Nicklaus
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 459
- 458
Kila mtu anashangaa kwenye suala la mafuta, serikali, wabunge na wananchi. Mm ninachoshangaa zaid ni huyu jamaa kuendelea kuwa waziri kikawaida tu angetakiwa ajiuzulu hyo nafasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app