au manabii kama wezi, bali aliwatambua kama watu waaminifu waliotimiza mapenzi ya Mungu katika enzi zao. Katika Luka 16:16, Yesu anasema, "Torati na manabii walikuwapo mpaka wakati wa Yohana," akimaanisha kuwa kazi yao ilikuwa halali na sehemu muhimu ya mpango wa Mungu. Hivyo, kumwelewa Yesu nje ya muktadha wa maneno yake ni kupotosha maana ya kile alichomaanisha.

Zaidi ya hayo, 2 Wakorintho 3:7 haimaanishi kuwa huduma ya Amri Kumi ni mbaya, bali inazungumzia jinsi Sheria inavyodhihirisha dhambi bila kumpa mwanadamu uwezo wa kushinda dhambi. Sheria ilikuja kuonyesha hitaji la wokovu kupitia Kristo. Warumi 3:20 inasema, "Kwa maana hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria; kwa maana sheria huleta kujua dhambi." Hii inaonyesha kuwa Sheria ni nzuri na muhimu, lakini haina uwezo wa kuokoa, bali inatufikisha kwa Kristo ambaye ndiye chanzo cha uzima wa milele.

Umezalisha Maswali tena

1. Ikiwa Sheria ni mbaya na kazi yake ni kuua, kwa nini Yesu alisema katika Mathayo 5:17-18 kwamba hakuja kuitangua bali kuitimiza, na hata chembe ndogo ya sheria haitaondolewa mpaka yote yatimie?


2. Ikiwa wote waliomtangulia Yesu ni wezi na wanyang’anyi, kwa nini Yesu aliwaelekeza watu kuwasikiliza manabii na Torati (Luka 16:29)?
 
Kwa uelewa wako inaonesha huijui Sabato ni nini?

Pia hata sheria huijui vizuri.

  1. Sheria inakataza usiwashe moto siku ya sabato
  2. Sheria inakataza kulima mazao mawili kwenye shamba moja.
  3. Sheria inakutaka utoe asilimia kumi ya mapato yako.
  4. Sheria inazuia kuvaa nguo zenye material tofauti(yaani usivae suruali ya Pamba na shati la nylon)
  5. Sheria inakuhitaji usiache mchawi aishi, sheria inakutaka umuue yule atakayevunja sabato.
Je Kwenye hayo nimekosea? Kama sijakosea unahisi inawezekana hayo yote kuyashika? Hebu angalia watu kama Iran, Afghanistan wanaojaribu angalau nukta kushika sheria uone ulivyotofauti nao.
Una uelewa mdogo kuhusu Amri za Mungu, amri za Musa , hili somo hamtaki kujifunza ndio maana mnachanganya kila kitu

Sabato ni agizo la kiroho lililoendelea kuwa na umuhimu hata baada ya huduma ya Yesu hapa duniani. Katika Mathayo 24:20, Yesu alisema, "Ombeni, ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya sabato." Kauli hii ilikuwa ni onyo kwa wafuasi wake kuhusu maangamizi ya Yerusalemu, yaliyotokea mwaka wa 70 BK. Hili linaonyesha wazi kuwa Yesu hakufuta umuhimu wa Sabato, bali aliona bado itakuwa na nafasi muhimu katika maisha ya wafuasi wake hata baada ya kifo na ufufuo wake. Ikiwa Sabato haikuwa na maana yoyote baada ya Yesu, basi kauli yake haingekuwa na mantiki kwa wafuasi wake katika kipindi hicho.

Zaidi ya hayo, Sabato haikuanzishwa kama sheria ya taifa la Israeli tu, bali kama agizo la uumbaji. Mwanzo 2:2-3 inaonyesha kuwa Mungu alibariki na kuitakasa siku ya saba hata kabla ya dhambi kuingia ulimwenguni. Hii inathibitisha kuwa Sabato ilikuwa mpango wa asili wa Mungu kwa wanadamu wote, si kwa Waisraeli peke yao.

Ingawa Agano Jipya linaonyesha kuwa wokovu haupatikani kwa kushika sheria bali kwa imani katika Kristo (Wagalatia 2:16), haina maana kuwa agizo la Sabato limefutwa. Badala yake, Sabato inabaki kuwa sehemu ya mapumziko ya kiroho, kama inavyoelezwa katika Waebrania 4:9-10, "Basi imebaki raha ya sabato kwa watu wa Mungu. Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake amestarehe mwenyewe katika kazi zake, kama Mungu alivyostarehe katika kazi zake."

Kwa hivyo, hoja kwamba Sabato ilikoma baada ya Yesu ni kinyume na ushahidi wa Maandiko. Sabato haikuwa mzigo wa sheria tu, bali pia ni agizo la kiroho na ishara ya pumziko lililopatikana kwa Kristo.

Na maswali kwako

1. Ikiwa Sabato haikuwa na umuhimu baada ya Yesu, kwa nini aliwahimiza wafuasi wake kuiheshimu na kuomba kimbilio lao lisiwe siku ya Sabato (Mathayo 24:20)?


2. Kwa nini Mungu aliweka Sabato kama sehemu ya pumziko la kiroho ambalo linaendelea hata katika Agano Jipya (Waebrania 4:9-10)?
 
Kwanza usichukue aya nusunusu kwa sababu hutopata maana kamili ya kile kilichokuwa kinazungumzwa...

Kumbuka kuwa Mungu alipoumba mti wa ujuzi wa MEMA na MABAYA mwisho wake akasema yote aliyoyafanya ni Mema/mazuri nayakupendeza.

Kwahiyo hata sheria ni Chanzo chake ni Mungu hivyo ni Njema naya Kupendeza. Ni Njema lakini njia yake ni kuelekea MAUTI.

Ungemalizia hii aya huwenda ungeelewa jambo...

Rum 7:13 SUV
[13] Basi je! Ile iliyo njema ilikuwa mauti kwangu mimi? Hasha! Bali dhambi, ili ionekane kuwa ni dhambi hasa, ilifanya mauti ndani yangu kwa njia ya ile njema, kusudi kwa ile amri dhambi izidi kuwa mbaya mno.


Nimeamua kukusogezea na kimombo kidogo:

Romans 7:13 AMP
[13] Did that which is good [the Law], then become death to me? Certainly not!
But sin, in order that it might be revealed as sin, was producing death in me by [using] this good thing [as a weapon], so that through the commandment sin would become exceedingly sinful.


Kwa njia ya ile Njema na ya haki(Sheria), Dhambi inakuwa Mbaya mno mpaka kupelekea mauti.

Hii Series iko namna hii mkuu...

SHERIA ➡️ DHAMBI ➡️ MAUTI.

Vyovyote itakavyokuwa Ukianza na Sheria utamaliza na Mauti, kama ambovyo paulo amekiri ni jinsi gani sheria ilimdanganya kisha ikamuua.
Unatafsiri maandiko kama Gazeti,

Warumi 7:12 inasisitiza kuwa Sheria ni takatifu, na amri ni takatifu, ya haki, tena njema. Hata hivyo, mauti haikutokana na Sheria yenyewe bali dhambi, ambayo ilitumia Sheria kama chombo cha kudhihirisha hali mbaya ya moyo wa mwanadamu.

Warumi 7:13 inasema wazi kuwa Sheria haikuwa chanzo cha mauti, bali dhambi ndiyo iliyozidisha mauti kwa kutumia Sheria kama kioo cha kuonyesha uovu wake. Hii inaonyesha kuwa tatizo si Sheria bali dhambi inayopatikana ndani ya mwanadamu.

Hata hivyo, lengo la Sheria halikuwa kutupeleka kwenye mauti bali kutufikisha kwa Kristo, ambaye ndiye suluhisho la dhambi na mauti.

Wagalatia 3:24 inasema, "Hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani." Sheria ilikuwa daraja la kutufundisha hitaji la wokovu na neema ya Mungu.
Kwa hivyo, dhana kwamba "Sheria ➡ Dhambi ➡ Mauti" ni ya kweli katika hali ya mtu aliyeko nje ya Kristo, lakini ndani ya Kristo, Sheria inatimilizwa kwa njia ya upendo na neema.

Kristo hakutufundisha kuikwepa Sheria bali kuitimiza kwa njia ya Roho Mtakatifu. Mathayo 5:17-18 anasema, "Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la! Sikuja kutangua, bali kutimiliza." Hii inaonyesha kuwa Sheria inabaki kuwa muhimu, lakini kazi yake ya kuleta hukumu imeondolewa kupitia kazi ya Kristo.

1. Ikiwa Sheria ni njema lakini inaleta mauti tu, kwa nini Mungu aliiweka kama sehemu ya mpango wake wa ukombozi (Wagalatia 3:19)?

2. Je, dhambi inaweza kweli "kuwa mbaya mno" pasipo Sheria? Kama sivyo, kwa nini Mungu aliweka Sheria kuonyesha dhambi badala ya kuiondoa moja kwa moja?
 
Kwanini unataka kufahamu dhambi? Kwanini unataka ujue Dhambi?

Hili swali niliwahi kukuuliza lakini hukunijibu.

Nakujibu kwa namna ambayo Yesu aliwajibu mafarisayo. Ukifunguka ukaelewa itakuwa vyema usipoelewa jipe muda.

Yn 9:39-41 SUV
[39] Yesu akasema, Mimi nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu, ili wao wasioona waone, nao wanaoona wawe vipofu. [40] Baadhi ya Mafarisayo waliokuwapo pamoja naye wakasikia hayo, wakamwambia, Je! Sisi nasi tu vipofu? [41] Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.

Huwenda Kimombo ukaelewa vizuri zaidi...

John 9:39-41 AMPC
[39] Then Jesus said, I came into this world for judgment [as a Separator, in order that there may be separation between those who believe on Me and those who reject Me], to make the sightless see and to make those who see become blind. [40] Some Pharisees who were near, hearing this remark, said to Him, Are we also blind? [41] Jesus said to them, If you were blind, you would have no sin; but because you now claim to have sight, your sin remains. [If you were blind, you would not be guilty of sin; but because you insist, We do see clearly, you are unable to escape your guilt.]

Ingekuwa upo kwenye kipindi kile bila shaka ungekuwa upo kwa wale walokuwa wanaona,

Na kama bado unataka uendelee kuona hata Leo Endelea Yesu bado yupo atakufanya kipofu Then Your SIN remains and you're unable to escape your GUILTY.
Biblia unaisomaje ?

Kuhusu hoja yako kwamba "kwanini unataka kufahamu dhambi,"

ni muhimu kuelewa kuwa kutambua dhambi ndiko kunakotupeleka kwa wokovu.

Yesu alisema katika Mathayo 9:12-13, “Si wenye afya walio na haja ya tabibu, bali walio hawawezi... Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.”
Bila maarifa ya dhambi, mwanadamu hawezi kuelewa hitaji la wokovu. Sheria, kwa hiyo, ni sehemu muhimu ya mpango wa Mungu wa kutufikisha mahali ambapo tunajua kuwa tunamhitaji Kristo.

Kuwa kipofu kiroho siyo hali ya baraka, bali ni hali ya hatari.

Katika 2 Wakorintho 4:4, Paulo anasema, “Ambaye mungu wa dunia hii amepofusha fikira za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wake Kristo, aliye sura yake Mungu.”

Kipofu kiroho ni yule anayekataa Injili na anayedumu katika dhambi. Kristo hajaja kutufanya kipofu, bali kutufungua macho ya kiroho ili tuone neema yake na wokovu wake.

Kwanza kabisa, nia ya Mungu katika Sheria ni kuwasaidia wanadamu kutambua hali yao ya dhambi na kuhitaji wokovu wake. Warumi 3:20 inasema wazi kwamba, “Kwa maana hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria; kwa maana sheria huleta kujua dhambi.” Hii inaonyesha kuwa Sheria ni kioo kinachotufunulia hali yetu ya dhambi, si kwa lengo la kutuhukumu tu, bali ili tuone hitaji letu la neema ya Mungu kupitia Kristo.

Yesu aliposema katika Yohana 9:39-41 kwamba

"Nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu, ili wao wasioona waone, nao wanaoona wawe vipofu," alimaanisha wale wanaodai kuwa wanajua ukweli, lakini wanakataa kumkubali Yeye kama Mwokozi. Mafarisayo walikuwa mfano wa watu waliokuwa na maarifa ya sheria, lakini walikosa kuelewa maana yake ya kiroho. Waliona kwa macho ya kimwili, lakini walikuwa vipofu kiroho.

Hii haiondoi umuhimu wa Sheria, bali inasisitiza kuwa maarifa ya dhambi kupitia Sheria yanapaswa kutupeleka kwa Kristo, si kutufanya tuone wenye haki kwa juhudi zetu wenyewe.

1. Ikiwa Sheria inatufanya tuwe vipofu au tulaumiwe, kwa nini Yesu alisema hakuja kutangua Sheria bali kuitimiliza (Mathayo 5:17)? Je, hili halionyeshi kuwa Sheria ina nafasi muhimu katika kuelekeza watu kwa Kristo?


2. Ikiwa kujua dhambi hakuhitajiki, kwa nini Biblia inasisitiza kwamba dhambi ni kuvunja Sheria (1 Yohana 3:4) na kwamba uelewa wa dhambi hutoka kupitia Sheria?
 
Katika Yohana 10:8, Yesu aliposema, "Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi," alikuwa akimaanisha viongozi wa kidini waliokuwa wakiongoza vibaya watu wa Mungu. Yesu hakuwahi kumtaja Musa au manabii kama wezi, bali aliwatambua kama watu waaminifu waliotimiza mapenzi ya Mungu katika enzi zao.
Mbona unapindisha kwa kusema alimaanisha viongozi wa Dini, aah siyo hivyo alimaanisha WOTE waliomtangulia. Elewa neno WOTE.

Kwanini unajizima data.

Sheria siyo chombo cha kuua au kuangamiza, bali ni kipimo cha haki na utakatifu wa Mungu. Warumi 7:12 inasema wazi kuwa, "Kwa hiyo torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, nayo ni ya haki, tena ni njema."
Anyway unasemaje kuhusu 2 kor 3 : 7, amri za Mungu paulo aliziita HUDUMA YA MAUTI...

Lakini warumi 7 mbona huendelei mpaka aya ya 13, au basi kwanini huanzi kusoma angalau Rum 7 :10-13
Huwenda ni kwa sababu hutaki kukubali ukweli kuwa Amri iliyo njema na haki ndio ilimuua paulo.

Sheria ilikuja kuonyesha hitaji la wokovu kupitia Kristo.
Sheria ilikuwa ya kiongozi kutuleta kwenye wokovu(Kristo) lakini kwa kuwa tumeshafika kwa Kristo hatuhitaji kiongozi tena.

Kama bado hujafika kwa Kristo basi endelea na Torati mpaka ikufikishe kwa Kristo ndipo uiache.


Kristo hakutufundisha kuikwepa Sheria bali kuitimiza kwa njia ya Roho Mtakatifu. Mathayo 5:17-18 anasema, "Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la! Sikuja kutangua, bali kutimiliza." Hii inaonyesha kuwa Sheria inabaki kuwa muhimu, lakini kazi yake ya kuleta hukumu imeondolewa kupitia kazi ya Kristo.
Umekosa hoja japokuwa nitarudi kujibu maswali yako
 
Back
Top Bottom