Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuMkuu naona umeamua kuvunja ukimya; Prince January na Prince Ridhiwan of Msoga Kingdom wameshapangwa kumrithi Queen Msafiri.
Kwaiyo usimuone Prince January anaangaika kunadi gesi ya TaifaGas, ni kwamba anajua yeye ndiye atachukua jumba la Ufalme.
Ww heshim kabila la watu mbwa ww kafiiiilweeee mbele hukowewe ni mfa maji usiyeisha kutapatapa. unajidanganya na wenzio wasukuma kwamba yule chizi wenu alimaliza wizi na upigaji umesahau haya
Nani alijenga uwanja wa ndege wa Chato (MAYANGA CONSTRUCTION) Ni kampuni ya nani? tenda ilitangazwa wapi? fedha za ujenzi zilipitishwa kwenye fungu gani? haya husemi na unajua?
kwanini hapakuwa na taratibu za manunuzi kwenye ununuzi wa MINDEGE? Je unajua alipewa kiasi gani cha pesa?
Asad alifukuzwa kazi kwa sababu ya kuhoji pesa ya serikali, haya tangu lini mtu msafi akamfukuza mtu anayemulikia ili aone uchafu uko wapi? hili huwezi kujibu
Vyeti feki kwanini Makonda aliachwa ? mbona asikague jeshini na polisi kama kweli alipenda haki
HATUTAKI RAISI MNYAPARA, MUUAJI NA MTESI WA WATU. TUNATAKA RAISI MUUNGWANA
Sisi tumefurahi aliyekerwa AKALIFUFUE
Anaendeleaje sasa na mpango wake.Mkuu naona umeamua kuvunja ukimya; Prince January na Prince Ridhiwan of Msoga Kingdom wameshapangwa kumrithi Queen Msafiri.
Kwaiyo usimuone Prince January anaangaika kunadi gesi ya TaifaGas, ni kwamba anajua yeye ndiye atachukua jumba la Ufalme.
= warina.britanicca
Mlichokuwa mkikikataa kwa Magufuli ni misimamo yake kuhusu hili kundi la Rostam na Msoga!
Mkatumika bila kujua,kwa kupindisha ukweli na kuegemea mgongo wa Demokrasia.
Ambayo kwa ujumla ilikuwa sio Demokrasia bali "DOMO-KULA-SIA" za kulambia Asali.
Ambazo kiujumla Magufuli alikataa Semina,Makongamano,Safari lukuki za nje,Matumizi ya kumbi binafsi za kukodisha, ilhali kumbi za taasisi zikiwepo.
Mishahara hewa,vyeti bandia vya kughushi,Ufisadi mkubwa kupitia Tanesco,ukwepaji kodi kupitia misamaha ya waziri wa fedha na ubadhirifu wa pesa za halmashauri zetu huko "TAMISEMI"
Sote ni mashahidi nchi nzima.
Kwamba hayo yoote yamerudi kwa kasi ile ile ikiwa na Speed ya 4G.
Magufuli alichokifanya,ndio kile watu walikuwa wakililia kitokee huko nyuma kwenye hii hii awamu iliyoshika rimoti sasa hivi.
Kilichotokea ni Genge hili kumtumia
Queen Nyasafari,na kuweza kutekeleza walichoweza.Siri zote za Ikulu ya Magufuli zilikuwa zinapotiliza kwenda Kwa Msoga team.
Kwa kupewa na huyuhuyu Queen Nyasafari wa sasa.
Naona wanamuandaa Kigogo14 kuchukua nchi 2030.
Ngoja tuendelee kukaa siti za mbele tu.
Ila TIME WILL TELL .....
MUNGU IBARIKI TANZANIA....
Tuokowe na haya Majamga ya "Walina Asali"
Alamsikhi!
Kumbe!!? No comment.Mbona nimekaa Miaka 2 sioni cha ajabu
SawaUmeandika matakataka tu