Hata nyumbu wana kiongozi wao wanayemuona ana akili sanaWatu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Makamba ni hatari kuliko hatari yenyewe. Anautafuta urasi kwa nguvu mno. Halafu msimamo wake haujulikani. Kazi ni kutumia fedha tu ili watu wampe promo.Jamaa yupo kazini kumnadi Makamba jr kwa uchaguzi ujao
Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Naona mama kamkaribisha adui yake nyumbani kwake.Makamba ni hatari kuliko hatari yenyewe. Anautafuta urasi kwa nguvu mno. Halafu msimamo wake haujulikani. Kazi ni kutumia fedha tu ili watu wampe promo.
Pia inawezekana lao ni moja. Asipogombea 2025 anaweza kutumia mbinu kumpitisha. Mimi hata hili la mama kusema 2025 ni zamu ya wanawake nalichukulia kwa tahadhari sana. Anaweza kuwa anapoteza watu watu maboya tu.Naona mama kamkaribisha adui yake nyumbani kwake.
Alichofanya team ya ushindi ya wanakijani🏃Kuna wengine umewaweka apo ili kupata supoti ya kumsifia ulie msifia.....! Bata awezi kuzaa na kuku...
Tuambie uyo JR amefanya lipi la msingi njii hii.....! Mwambie kwanza amalizie bwawa letu
Hatakiwi kuongoza kwa uoga maana tayari yeye ndiye kinaraPia inawezekana lao ni moja. Asipogombea 2025 anaweza kutumia mbinu kumpitisha. Mimi hata hili la mama kusema 2025 ni zamu ya wanawake nalichukulia kwa tahadhari sana. Anaweza kuwa anapoteza watu watu maboya tu.
Nilifungua nikijua unajipigia debe makamba mwenyewe sema hao Kama wa kusindikiza ili asionekane Kama unajifagilia mwenyeweWatu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Tukuulize wakudada, huyo ntu wenu mmoja mliyempachika kwenye hiyo orodha.Wemewahi kugundua jambo gani lenye tija kwa wanadamu?
Kwa hiyo ni dereva was chombo sioUshaosha Gari ya M Jr lakini ? Haongezi fungu ng'o we komaa babu wee
Kwake huyo ni kugundua penye ulaji🤸.Wewe kwako ni kipi muhimu kukigundua?
Hata hivo Makamba hakuzaliwa TZ, alizaliwa Marekani.Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Lumumba ni sheeda sana kwenye jamiiKwake huyo ni kugundua penye ulaji[emoji1732].
watu wengi hawaelewi kuwa January alishawahi kufanya kazi au intenship ofisi ya rais wa marekani, Jimmy carter. yupo vizuri upstairs.Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Waligundua mimba uliyombambikia Mhadhiri wa UDOM ilikuwa ya Mwigulu Chemba.Wemewahi kugundua jambo gani lenye tija kwa wanadamu?
Unaweza kuwa na Hoja nzuri,Lakini huko ni kudhalilisha Utaifa wako_wetuWatu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.