Wanaweka bei kubwa ili kuondoa vibaka na malofa wasisogee😁😁 Huko sirudi Tena wameshanikosa kudadeki, nitarudi nikiwa na uwezo wa kuchafua meza kama nyie sijui itakua lini lakini nitarudi ku-clear jina langu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaweka bei kubwa ili kuondoa vibaka na malofa wasisogee😁😁 Huko sirudi Tena wameshanikosa kudadeki, nitarudi nikiwa na uwezo wa kuchafua meza kama nyie sijui itakua lini lakini nitarudi ku-clear jina langu.
Uwekezaji unatofautiana Mkuu. Kuna maeneo hiyo 50,000 inaweza kuwa ndogo. Ukiona bei huiwezi hapo Sio Kwa level Yako.Hivi ya 50000 na ya 10000 zinatofautiana kilevi?au ndo mjinga ndo aliwae?hata kama Una pesa,kitu cha buku unauziwa 15000 na we unatoa hela huku unakenua tu.kesho unataka rushwa na kumuibia mtanzania masikini ili uzipeleke tena bar.
Hahaaaa ,we jamaa umenichekesha sanaWakati huku Mwanza ndoo ya maji litre 20 napata kwa tsh 50-100 [emoji16][emoji16]
Yeah ! kahama wako vizuri sanaMwanza kwenye starehe inazidiwa hata na KAHAMA, yes kubali ukatae. Ebu nionyeshe kama Kuna sehemu itamzid CHOMA ZONE SPORTS BAR AND GRILL au THE MAGIC 101 zilizopo pale phantom?
Sahihi Tena hapo maji elfu 4 wamemuuzia bei ya kutupwa aende hoteli za nyota Tano aone mziki wake maji yanasoma Kwa Dola unaambiwa Dola 6 ukibadili Kwa Hela za Tanzania ni elfu 12 Kwa chupa ya maji usione watu wengi wanapita tu hayo.maeneo hata hicho tu hawakodoi wanajui hapaingilikiUwekezaji unatofautiana Mkuu. Kuna maeneo hiyo 50,000 inaweza kuwa ndogo. Ukiona bei huiwezi hapo Sio Kwa level Yako.
Ni biashara Mkuu. Akigongwa na watu watatu ni 15,000 hiyo. Kuna makapuku kibao wanalipwa chini ya 5,000 vibaruani huko.Buku 5 mdada anavua chupi?? Dunia imeisha
Hili kosa nilikuwa nafanya zamani kujilingasha na wengine wakimiliki nyumba Kali, biashara kubwa,Ndinga Kali,mm hata baiskeli Sina, nilikuwa nawaza lini nitakuwa kama wao,naishia kuwa mnyonge tu.sasa hivi nimekua Naona Kila mmoja na maisha yake.Usiige maisha wala kutaka kujilinganisha na mtu mwingine.....Maisha ni Siri kubwa kuhusu swala la kupata hela Kila mtu ana mbinu zake za kupata hela ni ngumu Sana kuuziwa silaha zote za mtu(Mbinu za kupata hela)
Pambana , pambana,pambana
Nilijikuta tu, lengo lilikua kwenda rock city mall nilivyosikia fid q yupo nikaona nikajisoze nikamshangae nilikosea njia mkuu, huko sirudi Tena. Zamani tunza beach tulikua tunaenda kuogelea kiingilio 3000/2000 sasahivi nasikia imekua VIP inaitwa KWA TUNZA.Ulishindwa kwenda kwenye Bar zenu za uswahilini pale juu Big bites ,kilimahewa na Kwa mtaa Lema hapo kona ya Bwiru ?
Kimbelembele chako kwenda classic venues kama " The cask " wakati unajua pale wanaenda watu wenye mawe wa kansa ya ziwa ,utakuta wavuvi ,wachimba madini nk wamekuja kuspend maokoto yao na wewe ukaenda kichwa kichwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio Mimi ni mwalimuNdio, akikataa naacha kutumia jf
Juice gani ya kutengeneza au hii ya azamNlikuwepo apo nakunywa juice 5,000
Kiukweli watu huko duniani Wana pesa aisee, imebidi nijitafakari upya nimekuja kufanya nini duniani kwa sababu kwa mambo niliyoyaona jana usiku nilirudi nyumbani kwa huzuni kubwa Sana, aibu na maumivu.
Nilikua zangu road nikasema Wacha niende rock city mall nikashangae maghorofa, nikajikuta nimeingia CASK bar maana nilisikia Fid q atakuepo kwa sababu Mimi ni mdau wa hip-hop nikaona acha nijisogeze nikasikie Ngoma kama bongo hiphop, I'm professional n.k.
Kufika nikakuta kwanza parking magari yamejaa yaani watoto ni wakali sijawahi ona, size zote zipo, class A, wachafu, wazuri yaani ni wewe tu, mluga luga nikasema Leo lazima niopoe nilikua na 50,000/= mfukoni nikasema Leo watanikoma sitakosa mtoto hata wa 20,000/=
Nikanyooka mpaka counter nipate hata wine chupa ndogo Ile ya imagi nizuge nayo huku nikiendelea kuangalia mrembo yupi atanifaa nichomoke nae, huku kitaa hiyo wine Wanauza 3500/= Sasa yule counter hakunisikia vizuri akaleta chupa ya maji akanambia 4000/= chupa ndogo nikamuuliza shingapi? huku nimepigwa na butwaa kusikia hiyo bei ya maji, Pembeni yangu walikua wamekaa mademu wamechafua meza vibaya wamejaza windohek, hennesy n.k yaani waliokua pale counter hakuna aliekua mnyonge, kipindi naleta mshangao nikamwambia yule anaehudumia counter anirudishie hela yangu maana siwezi nunua maji Mls 700 kwa 4000/= wakati hata bombani yapo, kipindi naondoka nikasikia vicheko kutoka kwa wadada na washikaji waliokua counter.
Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.
View attachment 2859139
View attachment 2859140
Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?
Siwezi kuja huko nimejigundua Mimi ni maskini Sana.Usije kujiloga ukasogelea wavuvi kempu
Yeah nimezaliwa hapa hapa lakini kwenye kutokua na Hela hapo nakubaliMawili umetoka mkoani huzi au huna hela. Tafuta hela 4000 ni pesa ndogo mno
Najiuliza kwanini kajipangia bei ya juu lakini bado wanajaa.Biashara ya pombe Ina faida sana
Exactly [emoji1666] niliwahi kufika hapo the Cask, kiukweli ni sehemu expensive na kama mtu kipato chake ni kidogo si sehemu sahihi, bora aende sehemu nyingine ambapo hayo maji ya 4000 utayapata kwa 700 au walau buku. Nakumbuka last year October tulipita hapo but tulikuwa kikazi, chakula watu 4 and drinks ilikuwa karibia laki moja na ushee hivi..
Pole sana mkuu sasa hapo penyewe bado hujanunua ata Pussy ya kiwango eti ushaona mambo magumu 😂😂😂 cha msingi jikite kwenye utafutaji wa pesa kwanzaKiukweli watu huko duniani Wana pesa aisee, imebidi nijitafakari upya nimekuja kufanya nini duniani kwa sababu kwa mambo niliyoyaona jana usiku nilirudi nyumbani kwa huzuni kubwa Sana, aibu na maumivu.
Nilikua zangu road nikasema Wacha niende rock city mall nikashangae maghorofa, nikajikuta nimeingia CASK bar maana nilisikia Fid q atakuepo kwa sababu Mimi ni mdau wa hip-hop nikaona acha nijisogeze nikasikie Ngoma kama bongo hiphop, I'm professional n.k.
Kufika nikakuta kwanza parking magari yamejaa yaani watoto ni wakali sijawahi ona, size zote zipo, class A, wachafu, wazuri yaani ni wewe tu, mluga luga nikasema Leo lazima niopoe nilikua na 50,000/= mfukoni nikasema Leo watanikoma sitakosa mtoto hata wa 20,000/=
Nikanyooka mpaka counter nipate hata wine chupa ndogo Ile ya imagi nizuge nayo huku nikiendelea kuangalia mrembo yupi atanifaa nichomoke nae, huku kitaa hiyo wine Wanauza 3500/= Sasa yule counter hakunisikia vizuri akaleta chupa ya maji akanambia 4000/= chupa ndogo nikamuuliza shingapi? huku nimepigwa na butwaa kusikia hiyo bei ya maji, Pembeni yangu walikua wamekaa mademu wamechafua meza vibaya wamejaza windohek, hennesy n.k yaani waliokua pale counter hakuna aliekua mnyonge, kipindi naleta mshangao nikamwambia yule anaehudumia counter anirudishie hela yangu maana siwezi nunua maji Mls 700 kwa 4000/= wakati hata bombani yapo, kipindi naondoka nikasikia vicheko kutoka kwa wadada na washikaji waliokua counter.
Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.
View attachment 2859139
View attachment 2859140
Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?