Amechoka kuishi ameanza kuongea UCHURO juu yake mwenyewe.Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu watu wanaohoji mpango wake wa kugawa mitungi ya gesi kwa wanawake katika ziara anayoendelea nayo katika mikoa 14 ya Tanzania na kusema wacha wabishane lakini lazima twende mbele
“Wacha watu waseme wabishane lakini lazima twende mbele kwenye nishati safi ya kupitia” amesema Makamba 14 Julai 2022, Sengerema Mwanza
Chanzo: Instagram ya wizara_ ya nishati_ tanzania
Kuiba pepa ni zaidi ya kupata yai mkuu .alipaswa awe kizuiziniKuiba pepa haimaanishi alipata yai
Makamba ana muonekano wa uelewa na na busara lakini akiongea dakika tano off the script unagundua ni mtupu na hana exposure japo wanasema kasoma / kaishi Minnesota.Hii tabia yake ya kujidai much know
January mbona anakua na maneno mazito, ajue yeye ni mtanzania Kama tulivyo wengine, na wasemao wanawakilosha watanzania wengine,Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu watu wanaohoji mpango wake wa kugawa mitungi ya gesi kwa wanawake katika ziara anayoendelea nayo katika mikoa 14 ya Tanzania na kusema wacha wabishane lakini lazima twende mbele
“Wacha watu waseme wabishane lakini lazima twende mbele kwenye nishati safi ya kupitia” amesema Makamba 14 Julai 2022, Sengerema Mwanza
Chanzo: Instagram ya wizara_ ya nishati_ tanzania
Na kwann ipande au inatoka Russia? Hawa jamaa hawaelewekiApunguze bei ya hiyo Gesi anaweza kugawa ikiisha wakashindwa kupata mipya sababu ya bei kuwa juu sana, wiki Iliyopita mtungi wa kg6 nimenunua sh 25,000/= siyo pesa ndogo kwa mtu wa kijijini ujue weee manyuzi shauri yako.
Mingi itageuzwa vigoda! Watu myopic kama hawa wanapoendesha nchi inakuwa ni tatizo sana.Hii tabia yake ya kujidai much know asiyesikia ndio itazidi kumpoteza.
Kulazimisha kupeleka majiko ya gesi vijijini wakati uwezo wa kujaza hiyo gesi itakapoisha hawana ni kujidanganya.
Baada ya hii publicity anayofanya, namshauri arudi huko vijijini anapogawa hiyo mitungi na majiko ya gesi after 4 months, more than 90% ataikuta imechafuka vumbi store.
Hili swali yeye ndiyo anayo majibu, miye huku nanjilinji sijui inakotokaNa kwann ipande au inatoka Russia? Hawa jamaa hawaeleweki