Jana ulikuwa ni mkutano wa CCM uliovalishwa vazi la CHADEMA


πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
 
Nilishasemaga wewe ni mpumbavu. Long narrative halafu pumba tupu. Why should you always load JF valued server kwa upuuzi now and then?! Ni ukosefu wa maarifa na busara? Hunaga washauri au huna hata self conscious?

Unataka nikuajiri wewe ili uwe mshauri wangu?
 
Asante mkuu kwa kumuelewesha
 
In fact mim naona ana haki ya kumshukuru na kumpongeza Samia kwasababu
1- Samia kapunguza vikwazo vya kidemokrasia hasa kuruhusu mikutano ya kisiasa
2- Samia yupo kinyume na CCM approximately 75% maana, karuhusu marekebisho ya katiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…