Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh hiyo 5000 ni kutingisha nyavu mara ngapi??Riverside malaya ni buku 5
Labda aende uwanja wa fisi buku 3
Noma manSinunui....Bora waniue😀
Tushaambiwa kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake mkuu.Yes, lakini Sasa nyomi lilikua la kutosha Sana, watu walikua wanaspend kama hakuna kesho.
Ni kweli aisee, nilichofurahi ni kwamba nimegundua Mimi ni maskini tu so niendelee kujitafuta.Tushaambiwa kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake mkuu.
Ukitaka kula zaidi ya urefu wa kamba yako kamba inaweza kukunyonga.
Hafanikiwi vipi wakati hapo tayari kasevu pesa yake? 50,000 yake karudi nayo na kesho anaanza nayo [emoji23] [emoji23]Halafu mabahili huwa hawafanikiwi
Bao mojaDuuuh hiyo 5000 ni kutingisha nyavu mara ngapi??
Hafanikiwi vipi wakati hapo tayari kasevu pesa yake? 50,000 yake karudi nayo na kesho anaanza nayo [emoji23] [emoji23]
Exactly [emoji1666] niliwahi kufika hapo the Cask, kiukweli ni sehemu expensive na kama mtu kipato chake ni kidogo si sehemu sahihi, bora aende sehemu nyingine ambapo hayo maji ya 4000 utayapata kwa 700 au walau buku. Nakumbuka last year October tulipita hapo but tulikuwa kikazi, chakula watu 4 and drinks ilikuwa karibia laki moja na ushee hivi..Issue ni Ku-play smart Watz wengi starehe zao za kimasikini Sana ngono na pombe.
MTU bahili na smart yeye sio MTU wa. anasa bali bata.
Ungekunywa tu hayo maji ingekusaidia sana kuutikisa umasikiniKiukweli watu huko duniani Wana pesa aisee, imebidi nijitafakari upya nimekuja kufanya nini duniani kwa sababu kwa mambo niliyoyaona jana usiku nilirudi nyumbani kwa huzuni kubwa Sana, aibu na maumivu.
Nilikua zangu road nikasema Wacha niende rock city mall nikashangae maghorofa, nikajikuta nimeingia CASK bar maana nilisikia Fid q atakuepo kwa sababu Mimi ni mdau wa hip-hop nikaona acha nijisogeze nikasikie Ngoma kama bongo hiphop, I'm professional n.k.
Kufika nikakuta kwanza parking magari yamejaa yaani watoto ni wakali sijawahi ona, size zote zipo, class A, wachafu, wazuri yaani ni wewe tu, mluga luga nikasema Leo lazima niopoe nilikua na 50,000/= mfukoni nikasema Leo watanikoma sitakosa mtoto hata wa 20,000/=
Nikanyooka mpaka counter nipate hata wine chupa ndogo Ile ya imagi nizuge nayo huku nikiendelea kuangalia mrembo yupi atanifaa nichomoke nae, huku kitaa hiyo wine Wanauza 3500/= Sasa yule counter hakunisikia vizuri akaleta chupa ya maji akanambia 4000/= chupa ndogo nikamuuliza shingapi? huku nimepigwa na butwaa kusikia hiyo bei ya maji, Pembeni yangu walikua wamekaa mademu wamechafua meza vibaya wamejaza windohek, hennesy n.k yaani waliokua pale counter hakuna aliekua mnyonge, kipindi naleta mshangao nikamwambia yule anaehudumia counter anirudishie hela yangu maana siwezi nunua maji Mls 700 kwa 4000/= wakati hata bombani yapo, kipindi naondoka nikasikia vicheko kutoka kwa wadada na washikaji waliokua counter.
Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.
View attachment 2859139
View attachment 2859140
Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?
Bilashaka ndo hivyo,wakiweka bei sawa na sehemu za kawaida,hata wakwapua simu,waleta vúrugu na watu wengine wasiowastaarabu,watajazana humo,dawa ni kupandisha bei vitu,ili watu tujichuje kutokana na vipato.Ni kwel mkuu mfano hapo samak samak kweny hako ka VIP kao unaweza jihisi hauko daslam due kuna ka ubarid flan iv....na nlichoona kingine ni kama wanawahudumia zaid wagen kutoka nje
Duh Sasa hapo ukijaribu kuiga upate sifa unaumia lazima.Exactly [emoji1666] niliwahi kufika hapo the Cask, kiukweli ni sehemu expensive na kama mtu kipato chake ni kidogo si sehemu sahihi, bora aende sehemu nyingine ambapo hayo maji ya 4000 utayapata kwa 700 au walau buku. Nakumbuka last year October tulipita hapo but tulikuwa kikazi, chakula watu 4 and drinks ilikuwa karibia laki moja na ushee hivi..
Mwl umeanzisha uzi kwa id nyingine na umesahau unakuja kujibu na nyingine halafu unajipa likes kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ndo maana nliondoka mkuu....sikuwa na compromise yyte due nliona napigwa
Dah hizo ni sehemu zenu wenye pesa, ngoja niendelee kujitafuta.Ungekunywa tu hayo maji ingekusaidia sana kuutikisa umasikini
Chai..Kiukweli watu huko duniani Wana pesa aisee, imebidi nijitafakari upya nimekuja kufanya nini duniani kwa sababu kwa mambo niliyoyaona jana usiku nilirudi nyumbani kwa huzuni kubwa Sana, aibu na maumivu.
Nilikua zangu road nikasema Wacha niende rock city mall nikashangae maghorofa, nikajikuta nimeingia CASK bar maana nilisikia Fid q atakuepo kwa sababu Mimi ni mdau wa hip-hop nikaona acha nijisogeze nikasikie Ngoma kama bongo hiphop, I'm professional n.k.
Kufika nikakuta kwanza parking magari yamejaa yaani watoto ni wakali sijawahi ona, size zote zipo, class A, wachafu, wazuri yaani ni wewe tu, mluga luga nikasema Leo lazima niopoe nilikua na 50,000/= mfukoni nikasema Leo watanikoma sitakosa mtoto hata wa 20,000/=
Nikanyooka mpaka counter nipate hata wine chupa ndogo Ile ya imagi nizuge nayo huku nikiendelea kuangalia mrembo yupi atanifaa nichomoke nae, huku kitaa hiyo wine Wanauza 3500/= Sasa yule counter hakunisikia vizuri akaleta chupa ya maji akanambia 4000/= chupa ndogo nikamuuliza shingapi? huku nimepigwa na butwaa kusikia hiyo bei ya maji, Pembeni yangu walikua wamekaa mademu wamechafua meza vibaya wamejaza windohek, hennesy n.k yaani waliokua pale counter hakuna aliekua mnyonge, kipindi naleta mshangao nikamwambia yule anaehudumia counter anirudishie hela yangu maana siwezi nunua maji Mls 700 kwa 4000/= wakati hata bombani yapo, kipindi naondoka nikasikia vicheko kutoka kwa wadada na washikaji waliokua counter.
Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.
View attachment 2859139
View attachment 2859140
Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?
Mshua ulifanya kitu Cha kishujaa sana ni vyema ulichekwa lakini ulisevu maokoto Yako kuliko ungekubali kutumia kwa kuhofia aibu[emoji23]Kiukweli watu huko duniani Wana pesa aisee, imebidi nijitafakari upya nimekuja kufanya nini duniani kwa sababu kwa mambo niliyoyaona jana usiku nilirudi nyumbani kwa huzuni kubwa Sana, aibu na maumivu.
Nilikua zangu road nikasema Wacha niende rock city mall nikashangae maghorofa, nikajikuta nimeingia CASK bar maana nilisikia Fid q atakuepo kwa sababu Mimi ni mdau wa hip-hop nikaona acha nijisogeze nikasikie Ngoma kama bongo hiphop, I'm professional n.k.
Kufika nikakuta kwanza parking magari yamejaa yaani watoto ni wakali sijawahi ona, size zote zipo, class A, wachafu, wazuri yaani ni wewe tu, mluga luga nikasema Leo lazima niopoe nilikua na 50,000/= mfukoni nikasema Leo watanikoma sitakosa mtoto hata wa 20,000/=
Nikanyooka mpaka counter nipate hata wine chupa ndogo Ile ya imagi nizuge nayo huku nikiendelea kuangalia mrembo yupi atanifaa nichomoke nae, huku kitaa hiyo wine Wanauza 3500/= Sasa yule counter hakunisikia vizuri akaleta chupa ya maji akanambia 4000/= chupa ndogo nikamuuliza shingapi? huku nimepigwa na butwaa kusikia hiyo bei ya maji, Pembeni yangu walikua wamekaa mademu wamechafua meza vibaya wamejaza windohek, hennesy n.k yaani waliokua pale counter hakuna aliekua mnyonge, kipindi naleta mshangao nikamwambia yule anaehudumia counter anirudishie hela yangu maana siwezi nunua maji Mls 700 kwa 4000/= wakati hata bombani yapo, kipindi naondoka nikasikia vicheko kutoka kwa wadada na washikaji waliokua counter.
Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.
View attachment 2859139
View attachment 2859140
Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?