Na kukumbushhaa tu China saivi hana wasiwasi na makampuni ya magharibi Bali magharibi ndyo wanawasiwasi na makampuni ya China, makampuni ya China yameshika hatamu kkwenye teknolojia zote za kisasa na future teknoloji ata makampuni ya ulaya yakiamia India au Vietnam bado China hawatawezaa kumshushha kiuchumiKama unakiri economic development ya china kuongezeka (pato la mtu mmoja mmoja) maana yake ni kuwa makampuni yatalazimika uko mbeleni kutafuta mataifa ambayo pato lake bado lipo chini ili kurun biashara zao kwa gharama nafuu.
Tatizo wengi hawaijui sera na historia ya ukuaji wa uchumi wa China.Ujenzi wa uchumi wa China umeanza toka wakati wa Chairman Mao mpaka sasa wakati wa General secretary Xi sio wakati wa General secretary Hu pekee.
Kuielewa safari ya uchumi na maendeleo ya China mpya yapaswa kujifunza harakati za mwanzo za CPC, kuzaliwa kwa Jamhuri ya watu wa China, kipindi cha mwenyekiti Mao, Deng, Jiang, Hu na sasa katibu mkuu Xi Jinping
Umeeleza vizuri.Tatizo wengi hawaijui sera na historia ya ukuaji wa uchumi wa China.
China wamepambana sana mpaka hapo walipofikia. Nashangaa kuona watu tulio nchi masikini wakiikosoa China badala ya kuona nini cha kujifunza kutoka kwao
Akina Hu Jintao, Jiang Zemin na Xi Jinping walikuta tayari sera nzuri zilizowekwa na chairman Mao na mtu kama Deng Xiaoping hawa walishawawekea dira ya maendelo
Kila mmoja aliboresha kuendan na mabadiliko ya dunia ila misingi iliwekwa tangu enzi hizo
Umesema vizuri kuhusu China na historia ya kiuchumi toka wakati wa Mwenyekiti Mao na mabadiliko madogo wakati wa Deng na muendelezo wake wakati wa Jiang, Hu mpaka sasa Xi.Tatizo wengi hawaijui sera na historia ya ukuaji wa uchumi wa China.
China wamepambana sana mpaka hapo walipofikia. Nashangaa kuona watu tulio nchi masikini wakiikosoa China badala ya kuona nini cha kujifunza kutoka kwao
Akina Hu Jintao, Jiang Zemin na Xi Jinping walikuta tayari sera nzuri zilizowekwa na chairman Mao na mtu kama Deng Xiaoping hawa walishawawekea dira ya taifa ya maendelo
Kila raisi aliboresha/anaboresha kuendana na mabadiliko ya dunia ila misingi iliwekwa tangu enzi hizo
Ubishi sio mzuri kwa sababu unamfanya mtu akose maarifa mapya na kuongeza elimu duniaUmeeleza vizuri.
Napenda kuona watu wakijifunza zaidi mambo mbalimbali jambo baya ni kwamba watu ndani ya huu mtandao hawataki kujifunza ila wanataka kubishana jambo hili lanihuzunisha sana.
Umesema vyema. Tuna mengi ya kujifunza kutoka China uchapakazi, uzalendo, uwajibikaji, sera nzuri za taifaChina yaweza kuwa mfano wa kutoka masikini kuwa tajiri kwa kipindi kifupi pia Singapore nayo ni mfanano wa hatua aliizopiga China ndani ya kipindi cha muda mfupi.
Brah brah tu hapa; Mao kaiacha nchi ikiwa maskini sana.Ujenzi wa uchumi wa China umeanza toka wakati wa Chairman Mao mpaka sasa wakati wa General secretary Xi sio wakati wa General secretary Hu pekee.
Kuielewa safari ya uchumi na maendeleo ya China mpya yapaswa kujifunza harakati za mwanzo za ukombozi za CPC ,kuzaliwa kwa Jamhuri ya watu wa China, kipindi cha mwenyekiti Mao, Deng, Jiang, Hu na sasa katibu mkuu Xi Jinping
Sisi tunaangalia tunachokishuhudia kwenye macho yetu, huyo bibi yeye ametoa mawazo yake ata wewe toa ya kwako, walisema Urusi akiekewa vikwazo pia US na west wata suffer sana na maisha sijui gesi sijui mafuta sasa watu wamepata mbadala wa hiyo situation wanamgaragaza jamaa kila siku, na uchumi wa Urusi sasa unaelekea condemnUnapingana na US secretary of the treasury ?
Sioni sababu ya kuendelea kujadiliana nawe kama unapingana mpaka na US secretary of treasury.Sisi tunaangalia tunachokishuhudia kwenye macho yetu, huyo bibi yeye ametoa mawazo yake ata wewe toa ya kwako, walisema Urusi akiekewa vikwazo pia US na west wata suffer sana na maisha sijui gesi sijui mafuta sasa watu wamepata mbadala wa hiyo situation wanamgaragaza jamaa kila siku, na uchumi wa Urusi sasa unaelekea condemn
Ulisema wakati wa katibu mkuu Hu Jintao sasa umehamia kwa Deng Xiaoping.Brah brah tu hapa; Mao kaiacha nchi ikiwa maskini sana.
Uchumi wa China ulianza kukua zaidi miaka ya tisini tu. Baada ya kifo cha mao Dewng akaanza transfromation ya uchumi; miaka yote ya themanini ilikuwa ni ya transformation kuhimiza biashara binafsi na kuvutia wawekezaji kutoka nje. Wawekezaji waliokuwa wanafungua viwanda vyaoa walikuwa wanatakiwa kuwafundisha wachina jinsi viwanda vya vinavyofanya kazi wakati mwingine mpaka kuwa blueprints za bidhaa wazazotengeza.
Nadhani wewe ni mchina wa CCP anyeishi bongo kwa kutetea mambo ambayo hayakubaliani na ukweli.Ulisema wakati wa katibu mkuu Hu Jintao sasa umehamia kwa Deng Xiaoping.
Wenda wachanganya kuhusu maneno haya ujenzi wa uchumi, ukuaji hafifu na ukuaji wa kasi. ukifahamu kuhusu utumikaji wa maneno hayo katika historia ya uchumi wa China hakuna sababu ya kusema uchumi wa China umeanza kipindi cha Deng.
Sawa endelea kuburuzwaSioni sababu ya kuendelea kujadiliana nawe kama unapingana mpaka na US secretary of treasury.
Unajua kuwa Eurozone wameingia recession?Sisi tunaangalia tunachokishuhudia kwenye macho yetu, huyo bibi yeye ametoa mawazo yake ata wewe toa ya kwako, walisema Urusi akiekewa vikwazo pia US na west wata suffer sana na maisha sijui gesi sijui mafuta sasa watu wamepata mbadala wa hiyo situation wanamgaragaza jamaa kila siku, na uchumi wa Urusi sasa unaelekea condemn
Hata kabla ya Hu Jintao uchumi wa China ulikuwa unakua.Uchumi wa China imeanza kukuwa kwa kasi wakati wa Hu Jintao miaka ya 2000. Kabla ya hapo kulikuwa na maandaliazi ya "kujivua gamba" yaliyofanywa na watangulizi wake ambayo ndugu yenu anaaza kuyarudia magamba tena.
Unajua China iliingiaje WTO kama siyo kwa kusaidiwa na Marekani ambapo china ilipewa status ya MFN na marekani kuwa ikileta bidhaa zake kwenye soko la marekani ziingine bila kukatwa kodi? Iwapo baada ya China kuingia WTO na Jiang kumaliza muda wake angekuja jamaa huyu na si Hu Jintao unadhani mambo yangekuwaje?Hata kabla ya Hu Jintao uchumi wa China ulikuwa unakua.
Iko hivi China mwaka 2001 kipindi raisi akiwa Jiang Zemin ilijiunga na WTO
Moja ya manufaa makubwa China alipata baada ya kujiunga na shirika hilo la biashara duniani WTO ni kuanza kuexport kwa kiasi kikubwa bidhaa zake duniani.
Na kuanzia hapo uchumi wa China ulianza kukua kwa kasi hadi kufikia 10% na point kadhaa
Mwaka 2007 ikaizidi Ujerumani ikawa ya 3 kiuchumi duniani mwaka 2010 ikaipita Japan ikawa ya 2 duniani
Hoja iko hapa: Hu Jintao aliingia madarakani mwaka 2003 kwa hiyo alikuta tayari mtangulizi wake Jiang Zemin ameifanya China kuwa member wa WTO tangu mwaka 2001
Kwa hiyo Hu Jintao akaanza kuvuna matunda yaliyohasisiwa na mtangulizi wake Jiang Zemin.
Ndio maana mimi na TPP sikuzote tunasema taifa la China wana dira na sera ya taifa ambayo kiongozi yotote wa CPC anaifuta lengo kuukuza uchumi wa China
Comrades wote kuanzia Mao mpaka kufikia Xi lengo lao ni moja kuikuza China
Unakuwa na kichwa kigumu kuelewa mambo.Ni kutokana na utawala wa Hu Jintao ndiyo maana makampuni mengi sana ya kimarekani na Ulaya yalipofungua viwanda vyao huko China
Hivi ulishawahi kupitia takwimu za karibuni za top FDI (Foreign Direct Investment) inflows destinations wordlwide?na sasa hivi makampuni hayo yanafunga shughuli zake kuhamia India, Vietnam na Thailand. It is just a matter of time kwa nchi inayoendesha statistics za uchumi wake kiujanjaujanja tu
Hakuna ujanja ujanja progress ya China iko wazi kabisa haijifichi mkuu ni vile labda umekaririshwa propaganda za Westinayoendesha statistics za uchumi wake kiujanjaujanja tu
Sijajua unatetea kitu gani maana kuna watu wengi hupenda kubishabisha tu bila kuwa na substance yoyote. Viongozi waliokuwapo waliisaida sana China kujenga uhusiano mzuri na Marekani, na ni Rais Clinton ndiye aliyeiingiza China kwenye WTO na kuipa MFN status.Unakuwa na kichwa kigumu kuelewa mambo.
Iwe angekuja Hu Jintao au kiongozi mwingine yoyote benefits zingekuwa ni zilezile.
Kwa sababu hata kabla ya Hu Jintao kuwa raisi mwaka 2003 tayari kufikia 2002 faida iliyotengenezwa na industrial state-owned enterprises ilikuwa imekua kwa zaidi ya asilimia 150 tangu China ijiunge WTO