Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajiondoe tu kufupisha manenoJanuary Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.
Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".
January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
My take: January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa..... January na Nape wakijiengua huku mtaani watakufa njaa, bwashee si ulimuona Makonda jana pale Jamhuri!!Au kama hajaridhika ajiengue tuu kuilinda heshima yake
Makamba ana busara Sana,ameteseka Sana na serikali ya magufuli.mwaacheni tunajua tutakuwa naye siku za usoni .Ajiondoe tu kufupisha maneno
Hahahaaaa...... January hajawahi kujiajiri labda yule mwamvita ndio anajua uswahilini kulivyo!Kama kweli yeye ni mwanasiasa hai.. ajitoe , mchakato uanze upya ili apate mshindani alafu aone kama ataweza kupata japo ticket ya chama chake.
Siyo rahisi kihivyo bwashee!Ajiondoe tu kufupisha maneno
Kwani kukataa si kupo.au hana tu fake kama mzarendoJanuary Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.
Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".
January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
My take: January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?
Maendeleo hayana vyama!
Gharama za kura za ndio na zile za kushindanisha wagombea zaidi ya mmoja ziko Sawa, lkn bwana mkubwa aliongea vile sababu anajua anaongoza wafu hata akibaka katiba nothing can happen!Nakumbuka Rais Magufuli aliwapongeza Mrema na Cheyo kwa kumuunga mkono na kuwataka wapinzani wengine wafuate nyayo zao ili kuokoa fedha za walipa.
Kwani kupiga kura za Ndio na Hapana hakuna gharama bwashee?!
Lissu alikuwa na msingi thabiti wa pingamizi: kutohakiki fomu kwa Tume siku ya uteuzi. Alijua hawezi kufanikiwa, lakini alituwezesha kuona upendeleo wa TumeEndapo Tundu.angefanikiwa kuweka pingamizi lake kwa Magufuli je usingefulahi?
Kapirishwa kwa asilimia 600%. Ila Jana niliuliza kuhusu Makamba na Nape kukubali viti maalum!January Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.
Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".
January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
My take: January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?
Maendeleo hayana vyama!
Lissu aliweka pingamizi lake kimkakati, maana mliwaandaa wa kumwekea pingamizi, mliposikia kaweka mkarudisha korodani ndani.Endapo Tundu.angefanikiwa kuweka pingamizi lake kwa Magufuli je usingefulahi?
Apo ana 0% aina flan ya unafiki mkubwa wanadhani hatujui kinachofanyika mpaka wanapitishwa bila kupingwa ..kama haitoshi anakimbilia ku tweets et kaskitishwa ovyo sana.January Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.
Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".
January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
My take: January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?
Maendeleo hayana vyama!
Niliwahi kuandika mwaka 2015 kwama wabunge wanaopitishwa bila kupingwa wananyimwa nafasi zao za kuchaguliwa na wananchi.January Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.
Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".
January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
My take: January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?
Maendeleo hayana vyama!
Nilikuwepo aise saa hivi anamwonekano kama mtu aliekuwa kijijini huko analetwa mjini ghaflaHahahaaaa..... January na Nape wakijiengua huku mtaani watakufa njaa, bwashee si ulimuona Makonda jana pale Jamhuri!!
January Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.
Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".
January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
My take: January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?
Maendeleo hayana vyama!
Hypocrisy. Ni màandalizi ye team hacking.January Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.
Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".
January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
My take: January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?
Maendeleo hayana vyama!
Kwa sasa January ni mbunge wa viti maalumu na hilo ndio linalomsikitisha.Niliwahi kuandika mwaka 2015 kwama wabunge wanaopitishwa bila kupingwa wananyimwa nafasi zao za kuchaguliwa na wananchi.
Wangepitishwa hata kwa uchaguzi wa kura ya ndiyo au hapana.
Mbona Nyerere na Mwinyi tumewachagua kwa kura za "Ndiyo" au "Hapana" wakati walikuwa hawana mpinzani?
Kwa nini tusingesema Nyerere kapita bila kupingwa, au Mwinyi kapita bila kupingwa, hakuna haja ya uchaguzi?
Kwani haiwezekani January akakosa mpinzani wa chama tofauti, halafu wananchi wasimkubali?
Kwenye katiba hakuna ubunge wa kupita bila kupingwa, kuna ubunge wa kuchaguliwa na wananchi.
Sasa kama January anapitishwa bila kuchaguliwa na wananchi, atasemaje yeye ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi?
Ni kama ameshuka kwenye trekta.Nilikuwepo aise saa hivi anamwonekano kama mtu aliekuwa kijijini huko analetwa mjini ghafla
"usingefulahi" ni kitu gani?Endapo Tundu.angefanikiwa kuweka pingamizi lake kwa Magufuli je usingefulahi?