January Makamba kuitwa Rais ajaye na ukaribu wa familia yake na Mange Kimambi kumemponza na kutumbuliwa nafasi yake ya Waziri wa Mambo ya Nje

January Makamba kuitwa Rais ajaye na ukaribu wa familia yake na Mange Kimambi kumemponza na kutumbuliwa nafasi yake ya Waziri wa Mambo ya Nje

Baadhi ya wa TZ wana majungu sana.
Kwani kubadilishwa Uwaziri si ni jambo la kawaida tu kutokana malengo ya Raisi?
Kuondolewa Uwaziri huenda kunalenga kuboresha jambo fulani na sio lazima iwe waziri husika kakosea.
 
Kuna uwezekano mkubwa rais Samia Suluhu Hassan ametengua iteuzi wa January Makamba kwenye nafasi ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki kutokana na kuitwa rais ajaye na mashabiki zake wa kusiasa hasa kwenye mitandao yake ya kijamii

Pia mahusiano ya dada yake Mwamvita Makamba na mwanaharakati wa kwenye mitandao ya kijamii Mange Kimambi yaweza kuwa sababu nyingine ya kupigwa ngwara January kwenye nafasi yake hiyo

Rais Samia Suluhu Hassan amefanyamabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri na kuwapiga ngwara baadhi ya mawaziri akiwa Makamba

Kabla ya utenguzi huo wa rais Julai 21, 2024 January makamba alikuwa akitumikia nafasi ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki

Uchunguzi unaonyesha kuwa Makamba kila akiposti kitu kwenye kurasa zake za kijamii wachangiaji wake wakubwa wanapenda kukomenti rais ajaye au my president au president material

Inawezakana Makamba hajawatuma washabiki wake hao kuandika hivyo au kumuita hivyo wanapokutana naye au pengine ni mbinu zake za kisiasa kuwajenga watu hao wafanye hivyo

Hata humu jukwaani Jamii Forums kuna post nyingi zilizo andikwa kuhusu January Makamba kwamba ni rais ajaye au "president material"

Mara chache Makamba alikuwa akiwaeleza mashabiki zake hao wa kisiasa kwa kukanusha kuwa urais 2025 mpaka 2030 ni wa rais aliyepo madarakani Samia kumaliza muda wake na kwamba yeye kama kufikiria kuwania nafasi hiyo ni baada ya kipindi hicho cha mwisho cha urais wa Samia

Pengine hali hiyo imemtisha rais Samia na kumuweka Makamba benchi kwanza kwenye uwaziri ili ampunguze kasi na kusahaulika kwenye ulimwengu wa siasa za Tanzania

Kwenye ukaribu wa dada yake Mwamvita na Mange Kimambi kuna uwezekana pengine kumemponza kutokana na kudaiwa kuwa ndiye anayempa Mange taarifa nyingi za ndani ya Serikali na ofisi ya rais
Nilisikia kuwa
1721645008056.png
=
1721645052278.png
 
Kuna uwezekano mkubwa rais Samia Suluhu Hassan ametengua iteuzi wa January Makamba kwenye nafasi ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki kutokana na kuitwa rais ajaye na mashabiki zake wa kusiasa hasa kwenye mitandao yake ya kijamii

Pia mahusiano ya dada yake Mwamvita Makamba na mwanaharakati wa kwenye mitandao ya kijamii Mange Kimambi yaweza kuwa sababu nyingine ya kupigwa ngwara January kwenye nafasi yake hiyo

Rais Samia Suluhu Hassan amefanyamabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri na kuwapiga ngwara baadhi ya mawaziri akiwa Makamba

Kabla ya utenguzi huo wa rais Julai 21, 2024 January makamba alikuwa akitumikia nafasi ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki

Uchunguzi unaonyesha kuwa Makamba kila akiposti kitu kwenye kurasa zake za kijamii wachangiaji wake wakubwa wanapenda kukomenti rais ajaye au my president au president material

Inawezakana Makamba hajawatuma washabiki wake hao kuandika hivyo au kumuita hivyo wanapokutana naye au pengine ni mbinu zake za kisiasa kuwajenga watu hao wafanye hivyo

Hata humu jukwaani Jamii Forums kuna post nyingi zilizo andikwa kuhusu January Makamba kwamba ni rais ajaye au "president material"

Mara chache Makamba alikuwa akiwaeleza mashabiki zake hao wa kisiasa kwa kukanusha kuwa urais 2025 mpaka 2030 ni wa rais aliyepo madarakani Samia kumaliza muda wake na kwamba yeye kama kufikiria kuwania nafasi hiyo ni baada ya kipindi hicho cha mwisho cha urais wa Samia

Pengine hali hiyo imemtisha rais Samia na kumuweka Makamba benchi kwanza kwenye uwaziri ili ampunguze kasi na kusahaulika kwenye ulimwengu wa siasa za Tanzania

Kwenye ukaribu wa dada yake Mwamvita na Mange Kimambi kuna uwezekana pengine kumemponza kutokana na kudaiwa kuwa ndiye anayempa Mange taarifa nyingi za ndani ya Serikali na ofisi ya rais
Kinana ajiandae 👇👇

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1815295488586883307?t=2ERGV4Epf6uyFGja_eOTBg&s=19
 
Kuna kina Makala, Makonda, Ma DED wote nchi nzima hawa ndio waiba kura na hata Jiwe aliwahi kusema kama DED unalipwa na Serikali ya CCM alafu utangaze mpinzani mshindi anakulima kichwa

Wizi wa kura CCM mbona unaeleweka kabisa Mkuu wala Chama hakimtegemei kilaza kama NAPE au January. Nape alishindwa kuibia majibu kidato cha nne akala D kama zote. January nae alifutiwa mpaka matokeo hivo hana kipaji cha kuiba kura

Wazee hawaendi front, ni makada ndio wanaiba swala la kuiba kula ni collective effort sio kweli kwamba kuna watu fulani CCM ndio mabingwa wa wizi, Kina January wanaweza kufukuzwa CCM na bado Chama kikashinda.
Nchi ya ajabu sana hii. Mtu anajisifia kushinda uchaguzi kwa wizi? Na bado hajisikii vibaya? Kweli dunia inafika mwisho
 
Kuna uwezekano mkubwa rais Samia Suluhu Hassan ametengua iteuzi wa January Makamba kwenye nafasi ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki kutokana na kuitwa rais ajaye na mashabiki zake wa kusiasa hasa kwenye mitandao yake ya kijamii

Pia mahusiano ya dada yake Mwamvita Makamba na mwanaharakati wa kwenye mitandao ya kijamii Mange Kimambi yaweza kuwa sababu nyingine ya kupigwa ngwara January kwenye nafasi yake hiyo

Rais Samia Suluhu Hassan amefanyamabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri na kuwapiga ngwara baadhi ya mawaziri akiwa Makamba

Kabla ya utenguzi huo wa rais Julai 21, 2024 January makamba alikuwa akitumikia nafasi ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki

Uchunguzi unaonyesha kuwa Makamba kila akiposti kitu kwenye kurasa zake za kijamii wachangiaji wake wakubwa wanapenda kukomenti rais ajaye au my president au president material

Inawezakana Makamba hajawatuma washabiki wake hao kuandika hivyo au kumuita hivyo wanapokutana naye au pengine ni mbinu zake za kisiasa kuwajenga watu hao wafanye hivyo

Hata humu jukwaani Jamii Forums kuna post nyingi zilizo andikwa kuhusu January Makamba kwamba ni rais ajaye au "president material"

Mara chache Makamba alikuwa akiwaeleza mashabiki zake hao wa kisiasa kwa kukanusha kuwa urais 2025 mpaka 2030 ni wa rais aliyepo madarakani Samia kumaliza muda wake na kwamba yeye kama kufikiria kuwania nafasi hiyo ni baada ya kipindi hicho cha mwisho cha urais wa Samia

Pengine hali hiyo imemtisha rais Samia na kumuweka Makamba benchi kwanza kwenye uwaziri ili ampunguze kasi na kusahaulika kwenye ulimwengu wa siasa za Tanzania

Kwenye ukaribu wa dada yake Mwamvita na Mange Kimambi kuna uwezekana pengine kumemponza kutokana na kudaiwa kuwa ndiye anayempa Mange taarifa nyingi za ndani ya Serikali na ofisi ya rais
Hii siyo sababu.
Wewe huoni pattern kati ya utenguzi huu na ule wa kipindi kile cha JPM? Rais hana muda wa kuhangaika na mtu anayeitwa Rais ajaye kwa sababu vipindi vyao ni ni lazima viwe taofauti
 
Nchi ya ajabu sana hii. Mtu anajisifia kushinda uchaguzi kwa wizi? Na bado hajisikii vibaya? Kweli dunia inafika mwisho
Mkuu ni mambo ya ajabu... ndio maana unaona wakati mwingine tunafanya mzaa tu sababu uki mind utapata presha tu. CCM ujinga wanaoongea mwingi sana
 
Kuna kina Makala, Makonda, Ma DED wote nchi nzima hawa ndio waiba kura na hata Jiwe aliwahi kusema kama DED unalipwa na Serikali ya CCM alafu utangaze mpinzani mshindi anakulima kichwa

Wizi wa kura CCM mbona unaeleweka kabisa Mkuu wala Chama hakimtegemei kilaza kama NAPE au January. Nape alishindwa kuibia majibu kidato cha nne akala D kama zote. January nae alifutiwa mpaka matokeo hivo hana kipaji cha kuiba kura

Wazee hawaendi front, ni makada ndio wanaiba swala la kuiba kula ni collective effort sio kweli kwamba kuna watu fulani CCM ndio mabingwa wa wizi, Kina January wanaweza kufukuzwa CCM na bado Chama kikashinda.

Kuna watu wanaratibu michezo yote. CCM inajua itashinda ushindi 1000% ila lazima ifanye kampeni na kuratibu mipango yao, hawa ndo benchi la ufundi. Lazima hao maDED wawe kept in check. Someone has to do some coordination. CCM haiwezi kaa tu ikisubiri ushindi hata kama inajua itashinda fika.
 
Nape/ Makamba makampeni meneja. goli la mkono .this time sidhani mama atakubali dhambi hiyo ninamuona kuwa ana hofu ya Mungu. si ya kinafiki

Kwahiyo unadhani mpiga mwingi atafanya kampeni na kufanya uchaguzi wa haki na akishindwa ataachia ngazi? Power corrupts.
 
Rais Samia Suluhu Hassan mm ningekuwa mpinzani nisenge simamisha mgombea Cha msingi ni kuongeza nguvu kupata wabunge wengi sana kwa Urais upinzani bado
 
Rais Samia Suluhu Hassan mm ningekuwa mpinzani nisenge simamisha mgombea Cha msingi ni kuongeza nguvu kupata wabunge wengi sana kwa Urais upinzani bado
Ujue kura za rais nazo zinafaida kwenye chama zikiwa nyingi hata kama hawakushinda ruzuki inaongezeka

Na ili upate wabunge wengi ni lazima uweke mgombea wa urais kwenye chama chako
 
Back
Top Bottom