rastar mjeshi
Senior Member
- Aug 15, 2023
- 193
- 253
Huyu nae nikumsagia kunguni na mazongo juu mpaka atokeNext ni Mwigulu Nchemba, kama mama yuko serious anataka tumuunge mkono kwanza tunampongeza kuwaondowa hao wahuni lakini bado Mwigulu Nchemba aondolewe pia.