Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
ATCL imekuwa "kampuni ya simu"? Kuanzia lini?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Sawa, wanadai sasa hivi kwasababu kampuni inafanya kazi na inaingiza mapato. Wakati ule ndege iko moja wafanyakazi 200 wangedai wangekisumbua tu.Mbona hili suala la zamani? Naona ni wakati wa Mattaka.
Sawa, wanadai sasa hivi kwasababu kampuni inafanya kazi na inaingiza mapato. Wakati ule ndege iko moja wafanyakazi 200 wangedai wangekisumbua tu.
Nashangaa hili leo siwasikii wale 'mradi wa JK au Mkapa'
Serikali ni ya wananchi wa Tanzania ila kunawatu wanataka kutunyang'anya wakijidai ni ya CCM! Inamaana sisi wananchi hatuna chetu...UJINGA wote huu umesababishwa na CCM na serikali zake.
..CCM ndiyo wahujumu na wasaliti wa nchi hii.
Hivi aliyepita alikuwa na agenda gani na hii nchi?Sawa, wanadai sasa hivi kwasababu kampuni inafanya kazi na inaingiza mapato. Wakati ule ndege iko moja wafanyakazi 200 wangedai wangekisumbua tu.
Nashangaa hili leo siwasikii wale 'mradi wa JK au Mkapa'
siku zote watu wakiona kuna mafanikio lzma wafufue ya nyuma,serikali ya MAGUFULI ipo makini sana kwa hilo tutashinda pia maana sio la wakati huu
Kwani madai haya yametokana na awamu ya 5 kuvunja mkataba wa ukodishwaji wa hiyo ndege???Tanzania inaogoza kwa kudaiwa kutokana na kuvunja mikataba kibabe. Ukisoma linki hii chini unaona kiasi cha pesa nyingi zinatakiwa kutengewa sasa na serikali ya Tanzania ili kuweza kulipa madai ya wadau wa maendeleo waliowekeza lakini serikali ya awamu ya tano ilidhani dhana ya sovereignty itaisaidia kukwepa majukumu yake ktk mikataba : African Arbitration Association - Arbitration News
Hao jamaa utawaona kwenye mafanikio. Ni wa Kwanza kusema 'huu ni mradi wa JK au Mkapa' ila kwenye hizi kesi ambazo zilisababishwa na awamu zilizopita huwasikii wakisema hivyo.Dah hiyo paragraph ya mwisho🤣🤣
Hivi haiwezekani mtu ukarudishiwa kodi yako unayolipa halafu upambane na hali yako??? Maana naona kama wazungu wanakula sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali hizi zitatembea humu humu nchini hazitakamatwa!
umenena vyemaHao jamaa utawaona kwenye mafanikio. Ni wa Kwanza kusema 'huu ni mradi wa JK au Mkapa' ila kwenye hizi kesi ambazo zilisababishwa na awamu zilizopita huwasikii wakisema hivyo.
Anazaa sana tatizo lishe duniAisee kweli Ng’ombe wa maskini hazai
Tutafika kweli? kesi kila siku, aende laprofeseli, huyo judge akimuona tu ataogopa
Duh!.. hawa jamaa wameamua kutukomoa aisee.
Ila JPM amejitahidi Sana kuokoa hili shirika tofauti na awamu zilizopita (3&4) hawa walilizika kabisa hili shirika.
Hakika Mungu akiamua kukuadhibu hakuletei barua
In God we Trust