StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Hotuba yenye mvuto au siyo?. HahahaaaWatu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Hapana. Fisadi hawezi kuwa bora hata kidogo. Kuna watu wengi tu waadilifu na wenye maono. Kwa nini tuna upungufu wa watu mpaka tumpe mtu kama Makamba urais?Bora fisadi kuliko lile genge la wahuni lilifisadi pamoja na kuua watu
Umeonaeeeeeee!Akachomekea Lissu na Prof Assad
Haiwezekani tukamchagua Makamba uraisHapana. Fisadi hawezi kuwa bora hata kidogo. Kuna watu wengi tu waadilifu na wenye maono. Kwa nini tuna upungufu wa watu mpaka tumpe mtu kama Makamba urais?
Kwa hiyo Tanzania ni ya wajinga mbumbu tupu ?ukiwemo na wewe kuwa wenye akili hawapaswi kuzailiwa TanzaniaWatu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
😅😅Naona makamba jr unajibeba kwenye mbeleko ya majina ya watu wa watu
Hii Id ya zamani sanaMakamba Jr ndio yule aliyeiba mitihani ya Necta?
Ana nafuu ukilinganisha na Genge alilozaliwa na kukuliaToa makamba huyo, ana kipi cha maana
Siyo jamaa bali ni dada!Jamaa yupo kazini kumnadi Makamba jr kwa uchaguzi ujao
CAG anawezaje kuuza majumba ya serikali
Majumba ya serikali yaliuzwa na jiweSoma vizuri wewe bwege, sijasema aliuza nimesema akiwa mjumbe wa bodi ya NSSF alinunua kwa bei ya che nyumba ya shirika !! Kwavile alikuwa mjumbe wa bodi kule kununua ile nyumba ni sawa na kujiuzia!! Umeelewa wewe mbwiga?
toa makamba kwenye hiyo orodha replace na jenerali ulimwenguWatu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Majumba ya serikali yaliuzwa na jiwe
Hayo matusi sijui yanaongeza nini kwenye comments zako.Mbona unamtetea sana Assad au wewe ndio Assad? Assad ni mchafu kama alivyo shoga yake Ramadan Dau!!
Alipokuwa mjumbe wa bodi ya NSSF hakuwa ameteuliwa kuwa CAG!!CAG anawezaje kuuza majumba ya serikali ?
Assad Mzee kwako sio kwa kila mmoja wetu!!Unaanzaje kumtukana mzee kama alivyo prof.Assad
Ok sasa kama mtu huna heshima nakuomba basi endelea na mambo yako .Assad Mzee kwako sio kwa kila mmoja wetu!!
Ok sasa kama mtu huna heshima nakuomba basi endelea na mambo yako .
Usini quote kabisa vinginevyo nakupiga ban bila kuchelewa ili ujinga wako uishie huko ujingani.
Ushakula jiwe maana sasa nipo free na huo uporoto wako.Utakuwa umenipunguzia mzigo wa kusoma ujinga Wako!!