Janet Yellen: Washington yatatokea madhara makubwa Marekani ikijitoa China

Janet Yellen: Washington yatatokea madhara makubwa Marekani ikijitoa China

Hujajibu SWALI nitajie indicators za GDP.
Zitafute; usifuate formula moja tu bali jifunxze kujua data zinazoingizwa kwenye hiyo formula. Kama hujui basi usitake kujifunzia hapa na wala usichagine thread hii kwani utakuwa unachangia kitu usichojua.
 
Zitafute; usifuate formula moja tu bali jifunxze kujua data zinazoingizwa kwenye hiyo formula. Kama hujui basi usitake kujifunzia hapa na wala usichagine thread hii kwani utakuwa unachangia kitu usichojua.

Huna ujanja wa kuzitaja sababu hujui Uchumi na pia zitakuumbua. Uchumi haupatikaniki kihuni kama unavyotuletea ngonjera humu. Hao unaowaabudu ndo wapika data maarufu na uchumi wao unaendeshwa kiproganda, utapeli na kuprint hela wanavyotaka.
 
Huna ujanja wa kuzitaja sababu hujui Uchumi na pia zitakuumbua. Uchumi haupatikaniki kihuni kama unavyotuletea ngonjera humu. Hao unaowaabudu ndo wapika data maarufu na uchumi wao unaendeshwa kiproganda, utapeli na kuprint hela wanavyotaka.
Ngoja nikusaidie kufafafua; na jitahidi kutaka kuelewa siyo kutaka kubisha tu.

Sehemu kubwa ya uchumi wa china inategemea Industrial sector kwa zaid ya asilimia 33. Data hizi huwa siyo industrial products zilizouzwa bali ni zile zilizotengenezwa viwandani hata kama hazikuuzwa; nitafafanua hili zaid huko mbeleni.

Sehemu ya pili ni biashara ya maduka ambayo inakaribia asilimia 10. Hii hutegemea thamani ya bidhaa zilizouzwa madukani. Wewe ukitoka Tabora ukaneda kununua dukani pale Shnghai basi unakuwa umechangia kwenye namba hizo.

Sehemu ya tatu ni Mabenk kuokopesha. Hili nitaliongelea huko mbeleni pia, lakini mabenki yanachangia kama asilimia 8.

Kuna mengine madogo madogo kama vile ujenzi (7%), Makazi (6%), na Uchukuzi (4%) na mengineo. Jedwali hili litasaidia kidogo

1687012423175.png


Matatizo yanaanzia huko juu. Kwenye industrial base, kulikuwa mchango wa viwada vya nje ambavyo vinaaaza kuondoka.. Lakini tatiz kubwa ni kwamba viwanda vingi vya ndani vilikuwa vinatengezea hatra substandarad ili kukuza namba halafu baadaye wanakuwa hawauzi producs hizo ingawa tayari ziko kwenye record ya kukokota GDP. Mifano michache ni hii hapa:







Ukija kwenye finacial sector utagundua kuwa matatizo ni makubwa sana hasa kwa vile selikali ya China indaiwa na mabenki 90% ya GDP na mabenki hayo. Transactions zote zinazofanywa na benk za china watu kuingiza benki au kuchukua pesa hata saiyo mikopo huwek kwenye mahesabu ya GBP. Tatizo ni kuwa benki nyingi za china zina matatizo ya liquidity; mvutano huu uliotokea kwenye mabenki ya china siku chache zilizopita zinaweza kukupa picha kamili; hata hivyo pesa zote zilizochukuliwa na depositors huhesabiwa pia kuwa ni sehemu ya GDP:





Kwenye construction nako kuna matatizo sana. Kila ujenzi hurekodiwa kwenye GDP. Wakijenga daraja likaangua basi gharama zote zilizotumika kulijenga bado zitaingizwa kwnye GDP. Kuna ujenzi mwingi China ambao umeripotiwa mara mbilimbili na kuwa inflated kwa sababu ya kubomoka. Hakuna mwaka ambao china imekamilisha ujenzi wa miradi yote bila asimilia 30 ya miradi hiyo kubomoka na kulazimika kuianza upya. Video zipo nyingi sana ila sitaweza kuziweka hapa kwa sababu natunza nafasi moja tu niliyo nayo kwenye sehemu ya makazi. Ubomokaji huu hutokana na kutaka kuonyesha kuwa wanajenga haraka na hivyo kusahahu kuwa zege lina mahesabu yake ye kussettle. Huwezi kulazimisha kuwrka mziko juu ya zege etu umalize mradi mapenma bila kuliacha lissetle, kwa hiyo miradi inayoanguka china ni mingi sana.

Kwenye makazi, kila mwaka china inajenga maflat mengi sana (ghost towns) kwa mikopo ya mabenki lakini maflati hayo hayana wakazi. Hata hivyo kwenye hesabu za GDP huwa yanahesabiwa. Haya yanachangia distortion mbili: kwanzamkopo unahesabiwa kule kwenye mabenki, halafu unahesabiwa tena kwenye ujenzi, lakinbi sasa mkopo huo unakuwa haurudishwi kwenye mabenki kwa vile nyumba zilizojengwa hazikununuliwa.




IMF na World bank wanachukua data hizo hizo wanzopwea na serikali lakini siyo data halizi zinaoonyesha uchumi wa nchi. Yule mama mchina ameeleza vizuri sana kuwa uchumi wa china bado mdogo sana kwa vile raia wake wengi sana bado ni maskini sana wakiishi chini ya dola moja.
 
Mchezo wa china ku-recycle mikopo kwenye calculation ya utajiri na GDP ulitumiwa pia na kampunii hii ya HNA Group ambayo nayo ilikuwa kwenye mbio za sakafuni tu. Yaani ilinunua ndege kwa mkopo, halafu ikatumia ndege hiyo iliyokopwa kuwa kama collateral ya kupata mkopo mwingine kupanua utajiri wake kunuweza kununua raslimali nyingine, lakini mwisho wake ikafumuka.

 
Mchezo wa china ku-recycle mikopo kwenye calculation ya utajiri na GDP ulitumiwa pia na kampunii hii ya HNA Group ambayo nayo ilikuwa kwenye mbio za sakafuni tu. Yaani ilinunua ndege kwa mkopo, halafu ikatumia ndege hiyo iliyokopwa kuwa kama collateral ya kupata mkopo mwingine kupanua utajiri wake kunuweza kununua raslimali nyingine, lakini mwisho wake ikafumuka.


🗑🚮
 
Wengi uku mnatoaa maoni yenu kishabiki sana bila kuelewa kilichoongelewa na vp uhalisia wa uchumi wa dunia ulivyo saivi kinachotokea saivi chinaa kilitokea marekani baadaa ya matajiri wengi kuamishia makampuni yao marekani.

Kwa kifupi tu hakuna kampuni yoyote ya ulaya au marekani itakayoweza kulikimbia soko LA China au kuamisha biashara zao China, purchasing power ya watu wa China inaongezeka kilaa uchwao pato LA mtu mmoja mmoja linakuwa kila siku japo bado kuna watu maskini wengi ila huwezi ifananishha China na India au Indonesia au Vietnam, bado China ndyo nchi inamatajiri wengi duniani baada ya marekani ata makampuni makubw ya ulayaa na marekani yataondoka bado China ina misuli mikubwa kwenye kubackup uchumi wake kinachogopesha zaidi makampuni makubwa ya ulaya na marekani ni kuwa siku yakiondoka China ndyo mwanzo wa kuaribu soko LA bidhaa zao sababu China anaweza toa bidhaa zilezile kwa bei nafuu na zenye ubora wa juu, misuli ya china saivi ni mikubwa sana kiuchumi ni ngumu sana kutunishiana misuli na marekani ila china alifanya ivyo kipindi cha trump marekani anajua silahaa yake iliyobaki ni chip siku china ana master hili basi ujue balaa litakuwa kubwa sana kwenye uchumi wa marekani shida uku ni wengi kumchukulia China kama kinchhi cha kawaida tu
Kwann China asitoe hizo bidhaa zenye ubora wa juu sasa ? kuna vitu mnaandikia kishabiki
 
Jiang Zemin na Hu Jintao walikuwa maraisi kipindi cha Clinton, Bush na Obama

Obama na Bush hawakuwa na sera mbovu kwa China wao walijua kuwa China na Marekani zinategemeana kibiashara

Trump na Biden ndio waliochochea kuzorotesha uhusiano mzuri uliokuwepo kati ya Marekani na China

Xi Jinping hana anti-USA policy sikuzote amekuwa akisisitiza win win cooperation kati ya mataifa hayo mawili
Ttzo kipind chote hicho China ilikuwa ikiduplicate bidhaa za wazungu na kuziuza kwa bei ya chini zaid hivyo kuua soko la bidhaa original za mabeberu
 
Huna hoja mpuuzi wewe ,China ni trash
Shida videos za youtube zinakufanya ushindwe kupata uhalisi

Fuatilia hao jamaa wanaojiita China Observer ulipopata hivyo vivideo ndo utajua kuwa ni unreliable source

Asante kwa maoni yako lakini dunia inajua kuwa China is the 2nd largest economy

Na China is the top country by GDP based on PPP in the world
 
Ukweli umekuchoma sasa, na nadhani utatambua kuwa kuna wamantumbi siye pia tunajua mambo ya China kiundani kuliko wewe unayengalia mapambo tu. Ukifika ukaona vitu vinapendeza tu basi unadhani China is the best.
Hamna uchambuzi ulioufanya naona tu mavideo yako ya youtube na blah blah zingine tu.

Kwa hiyo pale umejiona umechambua mwenyewe sio?
 
Hamna uchambuzi ulioufanya naona tu mavideo yako ya youtube na blah blah zingine tu.

Kwa hiyo pale umejiona umechambua mwenyewe sio?
Wewe mwenyewe huchambui kitu bali unapiga debe tu; wanaochambua huwasikilizi. Nitafanyaje uchambuzi uukubali wakati uchambuzi uliofanywa na wachina wenyewe na kuuweka hadharani huukubali kutokana na kushiba propganda? Usibishane na mimi mmatumbi ambaye sijui chochote bali jaribu tu kudiscredit uchambuzi ulioko mtandaoni tukusikileze. Nenda kwenye video hizo kuna sehemu ya comments weka comments zako tofauti.

Kubishania uchochoroni huku ukiwaogopa wanaotoa facts zao huko youtube ni upunguani tu. Hizo video siyo zangu na wala usibashane na mimi kwa sababu ya video hizo.
 
Sisi tunaangalia uchambuzi uliofanywa na taasisi za kimataifa zinazokubalika.

Wewe komaa na huo wa Mchina wa youtube
Utapata tabu sana. Soma ripoti ya IMF hapa https://www.imf.org/-/media/Files/Publications/CR/2023/English/1CHNEA2023001.ashx labda ikusaidia kuelewa matatizo yaliyopo china. IMF wanaandika diplomatically sana lakini just read between the lines ndipo ufunguke akili.

Haya mambo ya serikali kupika data hata hapa kwetu wapo na kila wanapotoa ripoti huwa hawazipindi namba hizo ila wanaweka postscript note kuhusu namba zetu hizo
 
Back
Top Bottom