Janabi amepandisha sana gharama za matibabu Muhimbili anaenda kuwa mshauri wa Rais? Mnataka Watanzania wafe zaidi?

Janabi amepandisha sana gharama za matibabu Muhimbili anaenda kuwa mshauri wa Rais? Mnataka Watanzania wafe zaidi?

Watu wa kujirusha mitandaoni awamu hii wanakula bila kuwaza, RC Dar, RC Dodoma, RC Arusha na Janabi
 
Sasa hayo matukio yatafanyika hadi lini? Na kama kuna huo mchezo wa hayo matukio basi siku watafanyiwa hayo matukio hata yule msiyetaka afanyie hilo tukio.
Kwa hawa wanauza bandari zetu,wanaobariki matukio yasiyofaa kwenye jamii,hata kama ni huyo Yesu ama Mud afanyiwe tu mimi sihitaji mtawala bali ninahitaji kiongozi.

Mmasai wa Ngorongoro naye asemeje?
 
Huu wa
Yote 9, wamenichosha na gharama ya parking... Ukijichanganya unalipa elfu 7, 10 na kuendelea, wakati mlolongo wa kupoteza muda kupata huduma wao ndio wasababishi.

Parking ndio ilinishangaza hii nchi mwenye pesa hana huruma aisee
 
Ulizeni gharama za matibabu Muhimbili zilivyo kisha mlinganishe na Hospitali za mitaani mtaona kuwa hali ni mbaya sana. Hospital ya Taifa ya Muhimbili kwa sasa imekuwa ya kibiashara zaidi na si kutoa huduma.

Utra Sound ambayo hata mtaani unaweza piga kwa tsh 20,000 Muhimbili ni tsh 35,000. na mkumbuke mtu anayeenda Muhimbili ni mtu ambaye emshindikana mtaani si kuwa anawenda kule kwa kuwa anapenda.

Kumwona specialist ni tsh 30,000 akikuelekeza uende kwa mwingine nako utalipia tsh 30,000 hata kama ni the same day. hujaenda kuonana na Daktari wa magonjwa ya akili kama unafanya clinic. ni tsh 45,000 mnakaa dk 5 anakuuliza unakunywa dawa? unajisikiaje? haya njoo tena baada ya miezi 3 anakuandikia anakuruhusu uende. tayari tsh 45,000 imeenda. hizi kodi zetu zinatumika wapi?

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Nyie mnajinunulia magari ya milion 300 mpaka 500 huku maskini wanakufa kwa kukosa huduma muhimu na kuwaoandishia gharama za matibabu. hali ni mbaya sana kwa watanzania.

Sishangai wanaposhangilia kusikia wabunge wamepata ajali. wanaumia sana kwa mateso wayapatayo huku watu wachache wakifaidi huduma za kijamii bure. wao wanachangia wachache waweze kula keki ya nchi vizuri.
Umetoa somo zuri na ukweli mtupu. Lakini Kuna wajinga utawasikia mitano tena kwa Jimama
 
Ulizeni gharama za matibabu Muhimbili zilivyo kisha mlinganishe na Hospitali za mitaani mtaona kuwa hali ni mbaya sana. Hospital ya Taifa ya Muhimbili kwa sasa imekuwa ya kibiashara zaidi na si kutoa huduma.

Utra Sound ambayo hata mtaani unaweza piga kwa tsh 20,000 Muhimbili ni tsh 35,000. na mkumbuke mtu anayeenda Muhimbili ni mtu ambaye emshindikana mtaani si kuwa anawenda kule kwa kuwa anapenda.

Kumwona specialist ni tsh 30,000 akikuelekeza uende kwa mwingine nako utalipia tsh 30,000 hata kama ni the same day. hujaenda kuonana na Daktari wa magonjwa ya akili kama unafanya clinic. ni tsh 45,000 mnakaa dk 5 anakuuliza unakunywa dawa? unajisikiaje? haya njoo tena baada ya miezi 3 anakuandikia anakuruhusu uende. tayari tsh 45,000 imeenda. hizi kodi zetu zinatumika wapi?

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Nyie mnajinunulia magari ya milion 300 mpaka 500 huku maskini wanakufa kwa kukosa huduma muhimu na kuwaoandishia gharama za matibabu. hali ni mbaya sana kwa watanzania.

Sishangai wanaposhangilia kusikia wabunge wamepata ajali. wanaumia sana kwa mateso wayapatayo huku watu wachache wakifaidi huduma za kijamii bure. wao wanachangia wachache waweze kula keki ya nchi vizuri.
Mimi sishangai hata WHO wanaweza mteua,mzee anapenda kusikilizwa/muongeaji na kitu akikinua anakuambia black and white,he knows his stuff in and out take it or leave it,kuna madaktari wengi sana TZ,mtu km mzee Sarungi zinakuaga tunu za taifa,angekua mzungu yule wote mgekua mnamnyenyekea lkn kwakua ametokea mashamba ya Kagera mnamponda
Baba piga kazi kelele waachie vyura
 
Mimi sishangai hata WHO wanaweza mteua,mzee anapenda kusikilizwa/muongeaji na kitu akikinua anakuambia black and white,he knows his stuff in and out take it or leave it,kuna madaktari wengi sana TZ,mtu km mzee Sarungi zinakuaga tunu za taifa,angekua mzungu yule wote mgekua mnamnyenyekea lkn kwakua ametokea mashamba ya Kagera mnamponda
Baba piga kazi kelele waachie vyura
Kuwa daktari hakukufanyi kuelewa management ya afya.

Janabi hawajawai hata kufanya kazi kwenye administration za serikali (hana succession) planning ya serikali.

Tanzania sijamsikia mtu ambae anaelewa management ya wizara ya afya kumzidi Dr Dorothy Gwajima.

Sio ushabiki ni uhalisia

Management ya afya inahusisha masomo ya finance. Ndio maana ile team ya Ummy Mwalimu na yule Dr wake (jina limenitoka) iliweza jibu on merit za service costing za huduma za afya kuhusu bei ambazo private hospitals wanadai.

Kama unaelewa services costing ile team ilijibu kitaalamu you can yule Dr wake alikuwa ni trained kwenye maswala ya management. So is Dorothy Gwajima ukiangalia video zake alipokuwa naibu katibu mkuu wizara ya afya

Janabi is just a doctor hana managerial skills, worst kama unaelewa medicine, I wouldn’t hire him to be a president doctor kwa ushauri wake wa afya.
 
Kuwa daktari hakukufanyi kuelewa management ya afya.

Janabi hawajawai hata kufanya kazi kwenye administration za serikali (hana succession) planning ya serikali.

Tanzania sijamsikia mtu ambae anaelewa management ya wizara ya afya kumzidi Dr Dorothy Gwajima.

Sio ushabiki ni uhalisia

Management ya afya inahusisha masomo ya finance. Ndio maana ile team ya Ummy Mwalimu na yule Dr wake (jina limenitoka) iliweza jibu on merit za service costing za huduma za afya kuhusu bei ambazo private hospitals wanadai.

Kama unaelewa services costing ile team ilijibu kitaalamu you can yule Dr alikuwa ni trained kwenye maswala ya management. So is Dorothy Gwajima ukiangalia video zake alipokuwa naibu katibu mkuu wizara ya afya

Janabi is just a doctor hana managerial skills, worst kama unaelewa medicine, I wouldn’t hire him to be a president doctor kwa ushauri wake wa afya.
Mkuu nchi inakopa unafikiri utapata kitu cha bure kwenye huduma za serikali?,impossible
 
Mkuu nchi inakopa unafikiri utapata kitu cha bure kwenye huduma za serikali?,impossible
Kwanza waache kutunga budget za uongo.

Pili waweke watu wenye sifa sahihi kwenye wizara ambao; serikali imewatengeneza kwenda kuwa senior servants wa wizara.

Uhalisia ni kwamba Dorothy Gwajima ametengenezwa kushika nafasi ya kuwa katibu mkuu wa wizara.

Training yake ndio ingeweza saidia kudadavua service costing za afya.

Na yule Daktari aliekuwa team leader kwenye team ya ‘ummy mwalimu’ ya kujibu hoja za malipo ya NHIF dhibi ya madai ya huduma binafsi kuhusu gharama zao you can tell he was a trained medic in management (japo he is not in public life) nonetheless he is a technocrat ukimsikiliza.

Sasa sio serikali aina wataalamu, ila huko mamlaka ya teuzi tumejaza wajinga. Yaani yule jamaa wa ummy mwalimu angekuwa waziri afya na Dorothy Gwajima katibu mkuu wake; au vice versa. Wasingeweza maliza matatizo ya afya ila wangeiboresha sana sector.

Janabi he is just a surgeon, doesn’t come across trained to manage health sector kama Dorothy Gwajima au yule jamaa wa team ya Ummy Mwalimu; inataka uelewa wa health management kuona tofauti zao.
 
Sijui kama bado wanaendelea kushikilia maiti kwa mtu aliyeshindwa kulipa gharama za matibabu ya marehemu!
 
Ukisikia falsafa ya unyonyaji wananchi kupitia mashirika na taasisi ya umma ndicho kitu kinaendelea tanzania. Hizo ndio R nne. Watumishi hawahitaji uwekezaji binafsi wowote kupata gawio kutoka serikalini. Kinachofanyika ni kuwanyonya wananchi kwenye huduma ambapo serikali imewekeza fedha za umma. Ukichunguza kwa uhakika utakuta vigogo sehemu kama muhimbili kuanzia wakurugenzi mameneja wa vitengo hadi madaktari na wataalam ndio wafaidika na gharama kubwa wanazotozwa umma wa wananchi. Kuna marupurupu ya kutisha nje ya malipo rasmi.
Umeongea kweli mkuu marupurupu wanayoyopata ni hadi mara mbili ya mishahara halisi kuanzia juu Hadi chini
 
Ulizeni gharama za matibabu Muhimbili zilivyo kisha mlinganishe na Hospitali za mitaani mtaona kuwa hali ni mbaya sana. Hospital ya Taifa ya Muhimbili kwa sasa imekuwa ya kibiashara zaidi na si kutoa huduma.

Utra Sound ambayo hata mtaani unaweza piga kwa tsh 20,000 Muhimbili ni tsh 35,000. na mkumbuke mtu anayeenda Muhimbili ni mtu ambaye emshindikana mtaani si kuwa anawenda kule kwa kuwa anapenda.

Kumwona specialist ni tsh 30,000 akikuelekeza uende kwa mwingine nako utalipia tsh 30,000 hata kama ni the same day. hujaenda kuonana na Daktari wa magonjwa ya akili kama unafanya clinic. ni tsh 45,000 mnakaa dk 5 anakuuliza unakunywa dawa? unajisikiaje? haya njoo tena baada ya miezi 3 anakuandikia anakuruhusu uende. tayari tsh 45,000 imeenda. hizi kodi zetu zinatumika wapi?

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Nyie mnajinunulia magari ya milion 300 mpaka 500 huku maskini wanakufa kwa kukosa huduma muhimu na kuwaoandishia gharama za matibabu. hali ni mbaya sana kwa watanzania.

Sishangai wanaposhangilia kusikia wabunge wamepata ajali. wanaumia sana kwa mateso wayapatayo huku watu wachache wakifaidi huduma za kijamii bure. wao wanachangia wachache waweze kula keki ya nchi vizuri.
Kwa hiyo kichaa kimeanza kupona au bado? Dawa unakunywa lakini?
 
Ulizeni gharama za matibabu Muhimbili zilivyo kisha mlinganishe na Hospitali za mitaani mtaona kuwa hali ni mbaya sana. Hospital ya Taifa ya Muhimbili kwa sasa imekuwa ya kibiashara zaidi na si kutoa huduma.

Utra Sound ambayo hata mtaani unaweza piga kwa tsh 20,000 Muhimbili ni tsh 35,000. na mkumbuke mtu anayeenda Muhimbili ni mtu ambaye emshindikana mtaani si kuwa anawenda kule kwa kuwa anapenda.

Kumwona specialist ni tsh 30,000 akikuelekeza uende kwa mwingine nako utalipia tsh 30,000 hata kama ni the same day. hujaenda kuonana na Daktari wa magonjwa ya akili kama unafanya clinic. ni tsh 45,000 mnakaa dk 5 anakuuliza unakunywa dawa? unajisikiaje? haya njoo tena baada ya miezi 3 anakuandikia anakuruhusu uende. tayari tsh 45,000 imeenda. hizi kodi zetu zinatumika wapi?

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Nyie mnajinunulia magari ya milion 300 mpaka 500 huku maskini wanakufa kwa kukosa huduma muhimu na kuwaoandishia gharama za matibabu. hali ni mbaya sana kwa watanzania.

Sishangai wanaposhangilia kusikia wabunge wamepata ajali. wanaumia sana kwa mateso wayapatayo huku watu wachache wakifaidi huduma za kijamii bure. wao wanachangia wachache waweze kula keki ya nchi vizuri.
Afya imegeuzwa kuwa chanzo cha mapato asee
 
Ultrasound ya Muhimbili unafanyiwa na Radiologist ambaye ni Specialist, uktrasound ya mtaani unafanyiwa na Sonographer ambaye qualifications zake huzifahamu hiyo pekee inajustify bei.

Daktari usipokuwa proactive kwenye kuhoji basi atakuhudumia hizo dakika chache ili mwengine aingie.
Sikiliza bro, mgonjwa wajibu wake ni kuelezea matatizo aliyonayo yaani main complains tu. Sasa daktari kazi yake ni kudadavua matatizo ya mgonjwa na hatimae kufikia ugonjwa alionao mgonjwa yaani anachokonoa hata yale mgonjwa hakujieleze. Na ndio maana kusomea udaktari inachukua muda mrefu. Kwa mtu anayetakiwa kuwa proactive ni daktari na siyo mgonjwa. Usitetee ujinga.
 
Kutwa wananunua mashangingi + ufisadi wa mali za umma.
Wenyewe hao wakubwa hata kodi hawalipi, ila wanapata huduma zote bure kabisa, na sio hapa Tanzania bali nje ya nchi. Wananchi wengine wa hali ya chini kodi wanalipa na huduma zote wanalipia kuanzia mashuleni, mahospitalini tena zenye kiwango duni kabisa. Kuna watu watasema mbona shule ni bure! Sio kweli kabisa, hakuna shule ya bure Tanzania labda huko kuzimu.
 
Back
Top Bottom