Jana nimefanya risk ya kipuuzi sana

Shetani alishaandaaga mazingira kitambo sana,kuanzia bodaboda kupatikana muda wowote,ukiwa na pesa kila kitu kinawezekana,nazan shetani ni pesa
Jana mimi mwnywe nimefanya tukio la kibabe sana kweli pesa ni shetani
 
Hata Mimi Nina hii nguvu sema sijui jinsi ya kuitumia
 
Hamna kwa sababu hawa si wanajuana itakuaje kimasihara

Kamasihara ni wawe hawajuani ndo mara yao ya kwanza wanaonana na mbunye inaliwa kimasihara dadek
Hapo mwamba aliliwa kimasikhara manake demu ndio alifanya maamuzi.
 
Bro P. Mayalla, hapo umetuacha. Jazia nyama kidogo basi brother.!
P
 
Hajibu msg mpk sahiz and i dont care nishamla [emoji23]
Yuko humu Jf kashakujua!!

Ila dhambi ya uzinzi kwetu wasimamishaji sijui itaisha lini,, tutafika mbinguni tuko tired sana
 
Watu kama nyinyi ndo tunaosikia mmekufa kwenye ajar, mmeanguka bafuni au ghafla tu
 
Yule dogo uliemchukua hua hasomi hizi story zako mzee?? [mention]Mubby777 [/mention] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule dogo uliemchukua hua hasomi hizi story zako mzee?? [mention]Mubby777 [/mention] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Anasoma unahisi anaweza nichoma kwa wife?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…