Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Ebr 8:13 SUVAgano jipya siyo kuondoa agano la kwanza:,
[13] Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa ki karibu na kutoweka.
[9] ndipo aliposema, Tazama, nimekuja niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza, ili kusudi alisimamishe la pili.
Au hauelewi Kiswahili, Aondoa la Kwanza kusudi.....
Kikuukuu kikaribu na kutoweka...