Januari 3, 2023 kutakuwa na kupatwa kwa sayari ya Mars

Ngoja niipakue hy app afu nitarudi
 
Baada ya muda katachanganyikana huko ndani ndani na nyota zingine afu ndo itakuwa imetoka hiyoooooooo.!
kuna huyu jamaa anajiita king kong akija mwambie ulikaona, maana alijua haitaonekana.
 
Uko sawa, saizi inaoneka pembeni chini kushoto kwa mwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…