Jana nimeenda club kwa mara ya kwanza, nimetoka nduki baada ya kuuziwa maji 4000/=

Jana nimeenda club kwa mara ya kwanza, nimetoka nduki baada ya kuuziwa maji 4000/=

Wewe ni shujaa kwa nini ujisikie aibu na huzuni? Ulimbukeni wa kutaka sifa hauna faida yoyote...Eti maji ununue kwa shikingi elfu nne!

BORA ELFU TATU INAYOBAKI NIINGIE MTAANI NIMPE OMBAOMBA kuliko kumpa over profit nyang'au fulani
 
Hafanikiwi vipi wakati hapo tayari kasevu pesa yake? 50,000 yake karudi nayo na kesho anaanza nayo [emoji23] [emoji23]
PXL_20240101_133056179.jpg

Bado hipo mzee 😁😁, hapa nawaza niende rock beach nikatulie nikanywe hata mirinda nyeusi.
 
Issue ni Ku-play smart Watz wengi starehe zao za kimasikini Sana ngono na pombe.

MTU bahili na smart yeye sio MTU wa. anasa bali bata.
Exactly [emoji1666] niliwahi kufika hapo the Cask, kiukweli ni sehemu expensive na kama mtu kipato chake ni kidogo si sehemu sahihi, bora aende sehemu nyingine ambapo hayo maji ya 4000 utayapata kwa 700 au walau buku. Nakumbuka last year October tulipita hapo but tulikuwa kikazi, chakula watu 4 and drinks ilikuwa karibia laki moja na ushee hivi..
 
Kiukweli watu huko duniani Wana pesa aisee, imebidi nijitafakari upya nimekuja kufanya nini duniani kwa sababu kwa mambo niliyoyaona jana usiku nilirudi nyumbani kwa huzuni kubwa Sana, aibu na maumivu.

Nilikua zangu road nikasema Wacha niende rock city mall nikashangae maghorofa, nikajikuta nimeingia CASK bar maana nilisikia Fid q atakuepo kwa sababu Mimi ni mdau wa hip-hop nikaona acha nijisogeze nikasikie Ngoma kama bongo hiphop, I'm professional n.k.

Kufika nikakuta kwanza parking magari yamejaa yaani watoto ni wakali sijawahi ona, size zote zipo, class A, wachafu, wazuri yaani ni wewe tu, mluga luga nikasema Leo lazima niopoe nilikua na 50,000/= mfukoni nikasema Leo watanikoma sitakosa mtoto hata wa 20,000/=
Nikanyooka mpaka counter nipate hata wine chupa ndogo Ile ya imagi nizuge nayo huku nikiendelea kuangalia mrembo yupi atanifaa nichomoke nae, huku kitaa hiyo wine Wanauza 3500/= Sasa yule counter hakunisikia vizuri akaleta chupa ya maji akanambia 4000/= chupa ndogo nikamuuliza shingapi? huku nimepigwa na butwaa kusikia hiyo bei ya maji, Pembeni yangu walikua wamekaa mademu wamechafua meza vibaya wamejaza windohek, hennesy n.k yaani waliokua pale counter hakuna aliekua mnyonge, kipindi naleta mshangao nikamwambia yule anaehudumia counter anirudishie hela yangu maana siwezi nunua maji Mls 700 kwa 4000/= wakati hata bombani yapo, kipindi naondoka nikasikia vicheko kutoka kwa wadada na washikaji waliokua counter.

Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.


View attachment 2859139
View attachment 2859140


Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?
Ungekunywa tu hayo maji ingekusaidia sana kuutikisa umasikini
 
Ni kwel mkuu mfano hapo samak samak kweny hako ka VIP kao unaweza jihisi hauko daslam due kuna ka ubarid flan iv....na nlichoona kingine ni kama wanawahudumia zaid wagen kutoka nje
Bilashaka ndo hivyo,wakiweka bei sawa na sehemu za kawaida,hata wakwapua simu,waleta vúrugu na watu wengine wasiowastaarabu,watajazana humo,dawa ni kupandisha bei vitu,ili watu tujichuje kutokana na vipato.
 
Exactly [emoji1666] niliwahi kufika hapo the Cask, kiukweli ni sehemu expensive na kama mtu kipato chake ni kidogo si sehemu sahihi, bora aende sehemu nyingine ambapo hayo maji ya 4000 utayapata kwa 700 au walau buku. Nakumbuka last year October tulipita hapo but tulikuwa kikazi, chakula watu 4 and drinks ilikuwa karibia laki moja na ushee hivi..
Duh Sasa hapo ukijaribu kuiga upate sifa unaumia lazima.
 
Kiukweli watu huko duniani Wana pesa aisee, imebidi nijitafakari upya nimekuja kufanya nini duniani kwa sababu kwa mambo niliyoyaona jana usiku nilirudi nyumbani kwa huzuni kubwa Sana, aibu na maumivu.

Nilikua zangu road nikasema Wacha niende rock city mall nikashangae maghorofa, nikajikuta nimeingia CASK bar maana nilisikia Fid q atakuepo kwa sababu Mimi ni mdau wa hip-hop nikaona acha nijisogeze nikasikie Ngoma kama bongo hiphop, I'm professional n.k.

Kufika nikakuta kwanza parking magari yamejaa yaani watoto ni wakali sijawahi ona, size zote zipo, class A, wachafu, wazuri yaani ni wewe tu, mluga luga nikasema Leo lazima niopoe nilikua na 50,000/= mfukoni nikasema Leo watanikoma sitakosa mtoto hata wa 20,000/=
Nikanyooka mpaka counter nipate hata wine chupa ndogo Ile ya imagi nizuge nayo huku nikiendelea kuangalia mrembo yupi atanifaa nichomoke nae, huku kitaa hiyo wine Wanauza 3500/= Sasa yule counter hakunisikia vizuri akaleta chupa ya maji akanambia 4000/= chupa ndogo nikamuuliza shingapi? huku nimepigwa na butwaa kusikia hiyo bei ya maji, Pembeni yangu walikua wamekaa mademu wamechafua meza vibaya wamejaza windohek, hennesy n.k yaani waliokua pale counter hakuna aliekua mnyonge, kipindi naleta mshangao nikamwambia yule anaehudumia counter anirudishie hela yangu maana siwezi nunua maji Mls 700 kwa 4000/= wakati hata bombani yapo, kipindi naondoka nikasikia vicheko kutoka kwa wadada na washikaji waliokua counter.

Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.


View attachment 2859139
View attachment 2859140


Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?
Chai..
Lakini poa tu..
 
Niliendaga kitambaa cheupe kuangalia EPL daah mule sijaiona starehe yoyote zaidi ya makelele, halafu na hili joto la Dar,Mimoshi ya Shisha,watu shazi,huku mziki. Nilichemka nilikaa nusu saa na kuondoka pamoja nilitoa 10k mlangoni.Nikatafuta chaka jingine la kutizama mpira, ila kuhusu mademu mule kuna sampuli za kila aina mademu wakali
 
Kiukweli watu huko duniani Wana pesa aisee, imebidi nijitafakari upya nimekuja kufanya nini duniani kwa sababu kwa mambo niliyoyaona jana usiku nilirudi nyumbani kwa huzuni kubwa Sana, aibu na maumivu.

Nilikua zangu road nikasema Wacha niende rock city mall nikashangae maghorofa, nikajikuta nimeingia CASK bar maana nilisikia Fid q atakuepo kwa sababu Mimi ni mdau wa hip-hop nikaona acha nijisogeze nikasikie Ngoma kama bongo hiphop, I'm professional n.k.

Kufika nikakuta kwanza parking magari yamejaa yaani watoto ni wakali sijawahi ona, size zote zipo, class A, wachafu, wazuri yaani ni wewe tu, mluga luga nikasema Leo lazima niopoe nilikua na 50,000/= mfukoni nikasema Leo watanikoma sitakosa mtoto hata wa 20,000/=
Nikanyooka mpaka counter nipate hata wine chupa ndogo Ile ya imagi nizuge nayo huku nikiendelea kuangalia mrembo yupi atanifaa nichomoke nae, huku kitaa hiyo wine Wanauza 3500/= Sasa yule counter hakunisikia vizuri akaleta chupa ya maji akanambia 4000/= chupa ndogo nikamuuliza shingapi? huku nimepigwa na butwaa kusikia hiyo bei ya maji, Pembeni yangu walikua wamekaa mademu wamechafua meza vibaya wamejaza windohek, hennesy n.k yaani waliokua pale counter hakuna aliekua mnyonge, kipindi naleta mshangao nikamwambia yule anaehudumia counter anirudishie hela yangu maana siwezi nunua maji Mls 700 kwa 4000/= wakati hata bombani yapo, kipindi naondoka nikasikia vicheko kutoka kwa wadada na washikaji waliokua counter.

Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.


View attachment 2859139
View attachment 2859140


Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?
Mshua ulifanya kitu Cha kishujaa sana ni vyema ulichekwa lakini ulisevu maokoto Yako kuliko ungekubali kutumia kwa kuhofia aibu[emoji23]
 
Back
Top Bottom