Janjaweed wameua watu takribani 700 Sudan, mbona mko kimya?

UN huta wasikia, wala African union hutowasikia, maana wote wako Palestina wanapeleka misaada.
Kuna shida na hili Jambo waislamu wa Tanzania wanatakiwa kulijua na kujitathimini kama kichwa zimo au la

Waarabu wakipigwa na wayahudi hutaka Misikiti yote Tanzania vipaza sauti vilaani Israel kuua waarabu na misikiti yetu kila kona utasikia tunalaani mayahudi kuua waarabu na maandamano juu huku wakionyesha mshikamano na wanaouliwa na wayahudi Palestina

Sasa njoo Afrika waislamu wenzao waafrika ngozi nyeusi wa Dafur Sudan Kaskazini wanauawa kama kuku na Waarabu hapo husikii misikiti ya Uarabuni vipaza sauti vikilaani waarabu wa Sudan kuua waafrika na kuonyesha mshikamano wao na watu weusi wa Dafur

Lakini cha ajabu misikiti yetu huwezi kuta vipaza sauti vyake vinalaani waarabu Janjaweed wanaoua waafrika wenzetu waislsmu wenzao kule Darfur na misikitini watu kuandamana na kuonyesha mshikamano na watu weusi wenzao wa Darfur

Unakuta baadhi ya waislam wanalia hadi kamasi zinawatoka wakilia waarabu wa Palestina lakini Mimacho mikavu anachekacheka tu kama bwege ukiongelea Waarabu Janjaweed wanavyoua waafrika wenzetu waislamu wenzie Darfur .Hajali

Kuna shida misikitini
 
huwa nawaambia hii dini mbali na ujinga wa waumini wake,imejaa unafiki mtupu.tofauti na ile nyingine ina wajinga tu.

ina waumini wanafiki sana.
 
Hawa wapelestina wa BUZA hawajitambui, Mwarabu ndiye anawajengea MISIKITI Tanzania nzima, hutowasikia wakisema chochote. Wanaletewa nyama ya ngamia, na kupewa tende utawaambia nini. Hii vita sa Sudan hawaioni kabisa, na wao wanaona waarabu ndio malaika waliotumwa na Allah kuja kuwaokoa.
 
Ni unafiki tu ndio unaowasumbua hawa wafuasi wa munyaazi mungu.
 
Sahihi
 
Hapo ndiyo ujue wavaa kobasi ni wajinga wa Akili hata Imani Yao ni hatari Kwa usalama wa dunia
 
Fanya urafiki na mwarabu dogo we huoni America na Europe wanajipendekeza kwa waarabu

Mwarabu we bongo anafaida na wewe kuliko America na Israel na Europe hao hawakupiu vya bure isipokuwa madeni
Mwarabu anakupa kipi cha bure? Tende, Kanzu au ujenzi wa misikiti!?
 
Wewe mnafiki huwa unaandama Joseph kony n genge lake walivyokuwa wanafanya massacres kule Uganda na south Sudan , huwa unaandama wale m23 ,maimai na wahuni wengine wanavyoteketeza raia kule Congo kwa unyama ?
Kwahiyo hawa Wasudani nao wafe tu kisa **** wengine walikufa na tukakaa kimya!!?? Waislam ni wanafiki, mnaguswa na Wapalestina ambao hamna uhusiano wowote na wala hawafahamu uwepo wenu na mnashindwa kuguswa na waafrika wenzenu mnaoshabihiana nao mambo mengi! Ujinga mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…