Sema sukuma gang, wacha kuficha ukweli bwashe! Bavicha na hiyo miradi ya vichaa wapi na wapi?Duh
Kuuwana tena?
Bavicha watapata cha kuongea!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema sukuma gang, wacha kuficha ukweli bwashe! Bavicha na hiyo miradi ya vichaa wapi na wapi?Duh
Kuuwana tena?
Bavicha watapata cha kuongea!
Hivi ni yupi ana nafuu kati ya mtu mpuuzi na mtu aliye na akili ndogo!?jamaa kweli ameshangaza umma kuita watu wapuuzi kwa hiyo spika na kundi lake ni wapuuzi aiseee nchi ngumu sana hii
Aisee!Ni kwa sababu aling’ara miongoni mwa wagombea ambao moja wapo alikuja kuwa rais na kizuri aliaminiwa na Dkt Magufuli mpaka kupewa kuongoza wizara. Baadaye huyo huyo kaanza fitina wizi (mfano kuna kipindi Dkt Magufuli alisafiri, Makamba kupitia makundi yake ya kifisadi wakataka kuiba kiasi kikubwa cha hela) na hapo uaminifu wake kwa Dkt Magufuli ukaisha kabisa. Kwa hiyo umaarufu wake ulitokana na Dkt Magufuli, hata Nape hivyo hivyo
He must have committed a very serious crime... mpaka anaomba mwenyewe auawe... unless kwa lugha nyingine anawaambia watanzania(wapuuzi) kwamba hiyo nafasi hatoki labda kifo ndio kimtoe.Duh
Kuuwana tena?
Bavicha watapata cha kuongea!
Mwenzio anatafuta njia NYEPESI ya kujitoa uhai we unamuwazia ya juu kuliko aliyonayo imemshinda!!!!!Aisee!
Ndo maana nasema hivi, huyu makamba ataendelea kuwa juu na kuna siku ataukwaa mpaka uraisi..........na kitakachomuinua ni hizo fitina na chuki na uzushi wenu. Asiye na mtu ana Mungu, ndo dunia ilivyo.
Tafuta uzi wa Britannica unaosema CCM imewaondoa kisayansi sana na ukimaliza kuusoma jaribu kumfuatilia Britannica ni nani na kwa aina yake ya uandishi utamjua tu hapa rejea kukanushaAisee!
Ndo maana nasema hivi, huyu makamba ataendelea kuwa juu na kuna siku ataukwaa mpaka uraisi..........na kitakachomuinua ni hizo fitina na chuki na uzushi wenu. Asiye na mtu ana Mungu, ndo dunia ilivyo.
Asee, Usimuhusishe kamba na Mungu,Aisee!
Ndo maana nasema hivi, huyu makamba ataendelea kuwa juu na kuna siku ataukwaa mpaka uraisi..........na kitakachomuinua ni hizo fitina na chuki na uzushi wenu. Asiye na mtu ana Mungu, ndo dunia ilivyo.
Amechanganyikiwa.January is so disappointing. I expect these words from a frustrated illiterate person.
Nitautafuta!Tafuta uzi wa Britannica unaosema CCM imewaondoa kisayansi sana na ukimaliza kuusoma jaribu kumfuatilia Britannica ni nani na kwa aina yake ya uandishi utamjua tu hapa rejea kukanusha
Nadhani umeona faida ya kuwa na watu wachache wenye akili Jamvini.Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!
Itaondoa wahuni kama kina makamba kuwa mawaziri na kujibu watu hovyo!!
Kichwani mwako una matatizo. Makamba hana credibility ya kusimama mbele za watu kwa sada ni mchafu na mfitini. Yaani Nape etc wote huo ni uchafu mkubwa ndani ya CCM. Ingia mtaani uulizie ndiyo utajua. Usipende kuwa mnafiki wa kusifia.Aisee!
Ndo maana nasema hivi, huyu makamba ataendelea kuwa juu na kuna siku ataukwaa mpaka uraisi..........na kitakachomuinua ni hizo fitina na chuki na uzushi wenu. Asiye na mtu ana Mungu, ndo dunia ilivyo.
Huko mtaani si kumejaa wajinga wajinga tu kibao walio na shutuma za kukaririshwa kama wewe sasa nipoteze muda wa nini?!!!!Kichwani mwako una matatizo. Makamba hana credibility ya kusimama mbele za watu kwa sada ni mchafu na mfitini. Yaani Nape etc wote huo ni uchafu mkubwa ndani ya CCM. Ingia mtaani uulizie ndiyo utajua. Usipende kuwa mnafiki wa kusifia.
Unamaanisha nn unaposema anahojiwa Sana? Yaani wewe unasambaza chuki zako ndiyo unasema anahojiwa Sana?Kwa hiyo ulitaka wote wafurahie kauli hiyo kwa maslahi ya nchi? Yeye ndo waziri tu? Why anahojiwa sana? Kama anahojiwa sana basi ajue kuna mahali ametoboka ajiangalie