January Makamba: Bwawa la Nyerere limebakiza Mita 2 za Ujazo ili kuwa na uwezo wa kuzalisha Umeme

Wewe ndio hujamwelewa,hiyo njia ya Chalinze Iko 98%
Umeme utazalishwa Kwa awamu wataingiza megawatt 700 Kwa awamu 3 so ndio kusema awamu ya kwanza mwaka huu inaanza
 
Good news
 
Mkuu uwe unatumia ubinadamu
 
Mkuu taasisi za serikali zipo hoi hakuna hela toka july
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…