Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadae ya vifo vya Mh Mkapa baadae Magufuri, Nchii hii imebaki ya waimba ngonjera tuuu, sasa Kitu zima linaleta uzi kumsifia mtu. Sasa hiyo makamba si amuongoze hiyo anaye msifia, au ampe dada yake awe shemeji yakeWewe genius umetoka wapi hii nchi iliyojaa vilaza? Ndugu yangu sikukebehi ila nakuambia kweli. Huyu lengo lake ni kumpigia Makamba debe kama unavyosema. Infact Makamba ameshaanza rasmi kampeni na atafisadi sana ili kupata fedha za kuhonga. Tusishangae iwapo hapa kutakuwa na nyuzi za kumsifia kila baada ya lisaa limoja. TV na Redio karibu zote zitaanza kuimba nyimbo za kumsifia. Anautafuta urais kwa nguvu zote na hii ni hatari mno.
Mimi ndio niko free Sio wewe.Ushakula jiwe maana sasa nipo free na huo uporoto wako.
Kamekondeana huku kanaburuza msafara wa Masukuma manono yameshiba ugali kiasi kwamba wakiamua kidole tu kinamdhibiti aliyekondeana!Tanzania ndio maana tulichukuliwa utumwa na Waarabu kwasababu ya ujinga wetu na uoga uliopindukia.
Unakuta Kaarabu kamekondeana na gobole la risasi moja kamesomba Watu (Watanzania)karibia 500 kanawapeleka kuwauza.
Hao uliowataja ni Majasiri wachache ndio maana tunawashangaa.
Kuna wakati unamwacha tu kwani anapambana ili aweze kupata bofulo!Wemewahi kugundua jambo gani lenye tija kwa wanadamu?
Huyo mwarabu ameshindwa kuwachukua Watigrai ambao wako karibu yake nimeanza kuelewa kwanini.Kamekondeana huku kanaburuza msafara wa Masukuma manono yameshiba ugali kiasi kwamba wakiamua kidole tu kinamdhibiti aliyekondeana!
Ya kutengenezewa!!! Au yake originale?!!!Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini kwenye taifa hili la wajinga.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizindua kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr.
Weka hapa clip ya hiyo hotuba basiAlitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr.
Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini kwenye taifa hili la wajinga.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizindua kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr.
Hapana. Umekosea. Mm siyo marope, wala sina unasaba ama uhusiano na marope.
Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini kwenye taifa hili la wajinga.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizindua kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba
Wale Bongo lala wakiona Nyuzi kama hii wananunaWatu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini kwenye taifa hili la wajinga.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizindua kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr.
Alikuwa anataka uzi unoge.Hapana mkuu sijakufananisha au hata kukuwekea ukaribu huo mkuu.
Ila najiuliza kwamba Marope, kwenye daraja moja na kina Lissu na Assad?
Ndiyo maana nikahitimisha kwa kujiuliza: "au labda ni udukuzi?"
Si wajua kuna na akina Edward Snowden mitandaoni?
January hapo anafanya nini?Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini kwenye taifa hili la wajinga.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizindua kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr.
Alikuwa anataka uzi unoge.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr.