Janga la Corona limempaisha Rais Magufuli kisiasa

Janga la Corona limempaisha Rais Magufuli kisiasa

Nachosikitika hata Mh. ZZK katika mapambano haya ya Corona, sijaona akipeleka hata box moja ya sabuni kwa wapiga kula wake wa kigoma wanawe mikono kujikinga na Corona bali naona tu kwenye mitandao akibishana na serikali kwa kila hatua inayochukuliwa. Kama Kigoma ni mbali basi angepeleka hata Dsm kwenye vituo vya basi lakini wapi.
 
Tuendelee kuchukua tahadhari huku tukimuomba sana Mungu atulinde.

Approach ya "herd immunity" ambayo Tanzania imeichukua huwa ni susceptible sana endapo kutatokea 2nd wave of the pandemic - around August/September.

Jilindeni Watanzania.
Kilichotusaidia hadi leo hakuna kingine bali ni kujilinda tu - kwa hili hatuna budi bali kuwashukuru sana wanaharakati na wapinzani kwa hamasa kubwa waliyoitoa kwa umma.... tuwaombe waendelee na hamasa hizi ili umma usiwakilize viongozi wanaoupa uchumi kipaumbele badala ya uhai wa watu.
 
Hilo janga limempaisha Rais "Magufuri" kisiasa kutoka hatua gani kwenda nyingine? Tayari Corona imeshageuka na kuwa siasa!

Kama Kiongozi Mkuu wa nchi, jukumu lake ni lipi sasa! Kupongezwa na kutukuzwa, au kuiongoza nchi kwa weredi na kwa kuifuata misingibya Katiba?
Akina Mbowe walilibeba kichwa kichwa eti liwape kiki likaishia kiwalipukia na wabunge wao kibao kukimbia. Kwa Rais Magufuli kuendelea kuwa stable juu ya maamuzi yake dhidi ya Corona ndani ya chama chake cha CCM, serilalini, kwa nchi zilizomzunguka na nchi zingine za kimataifa kumempaisha sana kama viongozi bora Barani Afrika!
 
Hilo janga limempaisha Rais "Magufuri" kisiasa kutoka hatua gani kwenda nyingine? Tayari Corona imeshageuka na kuwa siasa!

Kama Kiongozi Mkuu wa nchi, jukumu lake ni lipi sasa! Kupongezwa na kutukuzwa, au kuiongoza nchi kwa weredi na kwa kuifuata misingibya Katiba?
Nadhani Rais anasifiwa kwa sababu ya mbinu na huo weredi wa kupambana na vita ya korona, Kwani kiongozi Katiba inasema nini kuhusu Korona? Hata askari hupongezwa anapokuwa ktk mapambano hatujawahi kusema "huo ni wajibu wake". Rais anaongoza mapambano ya kuokoa maisha wakati huohuo kuhakikisha uchumi hauyumbi kudhoofisha juhudi za mapambano sababu nchi inahitaji pesa kupambana na korona.
 
Tunamwomba sasa Rais atamke hadharani ili vijana waendelee kufunga ndoa makanisani na kufanya sherehe ndogo kwenye kumbi za sherehe kwa masharti maalumu.

Sasa hivi vijna wakiambiwa wafunge ndoa Kanisani au kwa taratibu za dini ya kiislamu na kurudi nyumbani kwa sababu ya corona HAWATAKI kufunga ndoa na wanasema watasubiri hadi zuio la mikusanyiko ya sherehe za harusi litakapoondolewa.
Kwa maana ingine hili zuio la kufanya sherehe baada ya kufunga ndoa linazuia watu kuzaana kwa sababu si vyema wachumba kuzaa kabla ya ndoa.

Wanasema tukio la kuoa au kuolewa hutokea mara moja katika maisha kwa hiyo watakuwa hawajatendewa haki kama watafunga ndoa na kurudi nyumbani.

Tukumbuke kuwa wanaokuwa kwenye sherehe ni ndugu na marafiki wa karibu kwa hiyo unapowazuia kukutana unakuwa huwatendei haki.

Watu wasiofahamiana wanasafiri kwa mabasi kwa maelfu kwa siku na hukaa karibu karibu kwa masaa mengi bila kuzuiliwa lakini vijana wakitaka kufanya sherehe ndogo wanakatazwa.
Hiii ni double standard.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Iko siku labda utakuwa na uwezo wa kuelewa kwa kina badala ya kukubali maelezo MUFILISI ambayo hayana UTHIBISHO WOWOTE.
Uthibitisho gani unataka sasa?

HaHaHa

Endelea kumwamini kigogo na mange kimambi ila kaa ukijua watanzania wamewapuuza na mauongo yao
 
Yaani sikujua kuna watanzania wako bado hawana akili.Wewe uhai wako unampaisha mtu chart duuu we have long way to go mpaka tufike kanani
 
Yaani sikujua kuna watanzania wako bado hawana akili.Wewe uhai wako unampaisha mtu chart duuu we have long way to go mpaka tufike kanani
Ningemsifia Mbowe ungesema nina akili ila kwakuwa nimemsifia Rais magufuri imekuwa nongwa. HaHaHa this time around magufuri amewashika pabaya kweli kweli
 
Unalindaje RAIA kwa kutotoa data husika kuhusu hali ya Ugonjwa Nchini? Wiki ya tatu sasa hatujui kuna wagonjwa wangapi Nchini na vifo vingapi vya huu ugonjwa na sasa tunaona juhudi za KUTUZUGA Watanzania hata kuvaa BARAKOA hawavai tena. Mnadhani Ramaphosa ni MPUMBAVU kwa kuvaa Barakoa hadharani?

Ramaphosa awafungulie tu wasouth, maana wakitoka humo watakuwa na msongo wa mawazo. tutarajie lile timbwili la kuwafukuza wageni kushamiri sana baada ya lockdown.
 
Kwa akili yako fupi Watanzania wote ni Wapuuzi hatuna akili bali tunamsikiliza kigogo 😂😂😂😂😂😂akili ni Nywele hata wewe una zako. Nimeanza kuikosoa serikali hata kabla ya kigogo kuwepo kwenye picha lakini kwa mpuuzi wewe unadhani nimeibuka baada ya kigogo 🤣🤣🤣🤣🤣

Mnaaminishwa uongo eti ugonjwa umepungua Nchini wakati huo huo HAMUULIZI zile updates za wizara ya afya zilizotolewa mara ya mwisho karibu wiki nne zilizopita kwanini hazitolewi tena? Na kwanini Nchi za jirani bado zinatoa takwimu hizo!?

Endeleeni kulishwa uongo na kuuamini huku corona ikiendelea kuua Watanzania kwa kuwabana mbavu.

Marehemu amefariki kwa ugonjwa wa kubanwa mbavu. Kufuata ushauri wa kisayansi kupambana na corona na kusali ni vitu viwili tofauti. Eti Mungu kasikia sala zetu utadhani mataifa mengine hayamuamini Mungu bali SHETANI.

UPUMBAVU ni adui mkubwa wa Watanzania kuliko kitu kingine chochote kile.

Uthibitisho gani unataka sasa?

HaHaHa

Endelea kumwamini kigogo na mange kimambi ila kaa ukijua watanzania wamewapuuza na mauongo yao
 
Fear is the opposite of faith. When fear comes, faith is punctured. What you don’t fear can NEVER happen to you.
 
Unalindaje RAIA kwa kutotoa data husika kuhusu hali ya Ugonjwa Nchini? Wiki ya tatu sasa hatujui kuna wagonjwa wangapi Nchini na vifo vingapi vya huu ugonjwa na sasa tunaona juhudi za KUTUZUGA Watanzania hata kuvaa BARAKOA hawavai tena. Mnadhani Ramaphosa ni MPUMBAVU kwa kuvaa Barakoa hadharani?

Kwa hiyo wewe unahitimisha kwa sababu Ramaphosa alishindwa hata kuvaa barakola yake pale jukwaani? (BTW weka ushahidi hapa wa hiyo barakola aliyovaa hadharani. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie akili za kuambiwa changanya na zako! Sisi tupo juu sana kuwazidi hao vibaraka. BTW Tanzania ndio mama ndio baba wa huu ukanda. Watafurukuta lakini mwisho wa siku sisi ndio alfa na omega.
 
Wabunge WATATU wa ccm na wakuu mbali mbali ndani ya Serikali na ccm wamefariki kwa COVID lakini hili haliwekwi hadharani. Tuliambiwa kuna Mbunge ana Corona lakini hakutajwa. Kama kweli corona imepungua Nchini INAKUWAJE wanazificha data husika za kuthibitisha wanachokiongea? Unaongea kwamba ugonjwa umepungua kwa maneno matupu lakini huna data, hiyo ni hatari sana kwa Watanzania kwani wengi wataanza kudharau taratibu mbali za kujikinga na hivyo maambukizi kuendelea kote Nchini.

Mkuu weka ushahidi hao uliowataja walikufa kwa Covid-19? Ndio majungu yenyewe na propaganda za JF.
 
Nyinyi watu wa Ccm acheni kuleta masihara dhidi ya hili janga la Corona! Lakini siwashangai maana hata kipindi kile cha kupatwa kwa jua, mlimpongeza pia Rais kwa kufanikisha tukio la kupatwa kwa jua nchini mwetu kiasi cha watalii wengi kumiminika kuja kulishuhudia hilo tukio.

Kumbe kuna watu wa CCM na wewe ni mtu wa wapi? WHO wenyewe wameisha kubali yaishe wawape Madagasca hati ya kuuza dawa yao. Kama una Corona dawa tayari ipo.
 
Naunga mkono hoja, tena jinsi rais Magufuli anavyokubalika, ingekuwa ni amri yangu, ningeamuru tufanye uchaguzi wa madiwani na wabunge tuu, kwenye urais, Rais Magufuli aendelee tuu, lakini kwa vile uchaguzi ni takwa la kikatiba, then, tuendelee tuu na hili miezi, la maandalizi ya uchaguzi Mkuu hata kama kwa upande wa urais litakuwa ni igizo tuu la uchaguzi, lakini Rais ni Magufuli!, na kwasababu Watanzania tunapenda saana maigizo

Swali hili
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums

Bado liko valid
P
Mimi naongezea na ili..ni muda sasa uzao wa JPM ndiyo upewe haki ya kuiongoza Tz sisi tuchague wabunge tu na madiwani.
Ni muda muafaka tuwe na Absolute Monarchy
 
Back
Top Bottom