January Makamba: Bwawa la Nyerere limebakiza Mita 2 za Ujazo ili kuwa na uwezo wa kuzalisha Umeme

January Makamba: Bwawa la Nyerere limebakiza Mita 2 za Ujazo ili kuwa na uwezo wa kuzalisha Umeme

Mkuu hujamwelewa au pengine hajaeleweka.
Kwa taarifa yako ufungaji mitambo yenyewe bado haijakamilika.
Kutandika waya za umeme kusafirisha hadi Chalinze bado.

Huyo waziri naye taahira na awaachie wataalam waelezee.
Maana yake ilikuwa maji kwenye bwawa sasa ni yale ya kutosha kuzalisha umeme by june 2023.
Wewe ndio hujamwelewa,hiyo njia ya Chalinze Iko 98%
Umeme utazalishwa Kwa awamu wataingiza megawatt 700 Kwa awamu 3 so ndio kusema awamu ya kwanza mwaka huu inaanza
 
Hatimaye mashine ya kwanza kuanza kuzalisha umeme,

Mambo tayari huko 🔥🔥🔥
Hongera Serikali, Hongera Rais na Hongera Waziri Makamba
=======

View attachment 2641882
Picha: WAZIRI wa Nishati, January Makamba
Serikali imetangaza kuwa, wiki moja ijayo kina cha maji katika bwawa la kuzalisha umeme la Mwalimu Nyerere (JNHPP) litakuwa na uwezo wa kuanza kuzalisha umeme.

Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 31, 2023 na Waziri wa Nishati, Januari Makamba wakati akiwasilisha bajeti yake kwa mwaka 2023/24 ambayo ameliomba Bunge lipitishe jumla ya Sh3.048 trilioni.

Waziri Makamba amesema kuwa ujazo wa maji uliofikiwa katika Bwawa hilo ni mita za ujazo 163, lakini kiwango kinachotakiwa bado mita za ujazo mbili.

“Mheshimiwa Spika, ninafurahi kulitaarifu Bunge lako kuwa, wiki ijayo hata tukiamua kuanza uzalishaji wa umeme tunaweza kwani kiwango cha chini cha uzalishaji maji tumebakiza mita za ujazo mbili tu,” amesema Makamba.

Hata hivyo Waziri amesema kuwa uzalishaji wa umeme utakaoanza rasmi katika mwaka huu wa fedha, utaingizwa katika gridi ya Taifa June 2024 sambamba na umeme wa jua.

MWANANCHI
Good news
 
Hatimaye mashine ya kwanza kuanza kuzalisha umeme,

Mambo tayari huko 🔥🔥🔥
Hongera Serikali, Hongera Rais na Hongera Waziri Makamba
=======

View attachment 2641882
Picha: WAZIRI wa Nishati, January Makamba
Serikali imetangaza kuwa, wiki moja ijayo kina cha maji katika bwawa la kuzalisha umeme la Mwalimu Nyerere (JNHPP) litakuwa na uwezo wa kuanza kuzalisha umeme.

Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 31, 2023 na Waziri wa Nishati, Januari Makamba wakati akiwasilisha bajeti yake kwa mwaka 2023/24 ambayo ameliomba Bunge lipitishe jumla ya Sh3.048 trilioni.

Waziri Makamba amesema kuwa ujazo wa maji uliofikiwa katika Bwawa hilo ni mita za ujazo 163, lakini kiwango kinachotakiwa bado mita za ujazo mbili.

“Mheshimiwa Spika, ninafurahi kulitaarifu Bunge lako kuwa, wiki ijayo hata tukiamua kuanza uzalishaji wa umeme tunaweza kwani kiwango cha chini cha uzalishaji maji tumebakiza mita za ujazo mbili tu,” amesema Makamba.

Hata hivyo Waziri amesema kuwa uzalishaji wa umeme utakaoanza rasmi katika mwaka huu wa fedha, utaingizwa katika gridi ya Taifa June 2024 sambamba na umeme wa jua.

MWANANCHI
Mkuu uwe unatumia ubinadamu
 
Alikuwa mjinga,huwezi haribu uchumi sekta zingine Kwa visingizio vya kipuuzi
Swali Mbona Sasa hivi Kila sekta Kuna pesa tena zimeongezeka mara 2,zometoka wapi? Mfano Watoto wa vyuo Vikuu wote wamepata mkopo yule mtu wenu alishindwa [emoji1787][emoji1787]
Mkuu taasisi za serikali zipo hoi hakuna hela toka july
 
Back
Top Bottom