Nakubaliana na wewe kabisa...... Mtu kama Devotha Minja hawezi kukataa " mzigo" wa Aboud wakati anajua uchaguzi hashindi!
Furaha yake au yako ndio kipimo cha sahihi ?Endapo Tundu.angefanikiwa kuweka pingamizi lake kwa Magufuli je usingefulahi?
Tena wanaandikishwa kabisa!We
Siajabu we ni mtoto, Sasa nini maana ya kuwepo wapiga kura?
Hahahaaaa...... Wajanja wajanja watupu!Waliopita bila kupingwa ni sample za Aboud, Nape,January, Shabiby, Babu Tale n.k
Wapinzani wameunga mkono juhudi kwa style tofauti
Kwa maana hiyo ni kuwa hakuwa tayari inamaanisha kuwa kasukumiwa hukoJanuary Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.
Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".
January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
My take; January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?
Maendeleo hayana vyama!
Inategemea na jamii yenyewe bwashee...... Sasa kama jamii ya shamba la bibi Morogoro unaitegemea kweli?!Ubunge wa aina hiyo hauna raha,thamani wala heshima mbele ya Jamii.
Yeye alitaka apigiwe kura na wananchi walio wengi siyo kuteuliwa na DED peke yake!Kwa maana hiyo ni kuwa hakuwa tayari inamaanisha kuwa kasukumiwa huko
Umeona mbali sana.'Nahisi' Mchezo uliofanyika mwaka huu Nchi nzima hasa kwny majimbo yote ya watoto wa Mjini ilikuwa ni 'kukaa mezani' na wapinzani wako na kuwaomba wakosee kujaza fomu za uteuzi then wanawekeana Pingamizi wao kwa wao mwishowe wote wanakatwa unabaki peke yako
Hivi mpaka hapo anaweza kuenguliwa au?Yeye alitaka apigiwe kura na wananchi walio wengi siyo kuteuliwa na DED peke yake!
We ni mbumbu usiyejielewa mgombea urais hata akiwa mmoja hapiti bila kupingwa lazima kura za ndio au hapana zihusikeEndapo Tundu.angefanikiwa kuweka pingamizi lake kwa Magufuli je usingefulahi?
Hahahaaaa..... Inabidi aiandikie NEC kwamba mpinzani wake arejeshwe na yeye atagharamia uchaguzi!Hivi mpaka hapo anaweza kuenguliwa au?
Sory huko kwenye siasa huwa sielewi kitu
Hee...kumbeeHahahaaaa..... Inabidi aiandikie NEC kwamba mpinzani wake arejeshwe na yeye atagharamia uchaguzi!
Una uhakika bwashee?We ni mbumbu usiyejielewa mgombea urais hata akiwa mmoja hapiti bila kupingwa lazima kura za ndio au hapana zihusike
Maana kule Twitter NEC hawamsikii anakutana na akina kigogo tu!Hee...kumbee
You are very right..jamaa anapiga tuu Siasa huyo, na kama alijua hiyo kitu haifai si na yeye angejitoa ili huo mchakato uanze upya aone ata kama Kura za maoni za CCM atapita..asilete mbwembwe.Mamba huwa anamla mwanadamu huku analia, eti anamuonea huruma! Ndio Waswahili wakapata msemo wa "machozi ya mamba"
Zaidi ya asilimia elfmoja bwasheeUna uhakika bwashee?
Au kama hajaridhika ajiengue tuu kuilinda heshima yakeMaana kule Twitter NEC hawamsikii anakutana na akina kigogo tu!
Nakumbuka Rais Magufuli aliwapongeza Mrema na Cheyo kwa kumuunga mkono na kuwataka wapinzani wengine wafuate nyayo zao ili kuokoa fedha za walipa.Zaidi ya asilimia elfmoja bwashee