EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kwanza unapaswa kutambua mwezi hauwaki unaonekana vile kutokana na kupigwa na miale ya jua,japo jua unakuwa ulioni usiku lakini kwa upande mwingine linaendelea kumulika jua halizimiki kama wengi wanavyojua.Mwezi ukiwa duniani ndio unauona kama unavyouona kiuhalisia mwezini kupo kama vile dunia yaani namaanisha sehemu inayofikika japo hakuna maisha mwezi huwa unaizunguka dunia na dunia inalizunguka jua hii hufanya mwezini kuwe na mixunguka ya mchana na usiku kama dunianiEm elezea kwa mapana
Kwahy kuna nchi zinaona mwezi ukiwa umeingia usiku.?Kwanza unapaswa kutambua mwezi hauwaki unaonekana vile kutokana na kupigwa na miale ya jua,japo jua unakuwa ulioni usiku lakini kwa upande mwingine linaendelea kumulika jua halizimiki kama wengi wanavyojua.Mwezi ukiwa duniani ndio unauona kama unavyouona kiuhalisia mwezini kupo kama vile dunia yaani namaanisha sehemu inayofikika japo hakuna maisha mwezi huwa unaizunguka dunia na dunia inalizunguka jua hii hufanya mwezini kuwe na mixunguka ya mchana na usiku kama duniani
Nimekuelezea kwa ufupi tu na kwa haraka kwasababu ni usiku sasa nataka nimbonji sasa ila kama uko interested kuujua mwezi kiundani nistue kukichaKwanza unapaswa kutambua mwezi hauwaki unaonekana vile kutokana na kupigwa na miale ya jua,japo jua unakuwa ulioni usiku lakini kwa upande mwingine linaendelea kumulika jua halizimiki kama wengi wanavyojua.Mwezi ukiwa duniani ndio unauona kama unavyouona kiuhalisia mwezini kupo kama vile dunia yaani namaanisha sehemu inayofikika japo hakuna maisha mwezi huwa unaizunguka dunia na dunia inalizunguka jua hii hufanya mwezini kuwe na mixunguka ya mchana na usiku kama duniani
Hapana ngoja kesho nikufafanulie zaidi utanielewa twende taratibuKwahy kuna nchi zinaona mwezi ukiwa umeingia usiku.?
Nimepitwa sijaona, nimekuja kukumbuka saa 7 hii toka mmeuona nikaogopa hata kutoka nje ila kuna picha mdau kaweka hapo nimeona.upo?
Nenda hospitali waambie umekuja kuanza kuhudhuria clinic ya machoUongo mtupu toka nione taarifa ya habari ya saa 1 Chanel 10 ,nimesuribiri nikaweka na kitu nje kabisa toka saa nne Hadi sasa naingia kitandani sijaona chochote,nilikuwa nimeandaa Hadi binocular na camera yangu mark IV ....wacha nilale
Jiografia ya wapi hii mkuu? Kwani kuna kipindi mwezi unakuwa haupo duniani? Unataka Kusema kwamba mchana mwezi unakuwa haupo?Kwanza unapaswa kutambua mwezi hauwaki unaonekana vile kutokana na kupigwa na miale ya jua,japo jua unakuwa ulioni usiku lakini kwa upande mwingine linaendelea kumulika jua halizimiki kama wengi wanavyojua.Mwezi ukiwa duniani ndio unauona kama unavyouona kiuhalisia mwezini kupo kama vile dunia yaani namaanisha sehemu inayofikika japo hakuna maisha mwezi huwa unaizunguka dunia na dunia inalizunguka jua hii hufanya mwezini kuwe na mixunguka ya mchana na usiku kama duniani
Imenipata kulikua na joto kali sana leo usiku na mbu wakutoshaNa ww umepatwa Mars
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna mualiko nimekutua mkuu!!?Ni aibu..kuna wanaume mnasherekea birthday? Adharan unatamka una birthday? How old are you?
Nenda kwa mwamposa ukaombewe na kununua mafuta ya upakoKwa hiyo wavaa makobazi watakesha kuomba kwa allah hiyo sayari iachiwe?au hili ni jipya washazoea lile la jua na mwezi[emoji41]
mkuu jitahidi kula vyakula vyenye vitamin A ili utengeneze macho yako kuona mbaliUongo mtupu toka nione taarifa ya habari ya saa 1 Chanel 10 ,nimesuribiri nikaweka na kitu nje kabisa toka saa nne Hadi sasa naingia kitandani sijaona chochote,nilikuwa nimeandaa Hadi binocular na camera yangu mark IV ....wacha nilale
yeye kasema ukiwa dunianiJiografia ya wapi hii mkuu? Kwani kuna kipindi mwezi unakuwa haupo duniani? Unataka Kusema kwamba mchana mwezi unakuwa haupo?
Application gani mkuu hiyoKwanza kabisa sayari kama Venus, Jupiter na mars zinang'aa sana hivyo unaweza kuzijua kutokana na brightness yake.
Lakini kila sayari ina sifa flani mfano Venus orbit yake Iko karibu sana na jua hivo inaonekana mda mchache tu baada ya jua kuzama au muda mchache kabla jua kuchomoza na hii ndio sayari inayong'aa sana, mercury nayo huoneka baada ya jua kuzama lakini haing'ai sana.
Jupiter nayo inang'aa sana na utaijua Kwa rangi yake nyeupe, Kwa pindi hki pale jua linapozama inakuwa usawa wa kichwa (overhead)
Mars pia hung'aa sana na hii ni nyekundu Kwa rangi yake, (ipo karibu na taurus constellation Kwa kipindi hiki)
Saturn huokana lakini kwa beginner unaweza ukadhani ni nyota but ni rahisi kuiona.
Uranus huonekana kama nyota ndogo hivo si rahisi kuiona kama sayari bali utadhani ni nyota tu.
All in all pale jua linapozama tu zile nyota zinaanza kuonekana ni sayari.
Ukitumia app itakusaidia zaidi. Mfano Mimi natumia stellarium kujua location ya vitu vyote angani
Unajua mkuu wabongo walijua mwezi utabadilika rangi labda utakuwa wa njano au mwekundu.mkuu jitahidi kula vyakula vyenye vitamin A ili utengeneze macho yako kuona mbali
Kalikuwa ni kadogo kama nyota ila kenyewe ni kekundu
Wabongo akishasoma title amemalizaUnajua mkuu wabongo walijua mwezi utabadilika rangi labda utakuwa wa njano au mwekundu.
kwahiyo wengi walikaa tu nje wanasubili mwezi ugeuke rangi, mwisho wa siku wakaishia patupu.
Unapata faida gani kukashifu imani za wengine, uzi huu hauna uhusiano wowote na imani ya mtu yeyote, lakini chuki zako...Kwa hiyo wavaa makobazi watakesha kuomba kwa allah hiyo sayari iachiwe?au hili ni jipya washazoea lile la jua na mwezi[emoji41]
AKILI JAMAA YANGUUnapata faida gani kukashifu imani za wengine, uzi huu hauna uhusiano wowote na imani ya mtu yeyote, lakini chuki zako...
Mkuu huoni kama huyo jamaa anakilema cha AKILI? Mpuuze tu bora kuwa na kilema cha kiungo kuliko kilema cha akili kama alivyoUnapata faida gani kukashifu imani za wengine, uzi huu hauna uhusiano wowote na imani ya mtu yeyote, lakini chuki zako...
yeye kasema ukiwa duniani
Hajamaanisha mwezi bali amemaanisha wewe ukiwa duniani mwezi unauona hivyo