Janga lingine kwa ATCL, yaamuliwa na Mahakama ya Uingereza kulipa dola milioni 40

Janga lingine kwa ATCL, yaamuliwa na Mahakama ya Uingereza kulipa dola milioni 40

Zitto huyu huyu aliyeita press na kuwaambia reli inayojengwa ni kutoka Dar mpaka Moro pekee?
Sasa mmeishia wapi na ujenzi wa hiyo reli?
Pumzi imekata sasa mmebakia kulaumiana

In God we Trust
 
Tunamtengenezea yule mzee wa jalalani ulaji
Tuna appeal, hatukubali kwani sisi hakuna mawakili mahiri wakututetea. Tusichukue form four failure in Ndungai's voice

In God we Trust
 
Zito haaminiki,hatayeye huwa haamini anachoongea ndomana hujigeuka. Nimoja kati ya wanasiasa vizabizabina
 
Back
Top Bottom