Janet Yellen: Washington yatatokea madhara makubwa Marekani ikijitoa China

Janet Yellen: Washington yatatokea madhara makubwa Marekani ikijitoa China

Micron ni kampuni ndogo sana mzee wangu. Walikuwa wanatengezea hard disk lakini wamepand kidogo siku hizi wanatengezea USB thumb drives na flash memory chips tu.
Yamekuwa hayo tena si mlisema mnaondoa makampuni yenu China mnaenda Thailand?

Mbona wameng'ang'ania China na wakati walipigwa ban 🤣🤣
 
Nimeweka video hizo kwa vila ninapatika kirahisi, lakini wiki iliyopita Rais wa China ameaishaitisha mikutano zaid ya mitatu na viongozi wa biashara kadhaa kutoka Marekani. Ni katika juhudi zake za kujisafisha: Amekutana na Musk, Dimon, Cook na wengineo.

View attachment 2660040
Baada ya ziara za hao wafanyabiashara wakubwa kutoka Marekani

China itaanza kupokea wanasiasa kutoka Marekani, Blinken ataenda China mwezi huu
baadaye tena yule mama US treasury secretary Yellen naye ataenda China

Na wote agenda kuu ni economic cooperation. China is something else bro
 
Huyu kaja kuvuruga uhusiano uliojengwa na hao wenzake na kusababisha vurugu za sasa
Kati ya Xi na akina Trump na Biden nani wamevuruga uhusiano mzuri uliokuwepo kati ya China na Marekani

Kumbuka sikuzote chini ya utawala wa Trump na Biden Marekani ndio wamekuwa wa kwanza kuyafungia au kuyawekea vikwazo makampuni ya China

Na hayo makampuni yalikuwepo kipindi cha akina Clinton, Bush na Obama hatukuona yakifungiwa.
 
Hilo ni tatizo kwake kati ya ukuaji na ujenzi wa uchumi haya maneno mawili kwake yamekuwa changamoto
Ni changamoto sana. Shida inaanzia wapi unajua? Tayari mtu kama huyo ana mtazamo hasi kuelekea China, ni ngumu kuelewa mpaka aondoe hilo tatizo ndio ataanza kuelewa
 
Yamekuwa hayo tena si mlisema mnaondoa makampuni yenu China mnaenda Thailand?

Mbona wameng'ang'ania China na wakati walipigwa ban [emoji1787][emoji1787]

Vijana wa 2000’s hawawezi ijua historia ya China, wameshindwa Russia ndo wataweza China??. Micron wameamua kuwa wapole [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata ukitembelea website za makampuni mengi ya China (China based companies& mfg industries) utakuta yalianzishwa zamani mengine tangu miaka ya 1950's hadi 1990's kabla hata West hawajaenda kuwekeza China
Mkuu uko sahihi sana hapa nina mifano michache ya viwanda na makampuni ya China yalikuwepo tangu zamani ila sisi tumeanza kuyafahamu miaka hii ya 2010's

YUTONG BUS kiwanda kilianzishwa tangu 1963

HUAWEI: 1987

SINOTRUK (HOWO): 1935

ZHONGTONG BUS: 1958

HISENSE: 1993

HAIER: 1984

ALIBABA: 1999

China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC): 1978
kampuni iliyojenga Kijazi Interchange, SGR Tabora hadi Kigoma

China Road and Bridge Corporation: 1979
Waliojenga SGR ya Kenya

Makampuni ni mengi huwezi kuyataja yote ila tukubali hawa jamaa Wachina walikuwa mbali hata kabla ya makampuni ya Ulaya na Marekani kuvutiwa kuwekeza kwao
 
Hata kabla ya Hu Jintao uchumi wa China ulikuwa unakua.

Iko hivi China mwaka 2001 kipindi raisi akiwa Jiang Zemin ilijiunga na WTO

Moja ya manufaa makubwa China alipata baada ya kujiunga na shirika hilo la biashara duniani WTO ni kuanza kuexport kwa kiasi kikubwa bidhaa zake duniani.

Na kuanzia hapo uchumi wa China ulianza kukua kwa kasi hadi kufikia 10% na point kadhaa

Mwaka 2007 ikaizidi Ujerumani ikawa ya 3 kiuchumi duniani mwaka 2010 ikaipita Japan ikawa ya 2 duniani

Hoja iko hapa: Hu Jintao aliingia madarakani mwaka 2003 kwa hiyo alikuta tayari mtangulizi wake Jiang Zemin ameifanya China kuwa member wa WTO tangu mwaka 2001

Kwa hiyo Hu Jintao akaanza kuvuna matunda yaliyohasisiwa na mtangulizi wake Jiang Zemin.

Ndio maana mimi na TPP sikuzote tunasema taifa la China wana dira na sera ya taifa ambayo kiongozi yoyote wa CPC anaifuta lengo kuukuza uchumi wa China

Comrades wote kuanzia Mao mpaka kufikia Xi lengo lao ni moja kuikuza China
Umeeleza vizuri sana.

TPP na Mzee wa kupambania mnaieleza vizuri sana China. Mko sahihi sana, nimekuwa China kwa miaka zaidi ya 15 nimejionea yote mnayoyasema.

China inayozungumziwa na mataifa ya Magharibi ni tofauti kabisa na China kwenyewe.

Tuna mengi ya kujifunza kutoka China si mtaalamu sana wa kuandika ila ningekmweza kuandika nyuzi za kujifunza kutoka china

Kwa wale wanaopinga china

The lesson to be learned from China's R&D is that progress requires long-term investment in human capital and physical capital and that making such investments or not making them can have major consequences for a nation's wellbeing.
 
Umeeleza vizuri sana.

TPP na Mzee wa kupambania mnaieleza vizuri sana China. Mko sahihi sana, nimekuwa China kwa miaka zaidi ya 15 nimejionea yote mnayoyasema.

China inayozungumziwa na mataifa ya Magharibi ni tofauti kabisa na China kwenyewe.

Tuna mengi ya kujifunza kutoka China si mtaalamu sana wa kuandika ila ningekmweza kuandika nyuzi za kujifunza kutoka china

Kwa wale wanaopinga china

The lesson to be learned from China's R&D is that progress requires long-term investment in human capital and physical capital and that making such investments or not making them can have major consequences for a nation's wellbeing.
Umesema vyema
 
Sisi waafrika bado hatujajua tunaelekea wapi ,ndo kwanza tunatengeneza madawati ya wanafunzi wetu watoe ujinga na ujinga nao hautaki kuwatoka, unadai utaenda wapi na aakati ndo umefika
 
Umeona tofauti ya habari hii na ile ya Wahindi wa youtube

Ndio maana nilisema sikuzote China ametaka kuwe na win win cooperation kati ya China na Marekani

Xi hajawahi kuwa na anti-USA policy. Ni vile Marekani wakiichokoza China nao Wachina huwa wanafanya trade coercion kama walivyofanya kwa Micron na sasa hivi wenyewe wamenywea
Win win siyo kwamba utishie usalama wa majirani zako halafu wote tushangilie; kila mara kunapokuwa na matatizo ya wakimbizi huwa hawakimbilii China au Urusi, wote hukimbilia europe, US, Canada na Australia. Win win siyo kwamba urushe bumuda lako ndani ya mipaka yangu wazi wazi kupiga picha halafu mimi nishangilie kuwa hiyo ni wini wini. Ni failure kubwa sana ya diplomacy ambayo haikuwa miaka ya tisni na elfu mbili. Waziri wa ulizni wa marekani anasema tukutane na waziri wa ulizni wa china tuongee ili kupunguza tension baina yetu, lakini waziri wa china anasema kwa kiburi kuwa hana interest; mambo ya kijinga sana hayo. Kama waziri wa ulinzi hana interest ya kuondoa Tension na marekani, unaona kuwa ni unafiki kwa viongozi wa China kuitisha mikutano na viongozi wa biashara wa marekani, ingawa wao hawakujibu rudely kuwa hawana interest lakini walihudhuria mikutano hiyo ingawa wengine bado wanaendelea kuhamisha biashara zao kutoka China kwenda nchi za jirani.


 
Win win siyo kwamba utishie usalama wa majirani zako halafu wote tushangilie; kila mara kunapokuwa na matatizo ya wakimbizi huwa hawakimbilii China au Urusi, wote hukimbilia europe, US, Canada na Australia. Win win siyo kwamba urushe bumuda lako ndani ya mipaka yangu wazi wazi kupiga picha halafu mimi nishangilie kuwa hiyo ni wini wini. Ni failure kubwa sana ya diplomacy ambayo haikuwa miaka ya tisni na elfu mbili. Waziri wa ulizni wa marekani anasema tukutane na waziri wa ulizni wa china tuongee ili kupunguza tension baina yetu, lakini waziri wa china anasema kwa kiburi kuwa hana interest; mambo ya kijinga sana hayo. Kama waziri wa ulinzi hana interest ya kuondoa Tension na marekani, unaona kuwa ni unafiki kwa viongozi wa China kuitisha mikutano na viongozi wa biashara wa marekani, ingawa wao hawakujibu rudely kuwa hawana interest lakini walihudhuria mikutano hiyo ingawa wengine bado wanaendelea kuhamisha biashara zao kutoka China kwenda nchi za jirani.



Usipokuwa na uwezo wa kupambanua mambo utaamini kila habari iliyo YouTube

Ukiongeza maarifa na uwezo wa kupambanua mambo utajua ipi ya kweli na ipi ni uongo
 
Usipokuwa na uwezo wa kupambanua mambo utaamini kila habari iliyo YouTube

Ukiongeza maarifa na uwezo wa kupambanua mambo utajua ipi ya kweli na ipi ni uongo
Nikukuambia ukweli wewe unaukataa. Sasa nadhani ukiwasikia hao wachina wenyewe ambao siyo wapiga propaganda nadhani utawaamnini kuliko mimi mmatumbi. Mwingine ni huyu mwanamke ambaye nilikuwa sijamaliza kumsikiliza




Unapodai China walikuwa ni viwanda tangu zamani na kufanya kuwa hiyo ndiyo criterion yako, unasahahu kuwa hata North Korea walikuwa na viwanda, Czechoslovakia (kabla ya kuvunjika) walikuwa na Viwanda, na hata Argentina walikuwa na viwanda tangu zamani lakini uchumi wao haujakuwa. Ukiangalia kwa nini utagundua kuwa hawajawahi kupata investments kutoka West. Ila ukiambiwa ukweli unashindwa kuumeza na kujaribu kuendeleza propaganda. Nchi za kiimra kama china na Urusi ni wazuri sana kwa propaganda kwa vile wanachuja sana habari na wewe ni victim wa hizo propaganda.
 
View attachment 2657466
Treasury Secretary Janet L. Yellen said on Tuesday that it would be a mistake for the United States to try to “decouple” from China and called for deepening economic ties between the world’s two largest economies.

The comments came as the Biden administration has been seeking to improve relations with China, which faced a setback this year when a Chinese surveillance balloon was found flying across the United States. Secretary of State Antony J. Blinken is planning to travel to Beijing next week and Ms. Yellen hopes to make a trip there soon.

Speaking at a House Financial services committee hearing on Tuesday, Ms. Yellen made clear that she believes the economic relationship with China is critical.

“I think we gain and China gains from trade and investment that is as open as possible, and it would be disastrous for us to attempt to decouple from China,” Ms. Yellen said.

The United States maintains tariffs that the Trump administration imposed on billions of dollars’ worth of Chinese imports, and the Biden administration is developing new restrictions on how U.S. companies can invest in China. But Ms. Yellen said that the United States intended only to “de-risk” the relationship and that it had no intention of inflicting economic harm on China.

“I certainly do not think it is in our interest to stifle the economic progress of the Chinese people,” Ms. Yellen said. “China has succeeded in lifting hundreds of millions of people out of poverty, and I think that’s something that we should applaud.”
Tuanze sasa Tanzania kuangalia namna ya kuwa na nguvu za kiuchumi hata kwa hila maana kila tukijaribu kupata investors tunaishia kuparurana.

Wananchi sisi tunataka maendeleo na siyo mbambamba
 
Nchi za kiimra kama china na Urusi ni wazuri sana kwa propaganda kwa vile wanachuja sana habari na wewe ni victim wa hizo propaganda.
World Bank na IMF ndio huwa wanatoa takwimu za uchumi wa China ambazo zinatumika duniani. Kama na wao huwaamini basi sina la kukusaidia endelea na video zako za youtube
 
Unapodai China walikuwa ni viwanda tangu zamani na kufanya kuwa hiyo ndiyo criterion yako, unasahahu kuwa hata North Korea walikuwa na viwanda, Czechoslovakia (kabla ya kuvunjika) walikuwa na Viwanda, na hata Argentina walikuwa na viwanda tangu zamani lakini uchumi wao haujakuwa. Ukiangalia kwa nini utagundua kuwa hawajawahi kupata investments kutoka West
West wameanza hasa kuwekeza China miaka gani?
 
World Bank na IMF ndio huwa wanatoa takwimu za uchumi wa China ambazo zinatumika duniani. Kama na wao huwaamini basi sina la kukusaidia endelea na video zako za youtube
Hukumsikiliza vizuri yule Mbunge wa Hong Kong kwenye video aliyokuwa anaongea na mtangazaji Mhindi. Ameeleza vizuri jinsi jinsi ambavyo IMF na World Bank wanakuwa misled na serikali ya China kwa kupewa data feki.
 
Back
Top Bottom