Janga la Corona limempaisha Rais Magufuli kisiasa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wa mujini wanasema ULIKURUPUKA!
 
Ni kweli mku issue ya Lockdown kwa Chadema ilileta maafa na anguko. Wabunge wa Chadema walitaka tujifungie huku wakijua sisi kipato chetu hata week hakiwezi kumaliza. Walikuwa na pesa zao za kutosha kufanya Shopping hata ya miezi 3 na zaidi. Sasa walitaka sisi tukifungiwa tule nini katika kipindi cha Lockdown? Kweli walitusaliti!!!!
 

Sawa. Lakini msimpuuze Uhuru Kenyatta aliyesema: uchumi twaweza ufufua lakini sisi hawezi fufua mtu.
 
Huyu mzee anajua sana ndio maana kila kukicha mabeberu wanatafuta mbinu za kumuua ili wafanye biashara yao haramu ya chanjo za mRNA,barakoa,na vipimo hivi vipya vya kuchokonolea makalioni
 
Kweli covid imempaisha Magufuli mpaka hatumwoni wiki ya tatu sasa
 
Huyu mzee anajua sana ndio maana kila kukicha mabeberu wanatafuta mbinu za kumuua ili wafanye biashara yao haramu ya chanjo za mRNA,barakoa,na vipimo hivi vipya vya kuchokonolea makalioni
Kwa hiyo kwetu ndo kuna zaidi!!0 Subiri kidogo atakuja kukushika mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…