Mzee baba unaishi stoo 😀 😀Yaani nilifikiria kula kwa kibanda umiza nikaona wacha ninunue yai 2 na nyanya za jero na unga nusu na robo nikaliamsha dona la maana na mboga ile ya yai mchanganyimo na nyanya aisee lilishuka hatari.kuwa single raha sana vijana msikimbilie maisha hali saa hivi ni ngumuView attachment 1482189
Nisingeshiba pale wanapunja sana[emoji23][emoji23]Gharama zote hizo ni matumizi mabaya ya pesa na muda.
Ungetoka stendi ulipo uende kwa J4 pale Tabata Mwananchi ungekula pilau,nyama na kachumbari kwa buku pesa halali ya Tanzania.
Yaani nilifikiria kula kwa kibanda umiza nikaona wacha ninunue yai 2 na nyanya za jero na unga nusu na robo nikaliamsha dona la maana na mboga ile ya yai mchanganyimo na nyanya aisee lilishuka hatari.kuwa single raha sana vijana msikimbilie maisha hali saa hivi ni ngumuView attachment 1482189
Na unaweza kuta huyu atakuja kuwa rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania..😅Mzee baba unaishi stoo 😀 😀
Maisha ya usingle Yana Raha sana..mie nikiona tambi,sausage na macaroni nakumbukia usingle life! Lakini maisha ya familia lazima maharage yawepo😖😖! Mara wali🤸🤸! AhYaani nilifikiria kula kwa kibanda umiza nikaona wacha ninunue yai 2 na nyanya za jero na unga nusu na robo nikaliamsha dona la maana na mboga ile ya yai mchanganyimo na nyanya aisee lilishuka hatari.kuwa single raha sana vijana msikimbilie maisha hali saa hivi ni ngumuView attachment 1482189
Sijui kwa nn hii comment imenikwaza.So what
Usisababishe nicheke yanikute ya IdrisaNa unaweza kuta huyu atakuja kuwa rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania..😅
Kweli kabisa kwanza ukiwa single hela unaiona maana hutumii nyingiMaisha ya usingle Yana Raha sana..mie nikiona tambi,sausage na macaroni nakumbukia usingle life! Lakini maisha ya familia lazima maharage yawepo[emoji37][emoji37]! Mara wali[emoji1732][emoji1732]! Ah
Mkuu hicho kitanda unalalaje maana upande wa kichwa kunaonekana kunabonyea! Hivyo ukilala kiwiliwili kinakuwa juu kichwa kinakimbilia chini😅Yaani nilifikiria kula kwa kibanda umiza nikaona wacha ninunue yai 2 na nyanya za jero na unga nusu na robo nikaliamsha dona la maana na mboga ile ya yai mchanganyimo na nyanya aisee lilishuka hatari.kuwa single raha sana vijana msikimbilie maisha hali saa hivi ni ngumuView attachment 1482189