January Makamba alituambia alifanya ukarabati wa miundo mbinu ya umeme iliyochakaa. Sasa hizi hitilafu na katikakatika ya umeme inatoka wapi?

January Makamba alituambia alifanya ukarabati wa miundo mbinu ya umeme iliyochakaa. Sasa hizi hitilafu na katikakatika ya umeme inatoka wapi?

Tuliambiwa na January kuwa miundo mbinu ya umeme ilikuwa imechakaa sana. Hivyo ilihitaji ukarabati wa nguvu.

Ukarabati ulifanyika na sasa tunaona hitilafu kibao.

Mbaya zaidi umeme unakatika na kurudi ghafla kiasi cha kuharibu vifaa vya umeme vya watu.
Ukilala ukiamka unamuwaza January Makamba tu! Kila siku kuanzisha nyuzi ya January Makamba vipi alikuchukulia mke nini?
 
We jamaa huu utakuwa Uzi wa 20+ unamzungumzia JANUARY MAKAMBA. Yaan kila ukiamka wewe unawaza Makamba Makamba Makamba. Wanaume hatupo hivyo, wivu wa kike umekujaa, utakuja pigwa PUMBU.
 
Kwani ukarabati ulikamilika ?

IMG_20211228_160309.jpg
 
Bado kuna kundi la wahuni wa sukuma gang ndani ya Tanesco linamhujumu huyu waziri ambaye ndiye rais mtarajiwa
 
Tuliambiwa na January kuwa miundo mbinu ya umeme ilikuwa imechakaa sana. Hivyo ilihitaji ukarabati wa nguvu.

Ukarabati ulifanyika na sasa tunaona hitilafu kibao.

Mbaya zaidi umeme unakatika na kurudi ghafla kiasi cha kuharibu vifaa vya umeme vya watu.
Wenyewe wamechukua nchi na CCM na kamwe hawataruhusu wageni kushika madaraka. Tutaipata enzi hiiii
 
Tuliambiwa na January kuwa miundo mbinu ya umeme ilikuwa imechakaa sana. Hivyo ilihitaji ukarabati wa nguvu.

Ukarabati ulifanyika na sasa tunaona hitilafu kibao.

Mbaya zaidi umeme unakatika na kurudi ghafla kiasi cha kuharibu vifaa vya umeme vya watu.
Ni mchakato wakubinafsisha Tanesco.. tuhesabu siku tu

Hakuna cha mitambo kuchakaa wala nini yani
 
Boss kipara tangia aingie bei ya nishati ipanda tu na mwisho wa mwezi huu kauchuna
 
Back
Top Bottom