Hana lolote huyo. Yuko kwenye daruhini zetu tu kwa sasa na tunaweka rekodi vizuri. One day yes!Likishakuwa la Kitaifa sio lake binafsi upende au usipende utawajibika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana lolote huyo. Yuko kwenye daruhini zetu tu kwa sasa na tunaweka rekodi vizuri. One day yes!Likishakuwa la Kitaifa sio lake binafsi upende au usipende utawajibika
Achana na huyo ndio wanafisadi kwa sasa lakini wakumbuke kuwa kuna siku yaja watazirudisha kupitia matundu yao yaliyopo mwilini mwao.
Kwani kumbe kuna mashindano tena?Blaa blaa 🤣🤣🤣🤣 huna hoja kubali Samia kawafunika
Kiufupi yapo si ndio maana mnampinga January?Kwani kumbe kuna mashindano tena?
Kuwa mpole mambo Mazuri yanakujaoya sisi tunataka umeme.mambo yenu ya legacy sijui timu nini.hatuyataki.wakati magufuli akiwa rais ,samia alikuwa makamu.kwa hyo hlo ni bwawa lao wote.
Nashangaa ananijaza upepo kwamba kila sekta ina pesa za kutosha..Achana na huyo ndio wanafisadi kwa sasa lakini wakumbuke kuwa kuna siku yaja watazirudisha kupitia matundu yao yaliyopo mwilini mwao.
Labda SGR ya Burundi. Hii ya kwetu haianzi leo wala 2030Wasifikiri tumesahau kwamba treni ya SGR itaanza Mei, sasa tunaigia Juni
Samia na Magufuli ujue walikuwa wanafanya kazi pamojaa au hujui 😅😅Blaa blaa 🤣🤣🤣🤣 huna hoja kubali Samia kawafunika
tapeli mamako yule kichwa usishangae akawa rais wakoJanuary ni tapeli haswa
Samia na Magufuli ujue walikuwa wanafanya kazi pamojaa au hujui 😅😅
Kaweka sheria ngumu huko nssf adi leo watu tuna pay zetu nyingi tunaishia kupewa 33% yule bwana sijui tungekua wapi leo hii. Samia ana kazi ngum sana mkuu mana alikua anajofanya kajenga vituo vya afya 3000 sasa haajiri cjui walikua wanafanya kazi wachawi ivo vituo vyakeHakuwa na hela ,Mzee wangu alistaafu kazi kuja kupewa mafao baada ya miaka 2 tena kwa.kupunjwa 😁😁
Unafukiza wafanyabiashara,unakamata matajiri,unagombana na majirani sijui Wazungu utapata wapi wawekezaji?
Propaganda zilikuwa nyingi kuliko vitendo,imagine Rais anaenda kuzindua Vituo vya Afya,hiii kazi Samia akitaka kufanya atafia barabarani maana Kuna utitiri wa miradi sekta zote.
Umeshindwa kutaja sekta ambayo Haina pesa maana umejinasibu unajua,taja hapa tujue.Nashangaa ananijaza upepo kwamba kila sekta ina pesa za kutosha..
Shavu gani unataka Kwa nini usiombe kazi zimetangazwa huko au usikamatie fursa kwenye miradi?mkuu haya nayajua. oya mzee nije PM unipe shavu kitaa cha moto sana
Umeshindwa kutaja sekta ambayo Haina pesa maana umejinasibu unajua,taja hapa tujue.
hiyo miradi 700 ya wapi ? nipe connection mbona tunawekeana mitima nyongo sana.. unafikiri mie sifanyi application za kazi ?Shavu gani unataka Kwa nini usiombe kazi zimetangazwa huko au usikamatie fursa kwenye miradi?
Tatizo wanaume wa Dar urojo sana,sasa kazi za urojo hazipo ,Kuna Minara zaidi ya 700 inajengwa Nchi nzima na wewe unajua Rais alizindua tafuta makampuni huko uombe kazi.
Sigawi kazi,katafute fursa kitaa saizi ukianza hata biashara Kuna uafadhari kuliko awamu ya 5.Tuachana na haya nipo serious, nipe mchongo mwana. Nije PM.. life kitaa coordinate hazisomi