Uchaguzi 2020 January Makamba asikitika kupitishwa bila kupingwa, atamani angechaguliwa na Wananchi wa Bumbuli

Kwa maana hiyo ni kuwa hakuwa tayari inamaanisha kuwa kasukumiwa huko
 
Umeona mbali sana.
 
Mamba huwa anamla mwanadamu huku analia, eti anamuonea huruma! Ndio Waswahili wakapata msemo wa "machozi ya mamba"
You are very right..jamaa anapiga tuu Siasa huyo, na kama alijua hiyo kitu haifai si na yeye angejitoa ili huo mchakato uanze upya aone ata kama Kura za maoni za CCM atapita..asilete mbwembwe.
 
Mnafiki mkubwa huyu. Madhulumati haya!
Kuna baadhi ya watanzania wenzetu hawana aibu! Wamejaa ushetani na nafsi zao haziwasuti kabisa! So sickening!
 
Zaidi ya asilimia elfmoja bwashee
Nakumbuka Rais Magufuli aliwapongeza Mrema na Cheyo kwa kumuunga mkono na kuwataka wapinzani wengine wafuate nyayo zao ili kuokoa fedha za walipa.

Kwani kupiga kura za Ndio na Hapana hakuna gharama bwashee?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…