TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Alitaka kuthibitisha wizi wa mitihani unalipaMh. January Makamba wakati anapewa wizara ya Nishati alitoka na swaga nyingi huku akituaminisha kwamba, amekuja na dawa ambayo mtangulizi wake Kalemani aliyekuwa waziri wa wizara hiyo kudai kwamba, alielekea kuharibu kabisa mitambo yote ya uzalishaji umeme
Yeye akadiriki kusema, kwa namna shirika hilo lilivyokuwa likiendeshwa bila kuwepo ukarabati wa mitambo hiyo, tatari ilikuwa linaelekea kuzikwa kabisa shirika hili la Tanesco
Yeye kama mtaalamu na mwenye uchungu na nchi, alisikitika sana na kumponda mno aliyekuwa mtangulizi wake bwana Kalemani huku akidai ushamba ulitangulia sana katika kuliendesha shilika hilo
Tokea hapo tukaanza kuona bajeti ya matrilion yakiombwa na wizara hiyo na fedha zote hizo akidai zinaelekezwa kwenye ununuzi wa mitambo mipya
Mh.Makamba kwa kinywa chake baada tu ya kuingia katika wizara hiyo, nchi ikaanza kuingia gizani kwa kukosa umeme huku akiwaomba wananchi wampe walao miezi sita ili waone maajabu na kwamba hakutatokea tena mgao wa umeme baada ya muda huo
Kipindi hiko ndio kipindi tulichoshuhudia mikataba mingi na ya mapesa mengi ukiwepo ule mkataba wa Wahindi wa bilioni zaidi ya 70
Hata hivyo, mpaka anatolewa katika wizara hii, bwana Makamba, hata yeye mwenyewe hawezi kueleza ni kitu gani amefanya na anajivunia licha ya kupewa matrilion ya mashilingi ili kuboresha shilika hilo
Kwa nini bwana Makamba aliamua kuudanya umma wa watanzania kuhusiana na kile alichokuwa akikisema katika ufufuaji wa shirika hili la Tanesco
Ni kipi amafanya tangu alipopewa nafasi hiyo zaidi ya kulididimiza shirika hili?
Tulitarajia kuona unafuu mara nne zaidi ya mtangulizi wake, lakini matokeo yake shirika limelika hadi kutu
Matokeo yake tunamgao wa umeme ambao haujawahi kuwepo miongo na miongo iliyopita
Kama tunawasomi wa aina hii, nakubaliana na vyuo vyetu kushika nafasi za mwisho huko balani Africa
Faida zipi bwana Makamba alikusudia azipate kutokana na uwongo wake kulihusu shirika la Tanesco?
Je huyu mwamba bwana Makamba, katika wizara zote alizowahi kuhudumu, ni nini anacho cha kujivunia na kutushawishi wananchi eti siku tumpe nafasi ya juu kwenye nchi yetu
Watu kama kina Makamba nchi kama Asia angekuwa anachezea kifungo jela. JANUARI na Team yake ya akina Maharage walitumia TANESCO kujitajirisha.
Basically watu wote ambao JK au Team Msoga alimkabidhi Rais Samia hawakuwa na uwezo wa kikazi. Na hao ndiyo wameporomosha approval ya Samia mtaani vibaya sana.
Ila kama Januari Makamba ana ndoto za kuja kuwa mgombea uRais wa Tanzania, mwambieni asipoteze muda. HATOKUJA kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa performance yake ni VER VERY POOR
Alishindwa nini kuwaajibisha kwa sabbu wpte walikuwa chini yakeShida makamba nae alidanganywa na TANESCO, hata wewe tukikupa uwaziri, TANESCO itakumeza yani matatizo yao yatakuwa na nguvu kuliko solution zako, ndo wote wanashindwa, Hadi wapewe private companies
Labda Ile sanamu/statue ya Nyerere pale Addis Ababani nini anacho cha kujivunia na kutushawishi wananchi eti siku tumpe nafasi ya juu kwenye nchi yetu
Tanesco Si aliwafuta wale wa Kalemani wote akaondoa akaweka wa kwake yeye yaan aliingia na genge lake, kwa hio unataka kusemaje genge lake lilimsaliti ambalo lipo mpaka sasa Ila yeye kachomolewa?Shida makamba nae alidanganywa na TANESCO, hata wewe tukikupa uwaziri, TANESCO itakumeza yani matatizo yao yatakuwa na nguvu kuliko solution zako, ndo wote wanashindwa, Hadi wapewe private companies
Angalia matatizo yalipoanziaMna shida binafsi na Makamba,
Kama shida ilikuwa yeye, miezi saba sasa baada ya kutoka mbona hali bado mbaya ?
Kwa hiyo unataka niunge mkono Team Msoga tu bila sababu? Hauko objectiveWewe ndio ilikuwa unakata viuno humu kwamba sukuma gang imekomeshwa! Leo ndio unagundua kama huyu bibiako sasa hivi yuko hoi?
Sidhani kama tatizo ni jina la Waziri.Mh. January Makamba wakati anapewa wizara ya Nishati alitoka na swaga nyingi huku akituaminisha kwamba, amekuja na dawa ambayo mtangulizi wake Kalemani aliyekuwa waziri wa wizara hiyo kudai kwamba, alielekea kuharibu kabisa mitambo yote ya uzalishaji umeme
Yeye akadiriki kusema, kwa namna shirika hilo lilivyokuwa likiendeshwa bila kuwepo ukarabati wa mitambo hiyo, tatari ilikuwa linaelekea kuzikwa kabisa shirika hili la Tanesco
Yeye kama mtaalamu na mwenye uchungu na nchi, alisikitika sana na kumponda mno aliyekuwa mtangulizi wake bwana Kalemani huku akidai ushamba ulitangulia sana katika kuliendesha shilika hilo
Tokea hapo tukaanza kuona bajeti ya matrilion yakiombwa na wizara hiyo na fedha zote hizo akidai zinaelekezwa kwenye ununuzi wa mitambo mipya
Mh.Makamba kwa kinywa chake baada tu ya kuingia katika wizara hiyo, nchi ikaanza kuingia gizani kwa kukosa umeme huku akiwaomba wananchi wampe walao miezi sita ili waone maajabu na kwamba hakutatokea tena mgao wa umeme baada ya muda huo
Kipindi hiko ndio kipindi tulichoshuhudia mikataba mingi na ya mapesa mengi ukiwepo ule mkataba wa Wahindi wa bilioni zaidi ya 70
Hata hivyo, mpaka anatolewa katika wizara hii, bwana Makamba, hata yeye mwenyewe hawezi kueleza ni kitu gani amefanya na anajivunia licha ya kupewa matrilion ya mashilingi ili kuboresha shilika hilo
Kwa nini bwana Makamba aliamua kuudanya umma wa watanzania kuhusiana na kile alichokuwa akikisema katika ufufuaji wa shirika hili la Tanesco
Ni kipi amafanya tangu alipopewa nafasi hiyo zaidi ya kulididimiza shirika hili?
Tulitarajia kuona unafuu mara nne zaidi ya mtangulizi wake, lakini matokeo yake shirika limelika hadi kutu
Matokeo yake tunamgao wa umeme ambao haujawahi kuwepo miongo na miongo iliyopita
Kama tunawasomi wa aina hii, nakubaliana na vyuo vyetu kushika nafasi za mwisho huko balani Africa
Faida zipi bwana Makamba alikusudia azipate kutokana na uwongo wake kulihusu shirika la Tanesco?
Je huyu mwamba bwana Makamba, katika wizara zote alizowahi kuhudumu, ni nini anacho cha kujivunia na kutushawishi wananchi eti siku tumpe nafasi ya juu kwenye nchi yetu
Elewa tu kuwa maji yakishaingia sumu ni ngumu sana kuchuja!Mkuu, ndani humohumo, kuna wenye uangalau ukuondoa siasa mkuu
Kwani Makamba hawezi kukanatwa na kushitakiwa?