Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Ukilala ukiamka unamuwaza January Makamba tu! Kila siku kuanzisha nyuzi ya January Makamba vipi alikuchukulia mke nini?Tuliambiwa na January kuwa miundo mbinu ya umeme ilikuwa imechakaa sana. Hivyo ilihitaji ukarabati wa nguvu.
Ukarabati ulifanyika na sasa tunaona hitilafu kibao.
Mbaya zaidi umeme unakatika na kurudi ghafla kiasi cha kuharibu vifaa vya umeme vya watu.
Leo umesema kweli, hujaweka unafiki!Ni wajinga na wapumbavu sana hawa kina marope!
Alikuwa anakatakata viuno akijaribu kumnanga Magu alifikiri muda utasimama?
lazima amuwaze sababu ,ndio waziri mwenye dhamana ya wizara hiyo,kwaiyo panapokuwa na mapungufu lazima amnyooshee kidole.Ukilala ukiamka unamuwaza January Makamba tu! Kila siku kuanzisha nyuzi ya January Makamba vipi alikuchukulia mke nini?
Wenyewe wamechukua nchi na CCM na kamwe hawataruhusu wageni kushika madaraka. Tutaipata enzi hiiiiTuliambiwa na January kuwa miundo mbinu ya umeme ilikuwa imechakaa sana. Hivyo ilihitaji ukarabati wa nguvu.
Ukarabati ulifanyika na sasa tunaona hitilafu kibao.
Mbaya zaidi umeme unakatika na kurudi ghafla kiasi cha kuharibu vifaa vya umeme vya watu.
Ni mchakato wakubinafsisha Tanesco.. tuhesabu siku tuTuliambiwa na January kuwa miundo mbinu ya umeme ilikuwa imechakaa sana. Hivyo ilihitaji ukarabati wa nguvu.
Ukarabati ulifanyika na sasa tunaona hitilafu kibao.
Mbaya zaidi umeme unakatika na kurudi ghafla kiasi cha kuharibu vifaa vya umeme vya watu.
Jadili hoja mamaUkilala ukiamka unamuwaza January Makamba tu! Kila siku kuanzisha nyuzi ya January Makamba vipi alikuchukulia mke nini?
😁
Mavi ya mama yakoHuna hoja, utapigwa pumbu mkuu