Janga lingine kwa ATCL, yaamuliwa na Mahakama ya Uingereza kulipa dola milioni 40

Janga lingine kwa ATCL, yaamuliwa na Mahakama ya Uingereza kulipa dola milioni 40

ATCL imekuwa "kampuni ya simu"? Kuanzia lini?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Faiza na wenzio... mnajidhalilisha sana kwa kusimamamia hapo kwrnye ATCL NA TTCL.. mnaacha the whole point mnakaa hapo pasipowasaidi...!!! HAYA, JAMAA KAREKEBISHA TAYARI, imebadili chochote kwenye kudaiwa..?? Kuna wakati muwe mnaaachana na hizi typo na makosa madogo madogo na mjikite kwenye hoja kuu
 
.......................mabeberu hao wanatuonea wivu kwa maendeleo yetu! Kwa sasa Tanzania ni katika nchi zenye uchumi bora duniani.

Wapuuzeni hao wanaotudai!
 
Nakumbuka Mwanakijiji enzi zake akiwa Mkjj kweli aliandika sana hapa JF kuhusu David Mattaka na genge lake jinsi walivyokuwa wanaua ATC lakini hakuna aliyesikiliza wala kutoa ushauri ndani ya serikali, angalia hata mzee Utouh CAG naye alishauri lakini hakusikilizwa kama ilivyoandikwa hapo chini...

"In late 2012, the Controller and Auditor General of Tanzania, Ludovick Utouh, recommended the criminal prosecution of three former managers of ATCL for the 2007 lease of the Airbus A320 from Wallis Trading Company, a Lebanese company. He said there were massive misappropriation and mismanagement of the leasing agreement, resulting in an accumulated debt of US$41.4 million by October 2012, all of which is guaranteed by the government.[46] The aircraft was in ATCL's possession for 48 months, but it spent 41 of those months in France undergoing a major maintenance"
Ni aibu yaani kukaa na ndege miezi 7 tunalipishwa US$ 30 million? Mungu anawaona waliotuingiza kwenye kathia hii
 
Sure, na watu wanafanya hivi kwa lengo la kuharibu mada tu.
Faiza na wenzio... mnajidhalilisha sana kwa kusimamamia hapo kwrnye ATCL NA TTCL.. mnaacha the whole point mnakaa hapo pasipowasaidi...!!! HAYA, JAMAA KAREKEBISHA TAYARI, imebadili chochote kwenye kudaiwa..?? Kuna wakati muwe mnaaachana na hizi typo na makosa madogo madogo na mjikite kwenye hoja kuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabudi na wanasheria wetu nguri wengine walikuwa wapi wakati shirika letu tukufu linaangukia pua? .
 
Faiza na wenzio... mnajidhalilisha sana kwa kusimamamia hapo kwrnye ATCL NA TTCL.. mnaacha the whole point mnakaa hapo pasipowasaidi...!!! HAYA, JAMAA KAREKEBISHA TAYARI, imebadili chochote kwenye kudaiwa..?? Kuna wakati muwe mnaaachana na hizi typo na makosa madogo madogo na mjikite kwenye hoja kuu

baki kwenye mada please, achana na mambo finyu finyu ya typos, for heavens sake
 
Hivi mnaoshabikia taarifa kama hizi nani kawaroga, huwa mnashangaz sana, nchi ikirudi nyuma ndio furaha yenu, mnasahau tatizo lolote litawahusu pia.

..kwanini humlaumu aliyefanya UPUMBAVU na kusababisha tudaiwe?

..hudhani kwamba yeye ndiye anahusika kuirudisha nchi nyuma na kumtaabisha kila mmoja wetu?
 
Tusipoangalia tutajikuta mapato yote tunayokusanya kuliko serekali zote yanaishia kuwalipa fidia mabeberu.
 

Attachments

  • 2304705_1581511485107.png
    2304705_1581511485107.png
    236.6 KB · Views: 2
Kampuni ya ndege Tanzania yatakiwa kulipa kampuni ya wills dola za kimerekani Milioni 30.
Kwa mujibu wa gazeti la citizen la kesho tarehe 27/02/2020

Gharama ya kununua dollar kwa sasa ni kama dollar 1=Tzs 2320

View attachment 1369863

Huawei Nova 6 5G

Biashara ya ndege / anga siyo kununua matenga ya nyanya Iringa (ilula) na kuuza Kariakoo au Tandare Sokoni.
Requires serious visibility studies and robust & workable business plans. it is not just a matter of funding and showering.
 
Back
Top Bottom