Jana nimeenda club kwa mara ya kwanza, nimetoka nduki baada ya kuuziwa maji 4000/=

Jana nimeenda club kwa mara ya kwanza, nimetoka nduki baada ya kuuziwa maji 4000/=

Mi nikiendaga bar nikijiona hela ya mawazo afu nataka v i p nachukua zangu bapa za elfu 10 tatu natia mfukon nikifika pale naagiza maji ya buku tano afu naweka bapa mezan ukiuliza hizo bapa hapo ndan chupa ni elfu 70 vitatu sawa na laki mbili na ushee bas wana wananiona done kumbe nimetokanazo kitaa kwa buku 30 kauli mbiu yangu ni .2024 maisha ni kujiongeza'
 
Hila wadau tuambiane ukweli mnapata pesa wapi za kuspend kiroho mbaya hivyo? Hamna majukumu? Au mna pesa nyingi Sana mnatafuta sehemu ya kuzitumia?
I see, ukitafakari hii kauli, unaona kabisa jamaa kawaza vema sana. Deep down hizo pesa watu wanatumia hovyo zina siri kubwa sana.

Mkuu, kubali maisha yana level, uzuri uliona uko sehemu isiyoyako, ukaondoka.
 
Nilijikuta tu, lengo lilikua kwenda rock city mall nilivyosikia fid q yupo nikaona nikajisoze nikamshangae nilikosea njia mkuu, huko sirudi Tena. Zamani tunza beach tulikua tunaenda kuogelea kiingilio 3000/2000 sasahivi nasikia imekua VIP inaitwa KWA TUNZA.
Nenda Rock beach kule kwa mia mbili miambili ukajipongeze mirinda nyeusi
 
Huyu aende liquor store tu apewe kiti nje ya barabara akae anywe Maji bila mziki, sehemu za starehe mtaumizana tu ataondoka hajala maana mbavu tatu za mbuzi choma ni 50000
sema waja mna laana,kwa hiyo mtoto wa mwenzenu achezee muziki nje ya geti kisa ana hela ya mawazo[emoji23][emoji1787]
 
Ukija Far usikubali kwenda Wavuvi camp, hapo bill za million, million 5 NI kawaida Tu na watu wanalipwa cash.

Chupa kubwa la Hennessy wanauza laki nane, ukipelekwa pale na mataita kupewa offer unaweza ukaona watu wanaharibu pesa Bora Ile gharama ya vinywaji vyako wangekupa cash ukapunguze shida zako.

Dunia ndio ilivyo, ila maisha ya Wabongo wengi ni Jehenamu.
heineken buku nane, sisogei kamwe
 
Mi nikiendaga bar nikijiona hela ya mawazo afu nataka v i p nachukua zangu bapa za elfu 10 tatu natia mfukon nikifika pale naagiza maji ya buku tano afu naweka bapa mezan ukiuliza hizo bapa hapo ndan chupa ni elfu 70 vitatu sawa na laki mbili na ushee bas wana wananiona done kumbe nimetokanazo kitaa kwa buku 30 kauli mbiu yangu ni .2024 maisha ni kujiongeza'
Hiyo bar wanayo ruhusu kuingia na kinywaji chako ni wapi uko?
 
IMG-20240102-WA0000.jpg
IMG-20240102-WA0001.jpg

Screenshot_2024-01-02-00-09-39-48_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg

IMG_20240102_000853.jpg
 
[emoji16][emoji16] Huko sirudi Tena wameshanikosa kudadeki, nitarudi nikiwa na uwezo wa kuchafua meza kama nyie sijui itakua lini lakini nitarudi ku-clear jina langu.
Sehemu kama hizo kama wewe ji kabwela inatakiwa unaenda ukiwa full yaani umekuka na kushiba then unaenda kuburudika ata ukinunua maji ya 4000 sio mbaya unakunywa mpaka ahsubuhi.

Kuna siku nilikua malaika beach nikaambiwa wine yq 12000 wao wanauza 45k nikasema hii nikawa nafanya kazi ya kuwachenga wahudumu huku naendelea kula burudani saafi.
 
Huyu aende liquor store tu apewe kiti nje ya barabara akae anywe Maji bila mziki, sehemu za starehe mtaumizana tu ataondoka hajala maana mbavu tatu za mbuzi choma ni 50000
Watu wanapenda tu kuskia mziki mzuri, kuona mazingira mazuri mataa yana waka waka bend inampigia mziki na wafanyakazi wamevaa vizuri wanatabasamu tayar kwa kumhudumia.


Unazani commission ya 200 ya maji italipia vitu vyote hivi haiwezekani. Ndo maana wamiliki wengi wa hizi sehemu wameeamua kutafuta faida kwa kuongeza charges kwaa bidhaa. Utaingia bure ila maji ya 700 tunakuibia 4000 [emoji16][emoji16] iyo 3300 unalipia hizo services nyingine
 
Hiyo bar wanayo ruhusu kuingia na kinywaji chako ni wapi uko?
kwahy we ukienda pale utakua unajionesha umebeba pombe??? kutoka nje kwanza nafs yako haitakusuta?? Nimesema bapa unaweka mfukon haijalish koti kubwa au sulual pana mbona watu tunaenda bar kubwa na beg mgongon na hatuulizwi au sura yako watu wakikutazama wanahis muharifu
 
Back
Top Bottom