bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Watu wanapiga sana ngono na pombe na still wanajenga maghorofa we unaeionea huruma hela ya guest unaishia kupanga.Issue ni Ku-play smart Watz wengi starehe zao za kimasikini Sana ngono na pombe.
MTU bahili na smart yeye sio MTU wa. anasa bali bata.
Starehe ni gharamaKiukweli watu huko duniani Wana pesa aisee, imebidi nijitafakari upya nimekuja kufanya nini duniani kwa sababu kwa mambo niliyoyaona jana usiku nilirudi nyumbani kwa huzuni kubwa Sana, aibu na maumivu.
Nilikua zangu road nikasema Wacha niende rock city mall nikashangae maghorofa, nikajikuta nimeingia CASK bar maana nilisikia Fid q atakuepo kwa sababu Mimi ni mdau wa hip-hop nikaona acha nijisogeze nikasikie Ngoma kama bongo hiphop, I'm professional n.k.
Kufika nikakuta kwanza parking magari yamejaa yaani watoto ni wakali sijawahi ona, size zote zipo, class A, wachafu, wazuri yaani ni wewe tu, mluga luga nikasema Leo lazima niopoe nilikua na 50,000/= mfukoni nikasema Leo watanikoma sitakosa mtoto hata wa 20,000/=
Nikanyooka mpaka counter nipate hata wine chupa ndogo Ile ya imagi nizuge nayo huku nikiendelea kuangalia mrembo yupi atanifaa nichomoke nae, huku kitaa hiyo wine Wanauza 3500/= Sasa yule counter hakunisikia vizuri akaleta chupa ya maji akanambia 4000/= chupa ndogo nikamuuliza shingapi? huku nimepigwa na butwaa kusikia hiyo bei ya maji, Pembeni yangu walikua wamekaa mademu wamechafua meza vibaya wamejaza windohek, hennesy n.k yaani waliokua pale counter hakuna aliekua mnyonge, kipindi naleta mshangao nikamwambia yule anaehudumia counter anirudishie hela yangu maana siwezi nunua maji Mls 700 kwa 4000/= wakati hata bombani yapo, kipindi naondoka nikasikia vicheko kutoka kwa wadada na washikaji waliokua counter.
Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.
View attachment 2859139
View attachment 2859140
Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?
Huyu mwalimu hata perdiem hajui ni nini, mshahara wa laki mbili anaenda club kufanya nini badala aende kwenye pombe za kienyeji tuWenzako wana perdiem huko
Akilamba perdiem 200k, akija bar kujipoza na uchovu kwa 100k haoni hasara.
Sio kweli, wewe mshamba kweli brooNlienda samak samak pale juu Kuna ka VIP flan iv...kuulizia kvant nkaambiwa elfu 50...nliondoka tu cz huku kwa mtogole tumauziwa Cha ten
Diamond saiz VIP pale, Maji 3000Pale kona ya Bwiru ungeenda hata Diamond au the dream ukapooze machungu.
Ndo maana nikienda kiwanja kama vitu ni ghali TIN # ya kampuni hii hapa kichwani, naclaim fiscalised receipt, input tax inasaidia kupunguza tax liability. Na hao Cask lazima ni VAT registered.
Nadhani huko VIP bei inakua juu ili kupunguza msongamano.Hivi ya 50000 na ya 10000 zinatofautiana kilevi?au ndo mjinga ndo aliwae?hata kama Una pesa,kitu cha buku unauziwa 15000 na we unatoa hela huku unakenua tu.kesho unataka rushwa na kumuibia mtanzania masikini ili uzipeleke tena bar.
Nikatoka nduki maana niliona kama Kila mtu ananicheka aisee, umaskini sio mzuri Sasa kama maji ni 4000/= Mwanamke ningechukua kwa ngapi?hadi hamu ya kumwona fid q ikakuisha
Kisehemu chenyewe mbona kimekaa ki local local tu hakina standards?Kiukweli watu huko duniani Wana pesa aisee, imebidi nijitafakari upya nimekuja kufanya nini duniani kwa sababu kwa mambo niliyoyaona jana usiku nilirudi nyumbani kwa huzuni kubwa Sana, aibu na maumivu.
Nilikua zangu road nikasema Wacha niende rock city mall nikashangae maghorofa, nikajikuta nimeingia CASK bar maana nilisikia Fid q atakuepo kwa sababu Mimi ni mdau wa hip-hop nikaona acha nijisogeze nikasikie Ngoma kama bongo hiphop, I'm professional n.k.
Kufika nikakuta kwanza parking magari yamejaa yaani watoto ni wakali sijawahi ona, size zote zipo, class A, wachafu, wazuri yaani ni wewe tu, mluga luga nikasema Leo lazima niopoe nilikua na 50,000/= mfukoni nikasema Leo watanikoma sitakosa mtoto hata wa 20,000/=
Nikanyooka mpaka counter nipate hata wine chupa ndogo Ile ya imagi nizuge nayo huku nikiendelea kuangalia mrembo yupi atanifaa nichomoke nae, huku kitaa hiyo wine Wanauza 3500/= Sasa yule counter hakunisikia vizuri akaleta chupa ya maji akanambia 4000/= chupa ndogo nikamuuliza shingapi? huku nimepigwa na butwaa kusikia hiyo bei ya maji, Pembeni yangu walikua wamekaa mademu wamechafua meza vibaya wamejaza windohek, hennesy n.k yaani waliokua pale counter hakuna aliekua mnyonge, kipindi naleta mshangao nikamwambia yule anaehudumia counter anirudishie hela yangu maana siwezi nunua maji Mls 700 kwa 4000/= wakati hata bombani yapo, kipindi naondoka nikasikia vicheko kutoka kwa wadada na washikaji waliokua counter.
Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.
View attachment 2859139
View attachment 2859140
Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?
Nilichanganyikiwa mkuu, nikapiga Las Vegas, nikapita diamond kufika corner ya bwiru ndio akili ikarudi nikaona Cha kufika nini? Acha nikalale tu.Pale kona ya Bwiru ungeenda hata Diamond au the dream ukapooze machungu.
Ndo maana nikienda kiwanja kama vitu ni ghali TIN # ya kampuni hii hapa kichwani, naclaim fiscalised receipt, input tax inasaidia kupunguza tax liability. Na hao Cask lazima ni VAT registered.
Ni kweli, nimejigundua Mimi ni mwananchi mnyonge.Starehe ni gharama
Nimekosea Chaka aisee😁😁Huyu mwalimu hata perdiem hajui ni nini, mshahara wa laki mbili anaenda club kufanya nini badala aende kwenye pombe za kienyeji tu
Yes, lakini Sasa nyomi lilikua la kutosha Sana, watu walikua wanaspend kama hakuna kesho.Kisehemu chenyewe mbona kimekaa ki local local tu hakina standards?
Kweli,maana ni fedhea.Ukiwa una hela za kuunga unga kama akina sisi kuna sehem sio za kwenda, utaishia kukaa kinyonge sana tajiri.
SidhaniSamaki Samaki utapaweza mkuu??
Pia sio nzuri kwa uchumi wakoKweli,maana ni fedhea.
Huko mbali sana, hata wavuvi camp tu huyu hatoboi. Ni mwalimu huyu kakaSamaki Samaki utapaweza mkuu??
Nakubali mkuu, unawapa na VRN km unayo [emoji2][emoji2][emoji2]Pale kona ya Bwiru ungeenda hata Diamond au the dream ukapooze machungu.
Ndo maana nikienda kiwanja kama vitu ni ghali TIN # ya kampuni hii hapa kichwani, naclaim fiscalised receipt, input tax inasaidia kupunguza tax liability. Na hao Cask lazima ni VAT registered.