Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA

Kama yangekuwa ni maamuzi yake asingekubali uenyekiti wa SADC
Kama lugha haipandi angekataa
Mlikuwa mnampongeza humu alipopewa uenyekiti
Akili zenu hazina akili
Kwani siku hizi lugha inaweza kuwa tatizo?
Bavicha mnajitoa ufahamu tu,,Rais kaongea chato dunia nzima imemsikia
 
May 8, 2020
Yaounde, Cameroon

Wafanyakazi 100 sekta ya afya waambukizwa corona

Equinoxe Tv: The 6PM News, Friday, May 8, 2020
Serikali ya Cameroon imetangaza kuwa zaidi ya wafanyakazi 100 wa hospitali nchini humo wameambukizwa virusi vya coronavirus baada ya kupimwa.


Source : Afrique Replay TV
 
Kabudi alikuwa amefuata dawa Madagascar utadhani yeye ni Waziri wa Afya. Sasa Jiwe akakosa mkalimani. Gerson Msigwa naye labda awe ana dictionary karibu..
 
Ndiyo maana nikasema kutojua kiingereza sio tatizo
Kuna wakalimani

Ni tatizo,umejifunza/umetumia kiingereza Primary,Secondary(O/A 'level),University(Bachelor,Masters,Ph.d),Kazini then unashindwaje kuifahamu lugha hio?
 
Huu mkutano ndio utapunguza Maandamano ya watu wake wanaokufa njaa kwa lockdown??
 
Ni tatizo,umejifunza/umetumia kiingereza Primary,Secondary(O/A 'level),University(Bachelor,Masters,Ph.d),Kazini then unashindwaje kuifahamu lugha hio?
Hujaelewa pointi yangu
Namaanisha kutojua kiingereza haiwezi kukufanya ushindwe kuhudhuria mkutano wa kimataifa
Hata hivyo Putin kutoongea kiingereza haimaanishi kuwa hajui, kafanya kazi KBG nchi mbalimbali huko Europe
 
Vision ya Magufuli ni kujenga barabara tu, hamna rais pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani siku hizi lugha inaweza kuwa tatizo?
Bavicha mnajitoa ufahamu tu,,Rais kaongea chato dunia nzima imemsikia
Ile ilikuwa one way traffic
Katika tele conference angetakiwa kujibu maswali
Hapo ndo pangechimbika
 
Malawi na Zambia walihudhuria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…