Janga lingine kwa ATCL, yaamuliwa na Mahakama ya Uingereza kulipa dola milioni 40

Janga lingine kwa ATCL, yaamuliwa na Mahakama ya Uingereza kulipa dola milioni 40

Ufanye kitu kile kile halafu utegemee matokeo tofauti.

You all need to go through thread za watu wanaojiita wanasheria humu wenye malengo ya kushitaki makampuni; ndio ujue jinsi gani maswala ya business and contract law watu wanavyopwaya.

Hizi ndio sababu watu mara kwa mara huwa wanasema serikari iwe inatoa leaks ya hiyo mikataba kuna watanzania wengi sana wame specialise kwenye hayo mambo get different perspectives acha kutegemea ushauri wa watu wachache serikarini.

Yaani mtu akukodushe dege bovu kupitia mkataba wa kifidadi na bado unashindwa kesi; only in Tanzania


Nakumbuka Mwanakijiji enzi zake akiwa Mkjj kweli aliandika sana hapa JF kuhusu David Mattaka na genge lake jinsi walivyokuwa wanaua ATC lakini hakuna aliyesikiliza wala kutoa ushauri ndani ya serikali, angalia hata mzee Utouh CAG naye alishauri lakini hakusikilizwa kama ilivyoandikwa hapo chini...

"In late 2012, the Controller and Auditor General of Tanzania, Ludovick Utouh, recommended the criminal prosecution of three former managers of ATCL for the 2007 lease of the Airbus A320 from Wallis Trading Company, a Lebanese company. He said there were massive misappropriation and mismanagement of the leasing agreement, resulting in an accumulated debt of US$41.4 million by October 2012, all of which is guaranteed by the government.[46] The aircraft was in ATCL's possession for 48 months, but it spent 41 of those months in France undergoing a major maintenance"
 
Kampuni ya simu Tanzania yatakiwa kulipa kampuni ya wills dola za kimerekani Milioni 30.
Kwa mujibu wa gazeti la citizen la kesho tarehe 27/02/2020

Gharama ya kununua dollar kwa sasa ni kama dollar 1=Tzs 2320

View attachment 1369863

Huawei Nova 6 5G
ATCL imekuwa "kampuni ya simu"? Kuanzia lini?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Nakumbuka Mwanakijiji enzi zake akiwa Mkjj kweli aliandika sana hapa JF kuhusu David Mattaka na genge lake jinsi walivyokuwa wanaua ATC lakini hakuna aliyesikiliza wala kutoa ushauri ndani ya serikali, angalia hata mzee Utouh CAG naye alishauri lakini hakusikilizwa kama ilivyoandikwa hapo chini...

"In late 2012, the Controller and Auditor General of Tanzania, Ludovick Utouh, recommended the criminal prosecution of three former managers of ATCL for the 2007 lease of the Airbus A320 from Wallis Trading Company, a Lebanese company. He said there were massive misappropriation and mismanagement of the leasing agreement, resulting in an accumulated debt of US$41.4 million by October 2012, all of which is guaranteed by the government.[46] The aircraft was in ATCL's possession for 48 months, but it spent 41 of those months in France undergoing a major maintenance"
Ndio maana kesi zingine unabaki unajiuliza wameshindwa vipi.

Halafu sasa wabishi wanapoambiwa wekeni hizo elements za mikataba wazi watanzania wajue dispute ilipo wachangie, mawazo ya wengi siku zote ni bora kushinda ya wachache.

Wao kila kitu siri
 
Mlioisoma hii habari hongereni. Wengine hatujaiona zaidi ya heading tu! Anyway, Jiwe aliishasem, vita vya kiuchumi sio lelamama. Lakini, Tanzania itavipigana na Tanzania ITASHINDA!!!
 
Mlioisoma hii habari hongereni. Wengine hatujaiona zaidi ya heading tu! Anyway, Jiwe aliishasem, vita vya kiuchumi sio lelamama. Lakini, Tanzania itavipigana na Tanzania ITASHINDA!!!
Na kushinda na njaa ipo pia

In God we Trust
 
Hivi mnaoshabikia taarifa kama hizi nani kawaroga, huwa mnashangaz sana, nchi ikirudi nyuma ndio furaha yenu, mnasahau tatizo lolote litawahusu pia.
Kwahiyo ulitaka wao ndiyo wafanye nini huko?

In God we Trust
 
Si kwamba kila anayeanika haya anashabikia.

Napenda kusema kwa methali zenye hekima za wahenga.

Waswahili walisema, mficha maradhi, mauti humfichua.

Sasa unataka tufiche maradhi tufikwe na mauti?

Au tuyamulike maradhi tuyatibu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wala tusizungushane bwana.. iko hivi watu wanafurahia kufeli kwa CCM maana wao likiwepo la maendeleo kifua mbele mafanikio ya awamu ya tano, ikitokea tatizo watakaa kimya wakiulizwa utasikia ni ya awamu zilizopita zilizotawaliwa na upinzani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha tu washikishwe adabu.
Hivi huwa hamjioni kuwa mna utindio wa akili. Let me assure you, hata mkipata ridhaa ya kuongoza nchi, hawa CCM watawafanyia mnayofanya sasa. Angalia sana, nia ya mageuzi iwe ni kukosoa watawala ili nchi isonge mbele isiwe upinzani wa kila jambo. Unafurahi as if si nchi yako?
 
Wala tusizungushane bwana.. iko hivi watu wanafurahia kufeli kwa CCM maana wao likiwepo la maendeleo kifua mbele mafanikio ya awamu ya tano, ikitokea tatizo watakaa kimya wakiulizwa utasikia ni ya awamu zilizopita zilizotawaliwa na upinzani


Sent using Jamii Forums mobile app
First things first, mimi sifurahii kufeli kwa CCM.

Kwa hiyo, unaponijibu mimi, angalau nipe heshima yangu ya kujibizana na mtu asiyefurahia kufeli kwa CCM.

Nimeanza kutembea kwenye corridors za Ikulu ya Tanzania kabla sijazaliwa, nikiwa tumboni mwa mama yangu.

Kwa hivyo, tusilundikane kwa minajili ya "watu".

Maana watu ni wengi, wa kila aina, na hao wengi wanabadilika kila sekunde.

Binafsi napenda kuachiwa uhuru wa kufikiri, bila ya kuelemewa na ujinga wa vyama vya siasa.

Achana na CCM na CHADEMA, nishaona JLP na Labour, nishaona Tory and Labour, nishaona mengi.

Life is complex.

Naweza kuwa sipendi wanayofanya CCM, halafu hapo hapo nisifurahie CCM kushindwa, nikawa natamani wangekuwa wamefanya vizuri.

Naweza kuwa napenda dhana ya upinzani, halafu nikawa sijaridhishwa na vyama vya upinzani.

Maweza kuwa siamini kuwapo kwa Mungu, halafu, nikawa napenda Rastafari.

Naweza kuwa Salman Rushdie, Muislamu nimezaliwa Mumbai lakini naikosoa Quran.

Umekataa kuzungushana.

Ukikataa kuzungushana, umekataa elimu.

Kwa sababu, hata ukitizama namba 0 to 9, au ukitazama herufi A to Z, humo mote ni mzunguko.

Nuance please.

Scholarship please.

Facts please.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
First things first, mimi sifurahii kufeli kwa CCM.

Kwa hiyo, unaponojibu mimi, angalau nipe heshima yangu ya kujibizana na mtu asiyefurahia kufeli kwa CCM.

Nimeanza kutembea kwenye corridors za Ikulu ya Tanzania kabla sijazaliwa, nikiwa tumboni mwa mama yangu.

Kwa hivyo, tusilundikane kwa m8najili ya "watu".

Maana watu ni wengi, wa kika aina, na hao wengi wanabadilika kika sekunde.

Binafsi napenda kuachiwa uhuru wa kufikiri, bila ya kuelemewa na ujinga wa vyama vya siasa.

Achana na CCM na CHADEMA, nishaona JLP na Labour, nishaona Tory and Labour, nishaona mengi.

Life is complex.

Naweza kuwa sipendi wanayofanya CCM, halafu hapo hapo nisifurahie CCM kushindwa, nikawa natamani wangekuwa wamefanya vizuri.

Naweza kuwa napenda dhana ya upinzani, halafu nikawa sijaridhishwa na vyama vya upinzani.

Maweza kuwa siamini kuwapo kwa Mungu, halafu, nikawa napwnda Rastafari.

Naweza kuwa Salman Rushdie, Muislamu nimezaliwa Mumbai lakini naikosoa Quran.

Umekataa kuzungushana.

Ukikataa kuzungushana, umekataa elimu.

Kwa sababu, hata ukitizama namba 0 to 9, au ukitazama herufi A to Z, humo mote ni mzunguko.

Nuance please.

Scholarship please.

Facts please.



Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu tosha hii. Kama ana akili atakuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viva Frelimo, Viva Samora Machel, Viva Mondulane.


Viva, Viva, Viva.
 
Hii ATCL pamoja na kukwepa kuwa haina ndege ikisingizia ni mali za Wakala wa Ndege za Serikali, sheria bado inaibana ATCL na mdhamini wake ambaye ni serikali.

Hii ATCL ndege 'zake' dreamliner na airbus kweli zitaweza safiri kwenda nje ya Afrika au zaidi ya China ?

Si zinaenda India au?


Alexander The Great
 
hilo shati la kijani basi mimi hoi![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
1579881179_1579881179-picsay.jpeg
 
Back
Top Bottom