Kipindi hicho kuliwa na hofu mbaya ya corona kuliko hiyo corona yenyewe kwahiyo alifanikiwa kupambana na hiyo hofu katika janga la corona.Anapambanaje na covid 19? Kuna dawa yo yote aliyogundua kuponya covid 19?
Sasa hivi tuko kweye maandalizi ya kumwapisha Mama SamiaJanga la corona limempaisha hadi kwenye death bed
Mbona imerudi sasa?Kipindi hicho kuliwa na hofu mbaya ya corona kuliko hiyo corona yenyewe kwahiyo alifanikiwa kupambana na hiyo hofu katika janga la corona.
Limepaisha kwenye duru mbali mbali za kitaifa na mataifa.Limempaishaje...?
Siyo mbinguni lakini! Kilangila.Limempaisha kweli, na amepaa....
AiseeeLimempaisha kweli, na amepaa....
Wengi hawafahamu..JPM yupo kwenye mfungo wa kwaresma wengi hawafahamu tu, subirini Ijumaa kuu na Pasaka.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mawinguni kama konki faya likwidi.
Sio mbinguni, mawinguniSiyo mbinguni lakini! Kilangila.
Namna ambavyo Rais magufuri amejipambanua kukabiliana na janga la corona ni dhahiri amekonga nyoyo za walio wengi na hii imepelekea kupata uungwaji mkono na maelfu ya watanzania wakiwemo wa vyama vya upinzani.
Kitendo cha Rais Magufuli kutokubaliana na agenda ya kujifungia (LOCK DOWN) ambayo ndio ilikuwa agenda kuu ya upinzani, wananchi wamekipokea kama maamuzi sahihi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha janga la corona dhidi ya baa la njaa na matatizo mengine ya kiuchumi.
Leo Rais Magufuli ametoa tamko la kufungua vyuo na shule kwa wanafunzi wa form six hili pia wananchi wamelipokea kama uamuzi wa busara kwa sababu linasaidia kulinda ajira za walimu wa shule na vyuo binafsi ambao walikuwa wanaishi katika kipindi kigumu kutokana na kusitishiwa mishahara yao. Hali kadhalika uamuzi huu unasaidia kulinda usalama wa wanafunzi dhidi ya vishawishi mitaani na hatari ya mimba za utotoni.
Kwa namna Rais Magufuli amejitoa na hatua alizochukua kukabiliana na corona hakika amepata wafuasi wengi hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu. kwahivyo vyama vya upinzani vijipange kisawa sawa kwa sababu uchaguzi ujao utakuwa ni mgumu kwa upande wao baada ya kupoteza wafuasi wake kutokana na agenda zilizokosa credibility katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona.
Sambamba na hatua nzuri anazochukua Rais Magufuli kupambana na corona ni vema sasa akaangalia areas of weakness ambazo bado zinahitaji utatuzi mathalani suala la ajira kwa vijana, azitatue ili kufikia October wananchi wawe na kazi moja pekee ya kuchukua na kuweka waaa.
Huko sawa tu. Nahofia kuwa akienda mbinguni atawakuta Ben Saanane, Azory Gwanda, Alfonsi Mawazo et la kama yule tajiri alivyomkuta Lazaro amekumbatiwa na Ibrahim! Kilangila.Sio mbinguni, mawinguni
Sawa mkuu ,hainipunguzii mkwanja kwenye account.Nimekudharau mnoo
Kwa sasa suala ni{- yuko wapi? na Ana hali gani? Isije ikawa korona imemdhibiti?Namna ambavyo Rais magufuri amejipambanua kukabiliana na janga la corona ni dhahiri amekonga nyoyo za walio wengi na hii imepelekea kupata uungwaji mkono na maelfu ya watanzania wakiwemo wa vyama vya upinzani.
Kitendo cha Rais Magufuli kutokubaliana na agenda ya kujifungia (LOCK DOWN) ambayo ndio ilikuwa agenda kuu ya upinzani, wananchi wamekipokea kama maamuzi sahihi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha janga la corona dhidi ya baa la njaa na matatizo mengine ya kiuchumi.
Leo Rais Magufuli ametoa tamko la kufungua vyuo na shule kwa wanafunzi wa form six hili pia wananchi wamelipokea kama uamuzi wa busara kwa sababu linasaidia kulinda ajira za walimu wa shule na vyuo binafsi ambao walikuwa wanaishi katika kipindi kigumu kutokana na kusitishiwa mishahara yao. Hali kadhalika uamuzi huu unasaidia kulinda usalama wa wanafunzi dhidi ya vishawishi mitaani na hatari ya mimba za utotoni.
Kwa namna Rais Magufuli amejitoa na hatua alizochukua kukabiliana na corona hakika amepata wafuasi wengi hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu. kwahivyo vyama vya upinzani vijipange kisawa sawa kwa sababu uchaguzi ujao utakuwa ni mgumu kwa upande wao baada ya kupoteza wafuasi wake kutokana na agenda zilizokosa credibility katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona.
Sambamba na hatua nzuri anazochukua Rais Magufuli kupambana na corona ni vema sasa akaangalia areas of weakness ambazo bado zinahitaji utatuzi mathalani suala la ajira kwa vijana, azitatue ili kufikia October wananchi wawe na kazi moja pekee ya kuchukua na kuweka waaa.