Aaronrweumbiza
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 577
- 711
Bilioni 70 za kuwalipa Management ya kukodi ya wahindi zinatoka wapi pale Tanesco. Kwa kweli Tanzania Tunapigwa.Lazima wasubiri kwani ni vigumu shirika kununua vifaa kwa gharama ya zaidi ya tzs 150,000 halafu ufungie mteja kwa tzs 27,000/- kalagabaho
Tanesco wanatengeneza mazingira ya kupiga hela ,mita Tanesco zipo.Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?
Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.
Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.
Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.
Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Mbona sikuelewi rafiki wakati wa Magu wateja waliunganishiwa umeme kwa shilingi 27,000 tu na nguzo zilikuwepo, mita zilikuwepo na vijiji vingi vina umeme. Kwa makamba Hali ni tofauti.Utawala wa kishenzi wa Magu umeleta matokeo mabaya sana. Tumerudi nyuma miaka 20. Haya ya leo ni matokeo.
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Tuache kuwatisha watu lawama. Rais MagufuliJP alisema watu wa vijijini tu ndo umeme 27000. Mama alipofika pale bungeni alisema nchi nzima umeme 27,000 kasoro Dar es Salaam tu. Wala hakuwa kelemani. Mbona mnapenda kuhamisha matatizo ndugu zanguni dah. Tuache chuki basi.Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Huelewi hata ALU kwa bei ya kawaida ni Tsh 12000 lakini serikali inauza maximu 2000 kwanini serikali inafanya top up kwaajili ya kurahisisha maisha kwa watu wake. So kusema kuingiza umeme ni 27,000 haimaanishi kuwa tanesco wanalipwa hiyo inamaana kuna ruzuku kutoka serikalini zinatolewa ili kucover hiyo deficit. Ila hatutaki kuelewa. Mbona kipindi cha MagufuliJP yalikuwa yanawezekana tu na walikuwa wanatoa hadi gawiwo?? Nini kinashindikana leoNdio siasa ilitufikisha huko mkuu, hiyo gharama ya tzs 27,00 ni siasa tupu na uhalisia haupo hivyo na tanesco wanashindwa kutekeleza
Acha ukilaza, hilo ni shirika la uma na linapata luzuku toka seriakalini hivyo kiasi flan kilikuwa kinafidiwa na kodi za wananchiKiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Mnaacha kutatua matatizo mnaleta lawama kwa wengine!Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Mita hakuna,nguzo hakuna ila wanatia $30m kuweka mifumo ya blah blah smh!Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?
Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.
Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.
Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.
Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Labda kwa mafisadi na wezi ila kwa wanyonge Shuja, chuma, JembeAlikuwa muongo sana,huu ndio ukweli.
Mbona Hilo lipo wazi. Waziri K. aliagiza yeyote atakayetoza zaidi ya 27K afukuzwe kazi.Mkuu fafanua vizuri point yako, yaani Tanesco anunue mita kwa 150,000 ?? then auze wa 27,000 ? kweli?
Huo ni uongo, manguzo yamejaa kila mahali, kama Kinyerezi kule zimejaa hata pakuyaweka hamnaKwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?
Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.
Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.
Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.
Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Wezi, wala rushwa, mafisadi ndiyo wanaomtukana mwana Mwema wa Africa. Ila Wapenda haki masikini na wanyonge tunamkubaliUtawala wa kishenzi wa Magu umeleta matokeo mabaya sana. Tumerudi nyuma miaka 20. Haya ya leo ni matokeo.