January Makamba njoo CHADEMA uwe mgombea urais mwaka 2020

Alishindwa Lowassa na Kingunge ndo ashinde huyo bwamdogo aliengia jana kwenye siasa?? Kichekesho cha karne hiki
 
Elibwege katika ubora wake
 
MOJA KATI YA VICHAA WANAOMILIKI SMARTPHONE MUNGU NJOO UCHUKUE HUYU UTURUDISHIE SHALO MILLIONER.
 
MOJA KATI YA VICHAA WANAOMILIKI SMARTPHONE MUNGU NJOO UCHUKUE HUYU UTURUDISHIE SHALO MILLIONER.
Hata Lowasa mlikejeli hivi hivi lkini mkadeki barabara na kizungusha mikono kwa ajili yake
 
Acha uchizi weye! Lini umekuwa mwanachama wa chadema na mshauri wa JM? 😳

 
Kwahiyo CHADEMA Amna watu wa kuwa Rais TANZANIA? Mnategemea watu toka CCM........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…