January Makamba na jumba bovu

January Makamba na jumba bovu

Nimepita kwenye account za Januari Makamba,Matusi na kejeli za wananchi wenye hasira za mgao wa umeme zimekua nyingi.Na nyingi zikijielekeza na kukumbushia miaka 5 ya Magufuli kuwa umeme haukukatika na hata kama ulikatika sio kwa kiasi hiki.

Mimi sio mtaalam wa umeme ila ntatoa hoja yangu kisiasa zaidi, inajulikana wazi Makamba ni mwanasiasa kijana ambaye yuko very ambitious, sihitaji kukumbushia nafasi yake katika mbio za urais za 2015,na wengi tunaamini mbio zake za urais hazijakoma ingawa kwa miaka 5 iliyopita mambo hayakuwa marais kwake.

Amekuja mama Samia na kumrudisha uwanjani baada ya kukaa benchi mda mrefu.hii ni fursa hadhim kwake kufufua ndoto na matarajio yake. Kwa kawaida mchezaji anayetoka benchi anakuwa na nguvu mpya bila kuacha makeke mengi.

Sio rahisi mchezaji anayetoka benchi na kuona makosa mengi ya wachezaji wenzake aanze kwa kujifunga goli la makusudi kabisa ukichukulia mtu kama Makamba ni mwanasiasa aliyetoka kwenye familia ya wanasiasa wakongwe.

Naamini kabisa kinachoendelea kuhusu umeme ni kama jumba bovu lililomwangukia Makamba mara tu baada ya kuingia kama mpangaji mpya.

Nikirejea kauli yake ya kuwapa TANESCO wiki mbili na ile ya mitambo kutofanyiwa matengenezo kwa uoga wa watu,naamini kabisa kuna sababu iko nje ya uwezo wake inayosababisha umeme kukatika.

Nawasilisha
Kama alifikiria kazi ya kusema utawala wa awamu ya tano ndio utampa sifa amekosea. Ahangaike katika kupata majawabu ya kutatua changamoto zinazotukabili bila kuwa mateso kwetu.
Excuses za kutunga kama wote ni mazuzu hazikubaliki. Tunataka umeme sio porojo
 
Kama alifikiria kazi ya kusema utawala wa awamu ya tano ndio utampa sifa amekosea. Ahangaike katika kupata majawabu ya kutatua changamoto zinazotukabili bila kuwa mateso kwetu.
Excuses za kutunga kama wote ni mazuzu hazikubaliki. Tunataka umeme sio porojo
huo URAIS hataupata mpaka ana kwenda kuzimu
 
Nimepita kwenye account za Januari Makamba,Matusi na kejeli za wananchi wenye hasira za mgao wa umeme zimekua nyingi.Na nyingi zikijielekeza na kukumbushia miaka 5 ya Magufuli kuwa umeme haukukatika na hata kama ulikatika sio kwa kiasi hiki.

Mimi sio mtaalam wa umeme ila ntatoa hoja yangu kisiasa zaidi, inajulikana wazi Makamba ni mwanasiasa kijana ambaye yuko very ambitious, sihitaji kukumbushia nafasi yake katika mbio za urais za 2015,na wengi tunaamini mbio zake za urais hazijakoma ingawa kwa miaka 5 iliyopita mambo hayakuwa marais kwake.

Amekuja mama Samia na kumrudisha uwanjani baada ya kukaa benchi mda mrefu.hii ni fursa hadhim kwake kufufua ndoto na matarajio yake. Kwa kawaida mchezaji anayetoka benchi anakuwa na nguvu mpya bila kuacha makeke mengi.

Sio rahisi mchezaji anayetoka benchi na kuona makosa mengi ya wachezaji wenzake aanze kwa kujifunga goli la makusudi kabisa ukichukulia mtu kama Makamba ni mwanasiasa aliyetoka kwenye familia ya wanasiasa wakongwe.

Naamini kabisa kinachoendelea kuhusu umeme ni kama jumba bovu lililomwangukia Makamba mara tu baada ya kuingia kama mpangaji mpya.

Nikirejea kauli yake ya kuwapa TANESCO wiki mbili na ile ya mitambo kutofanyiwa matengenezo kwa uoga wa watu,naamini kabisa kuna sababu iko nje ya uwezo wake inayosababisha umeme kukatika.

Nawasilisha
1. Is it scheduled maintenance or
2. Power rationing due to drought
3. At some point we were made to believe that, TANESCO was producing additional 350MW which was unutilised.... now we are again told there is a deficit of around 350 MW due to drought. I see that we need to run normal ( without power shade ) as the difference is production is exactly what was idle.
 
Kaka wewe si ndo huwa uko mstari wa mbele kuponda kila kitu Cha Mwendazake mpk wateuzi wake uliwaita washamba, leo tena Na hawa wa Hangaya huwataki sijui unataka nini?
Niko huru kupongeza na kukosoa na kuponda nisicho lidhika nacho.

Mimi siyo fuata upepo
 
Makamba amefeli kwa kutaka ku mprove wrong magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,kalemani,lakini pia kwa mamlaka za uteuzi kumbuka kuwa Kuna wizara za Utendaji na wizara za kisiasa,kwa makamba siyo mtendaji Bali Ni mwanasiasa ataendelea kufeli na atafeli vibaya mnooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo,mama Samia mwondoe january haraka Sana kabla hajakuchafua we we binafsi na utawala wako
 
Nimepita kwenye account za Januari Makamba,Matusi na kejeli za wananchi wenye hasira za mgao wa umeme zimekua nyingi.Na nyingi zikijielekeza na kukumbushia miaka 5 ya Magufuli kuwa umeme haukukatika na hata kama ulikatika sio kwa kiasi hiki.

Mimi sio mtaalam wa umeme ila ntatoa hoja yangu kisiasa zaidi, inajulikana wazi Makamba ni mwanasiasa kijana ambaye yuko very ambitious, sihitaji kukumbushia nafasi yake katika mbio za urais za 2015,na wengi tunaamini mbio zake za urais hazijakoma ingawa kwa miaka 5 iliyopita mambo hayakuwa marais kwake.

Amekuja mama Samia na kumrudisha uwanjani baada ya kukaa benchi mda mrefu.hii ni fursa hadhim kwake kufufua ndoto na matarajio yake. Kwa kawaida mchezaji anayetoka benchi anakuwa na nguvu mpya bila kuacha makeke mengi.

Sio rahisi mchezaji anayetoka benchi na kuona makosa mengi ya wachezaji wenzake aanze kwa kujifunga goli la makusudi kabisa ukichukulia mtu kama Makamba ni mwanasiasa aliyetoka kwenye familia ya wanasiasa wakongwe.

Naamini kabisa kinachoendelea kuhusu umeme ni kama jumba bovu lililomwangukia Makamba mara tu baada ya kuingia kama mpangaji mpya.

Nikirejea kauli yake ya kuwapa TANESCO wiki mbili na ile ya mitambo kutofanyiwa matengenezo kwa uoga wa watu,naamini kabisa kuna sababu iko nje ya uwezo wake inayosababisha umeme kukatika.

Nawasilisha
Mkumbuke tu kuna very strong cabals, na hizi ndio mtaji wa wanasiasa wenye uchu wa madaraka.

Pia, tuangalie nyuma kidogo kwa kutathimini mienendo ya watu wetu wa karibu - ikiwa yuko aliyechukua thumuni ya mnyonge kwa maslahi binafsi bila kuwa na huruma na huyo mnyonge, basi tujue kuwa hii ndio order of life kwa kundi nzima au familia ya ndege warukao pamoja
 
Huo ndio ukweli, sababu zilizo nje ya uwezo wake ndio hasa zinazo mkwamisha, Mvua zimegoma kunyesha, na nchi yetu inatumia umeme wa mabwawa ya maji kwa kiasi kikubwa, na hayo marekebisho, mfano morogoro tanesco pale msamvu kuna kituo cha kupooza umeme ambacho kina changamoto mara kwa mara na kusababisha shida ya huduma
magufuli alipoondoka na mvua nayo ikaondoka!
 
Makamba usingeikubali hii wizara from beginning, ni kweli sasa umeangushiwa Jumba Bovu. Pole sana !!
 
Wote wapigaji tu hakuna mwenye nia njema na wananchi

Kumbuka huyu ni protege' wa Kikwete hivyo yale yote ya boss wake yaliyofutwa na JIWE ikiwemo kumrudisha ISSA wa BEST RESULTS NOW anayarudisha!! Vasco Dagama alikuwa mpigaji asiye na aibu!!
 
Kumbuka huyu ni protege' wa Kikwete hivyo yale yote ya boss wake yaliyofutwa na JIWE ikiwemo kumrudisha ISSA wa BEST RESULTS NOW anayarudisha!! Vasco Dagama alikuwa mpigaji asiye na aibu!!
Ndani ya CCM hakuna msafi
 
Tatizo wanasiasa wanakurupuka kubadilisha watu bila kuwauliza wataalamu mitazamo yao kuhusu hali na ufanisi wa shirika na kitu gani wanapendekeza..........akiingia huyu anataka aweke timu yake, akiingia yule naye aweke timu yake, yaani ni shaghalabaghala.....
All this because of lack of strong INSTITUTIONS; na ndio maana wanapinga Kuwa na katiba ya Wananchi kwasababu hue ujinga wao wote utakomeshwa!!
 
Kelemani alishafisadi tanesco
Rais Samia sio mjinga
Ningekuwa mimi ningemwachia aendelee kuifisadi tuone kama umeme ungekatika...Sasa ameonekana hero kwakua ghafla tu tumeingia kwenye sintofahamu...Sijui tutamsemaje ufisadi wake yumkini hata mahakamani hatujampeleka...
 
Nimepita kwenye account za Januari Makamba,Matusi na kejeli za wananchi wenye hasira za mgao wa umeme zimekua nyingi.Na nyingi zikijielekeza na kukumbushia miaka 5 ya Magufuli kuwa umeme haukukatika na hata kama ulikatika sio kwa kiasi hiki.

Mimi sio mtaalam wa umeme ila ntatoa hoja yangu kisiasa zaidi, inajulikana wazi Makamba ni mwanasiasa kijana ambaye yuko very ambitious, sihitaji kukumbushia nafasi yake katika mbio za urais za 2015,na wengi tunaamini mbio zake za urais hazijakoma ingawa kwa miaka 5 iliyopita mambo hayakuwa marais kwake.

Amekuja mama Samia na kumrudisha uwanjani baada ya kukaa benchi mda mrefu.hii ni fursa hadhim kwake kufufua ndoto na matarajio yake. Kwa kawaida mchezaji anayetoka benchi anakuwa na nguvu mpya bila kuacha makeke mengi.

Sio rahisi mchezaji anayetoka benchi na kuona makosa mengi ya wachezaji wenzake aanze kwa kujifunga goli la makusudi kabisa ukichukulia mtu kama Makamba ni mwanasiasa aliyetoka kwenye familia ya wanasiasa wakongwe.

Naamini kabisa kinachoendelea kuhusu umeme ni kama jumba bovu lililomwangukia Makamba mara tu baada ya kuingia kama mpangaji mpya.

Nikirejea kauli yake ya kuwapa TANESCO wiki mbili na ile ya mitambo kutofanyiwa matengenezo kwa uoga wa watu,naamini kabisa kuna sababu iko nje ya uwezo wake inayosababisha umeme kukatika.

Nawasilisha
Mvua zitanyesha wiki ijayo , wabongo kuweni na subira, mgao mwezi mmoja mshaona kama dunia imeisha,,
Idara ya hali ya hewa ilitangaza wazi kuwa mvua zitapungua,, haliwezi kuwa kosa la january,,, tungeendeleza mradi wa umeme wa gesi hili tatizo lisingetukuta,,
 
Back
Top Bottom