January Makamba, Lissu, Mbowe na Profesa Assad kwa akili walizonazo hawakupaswa kuzaliwa Tanzania

January Makamba, Lissu, Mbowe na Profesa Assad kwa akili walizonazo hawakupaswa kuzaliwa Tanzania

Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.

Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.

Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Hotuba yenye mvuto au siyo?. Hahahaaa
 
Bora fisadi kuliko lile genge la wahuni lilifisadi pamoja na kuua watu
Hapana. Fisadi hawezi kuwa bora hata kidogo. Kuna watu wengi tu waadilifu na wenye maono. Kwa nini tuna upungufu wa watu mpaka tumpe mtu kama Makamba urais?
 
Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.

Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.

Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Kwa hiyo Tanzania ni ya wajinga mbumbu tupu ?ukiwemo na wewe kuwa wenye akili hawapaswi kuzailiwa Tanzania

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
CAG anawezaje kuuza majumba ya serikali

Soma vizuri wewe bwege, sijasema aliuza nimesema akiwa mjumbe wa bodi ya NSSF alinunua kwa bei ya che nyumba ya shirika !! Kwavile alikuwa mjumbe wa bodi kule kununua ile nyumba ni sawa na kujiuzia!! Umeelewa wewe mbwiga?
 
Soma vizuri wewe bwege, sijasema aliuza nimesema akiwa mjumbe wa bodi ya NSSF alinunua kwa bei ya che nyumba ya shirika !! Kwavile alikuwa mjumbe wa bodi kule kununua ile nyumba ni sawa na kujiuzia!! Umeelewa wewe mbwiga?
Majumba ya serikali yaliuzwa na jiwe
 
Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.

Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.

Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
toa makamba kwenye hiyo orodha replace na jenerali ulimwengu
 
Mbona unamtetea sana Assad au wewe ndio Assad? Assad ni mchafu kama alivyo shoga yake Ramadan Dau!!
Hayo matusi sijui yanaongeza nini kwenye comments zako.

Unaanzaje kumtukana mzee kama alivyo prof.Assad?
 
Leta CV ya kila moja, hili hoja yako iwe na mashiko. Kila ukilala ukiamka ooooh makamba, ooooh samia, leta data, concrete data
 
Ok sasa kama mtu huna heshima nakuomba basi endelea na mambo yako .

Usini quote kabisa vinginevyo nakupiga ban bila kuchelewa ili ujinga wako uishie huko ujingani.

Utakuwa umenipunguzia mzigo wa kusoma ujinga Wako!!
 
Back
Top Bottom