Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Ebr 8:13 SUVAgano jipya siyo kuondoa agano la kwanza:,
Mbona hujajibu swali wewe hunywi Pombe ili upate uzima wa milele?Ok kwahiyo unakunywa Pombe pia kwa mujibu wa Wakolosai 2:16
Unalielewaje hili andiko?
Waefeso 5:18
"Wala msilewe kwa divai, ambayo inazalisha uasherati, bali mjazeni kwa Roho."
Aya hii inakataza kulewa kwa divai, ikionyesha kuwa divai inazalisha uasherati na inahimiza watu kujazwa na Roho Mtakatifu badala ya pombe.
Wewe huelewi kabisa...Waefeso 5:18
"Wala msilewe kwa divai, ambayo inazalisha uasherati, bali mjazeni kwa Roho."
Nipe andiko ninywe pombe nipate uzima wa mileleMbona hujajibu swali wewe hunywi Pombe ili upate uzima wa milele?
Bado unahitaji elimuWewe huelewi kabisa...
Kule Harusi ya kana Yesu alitengeneza Divai na watu wakanywa wakasaza.
Maandikohayasomwi kibubusa hivoEbr 8:13 SUV
[13] Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa ki karibu na kutoweka.
[9] ndipo aliposema, Tazama, nimekuja niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza, ili kusudi alisimamishe la pili.
Au hauelewi Kiswahili, Aondoa la Kwanza kusudi.....
Kikuukuu kikaribu na kutoweka...
Msikilize Yesu hapa katikaEbr 8:13 SUV
[13] Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa ki karibu na kutoweka.
[9] ndipo aliposema, Tazama, nimekuja niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza, ili kusudi alisimamishe la pili.
Au hauelewi Kiswahili, Aondoa la Kwanza kusudi.....
Kikuukuu kikaribu na kutoweka...
KumekuchaHaya sasa
Hapo hujajibu swali, Wewe hunywi Serengeti Lite kwa sababu usipokunywa utapata Uzima wa milele?Nipe andiko ninywe pombe nipate uzima wa milele
Kipindi hicho anaongea hayo zilikuwa bado hazijaondolewa. Yaani mazungumzo tuashum ya mwaka 30 AD usifanye kana kwamba yanazungumzwa Leo rudi kwenye miaka yao ndio utafasiriMsikilize Yesu hapa katika
Mathayo 5:19
19Basi, yeyote atakayevunja hata amri moja ndogo kuliko zote, na kuwafundisha wengine wafanye hivyo, huyo atakuwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni. Lakini yule atakayezishika na kuwafundisha wengine, huyo atakuwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.
MASWALI YANGU KWAKO
UNADHANI YESU NI MJINGA HAKUJUA AMRI ZIMEONDOLEWA HADI ATAMKE MANENO HAYA KWA WATU KAMA WEWE KUWA MTAITWA WADOGO KABISA KATIKA UFALME WA MUNGU?
JE YESU ALIPITIWA HAKUJUA AMRI ZITAONDOLEWA?
Waefeso 5:18 – "And be not drunk with wine, wherein is excess; but be filled with the Spirit;"Hapo hujajibu swali, Wewe hunywi Serengeti Lite kwa sababu usipokunywa utapata Uzima wa milele?
Kwa tunakubaliana kuwa limechakaa, na kama limechakaa miaka 2000 iliyopita walisema lipo karibu na kutoweka kabisala zamani" na "lililochakaa
Kwamba YESU alikuwa hajui mambo yajayo Hadi ataje mbinguni?Kipindi hicho anaongea hayo zilikuwa bado hazijaondolewa. Yaani mazungumzo tuashum ya mwaka 30 AD usifanye kana kwamba yanazungumzwa Leo rudi kwenye miaka yao ndio utafasiri
Basi naona umegoma kujibu.Waefeso 5:18 – "And be not drunk with wine, wherein is excess; but be filled with the Spirit;"
MASWALI YANGU KWAKOKipindi hicho anaongea hayo zilikuwa bado hazijaondolewa. Yaani mazungumzo tuashum ya mwaka 30 AD usifanye kana kwamba yanazungumzwa Leo rudi kwenye miaka yao ndio utafasiri
Kumbe hiyo Aya inayokataza pombe ,sio jibuBasi naona umegoma kujibu.
Usipokunywa Pombe unapata uzima wa milele?
Kuna aya zinakataza kugusa mwanamke ama kitu chochote alichotumia akiwa hedhi.Kumbe hiyo Aya inayokataza pombe ,sio jibu
Naona muda huu ushalewa ,kesho ukiwa vizuri njoo tuendelee na mjadalaKuna aya zinakataza kugusa mwanamke ama kitu chochote alichotumia akiwa hedhi.
Kiufupi aya siyo Jibu.
Kwamba Ufalme wa Mungu unapatikana kwa kushika Sheria. Huo utakuwa ufalme wako siyo wa MunguMASWALI YANGU KWAKO
UNADHANI YESU NI MJINGA HAKUJUA AMRI ZIMEONDOLEWA HADI ATAMKE MANENO HAYA KWA WATU KAMA WEWE KUWA MTAITWA WADOGO KABISA KATIKA UFALME WA MUNGU?
JE YESU ALIPITIWA HAKUJUA AMRI ZITAONDOLEWA?